imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Chopa za kisasa zina anti collision au wewe bado ni wa Zidumu fikraalafu akipata on air collusion akigongana na ndege nyingine mje na visingizio na lawama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chopa za kisasa zina anti collision au wewe bado ni wa Zidumu fikraalafu akipata on air collusion akigongana na ndege nyingine mje na visingizio na lawama
sasa mkuu cescna zina ant collision auChopa za kisasa zina anti collision au wewe bado ni wa Zidumu fikra
Zote ni lazima zumefungwa labda Drones za harusi zitumwe na CCM kwenda kuigonga Chopa ya Raisi Lissusasa mkuu cescna zina ant collision au
chagua magufuli mkuu mitano tenaHalafu wewe mwanamke mbona una roho mbaya sana? Au wewe sio mwanamke bali ni limwanaume jambazi lililoweka avatar ya binti mrembo.
Unakwenda kuchukua chartered plane kwa jina la lissu au chadema unategemea nini?,
Kama kuna uhitaji wa usafiri D-day minus one,sharti pawepo na alternative kadhaa zimekaa standbay to go on short notice,
Anaweza kwa mfano mtu unrelated akakodi flight kwa sababu unrelated na uchaguzi na huo usafiri ndo umsafirishe hata night,
Au anaweza kutumia gari unrelated akaondoka point A to point B,
Acheni kubania hela nyie
Five years ya mateso again sema nokesho kama kawa tumchague magufuli mkuu
jamii forum siku hizi sio wenzetu na wala hupaswi kuwaamini pale unapotaka kutoa habari yenye kuisema serikali....hufuta nyuzi nyingi sana....huwezi jua makubaliano ya melo na SIRIKALI ndio maana siku hizi hawamsumbui.....me nahisi huu mzigo unaweza kuwa hata umebinafsishwa kwa WAZEE WA VIPENYO hivyo wanatuchora tu.....hujuulizi kwann twita ,fb,ista hazifanyi kazi ila jamii forum tu....'?Hii website ya jamiiforum imeshakuwa kama tawi la ccm kwasababu kuna watu huwa wanataka kuilinganisha na mitandao mizito ya kijamii kama facebook au twiter huwa nawacheka sanaaaaa
Nyie watu mnasingizia jamaa yenu kapigwa risasi na mnaowadhania nyie. Hebu mleteni dereva wake aje atoe ushuhuda mbona kafichwa nje. Acheni kuwa na ufinyu wa fikra.Hatuwezi kuishi kwenye nchi ya kipuuzi namna hii. Yaaani binadamu mwenzetu anaonewa kiasi hiki tena waziwazi na wala tusichukue hatua.
Walimpiga risasi wakitaka kumuua, akapona mauti ila wakamnyima matibabu, akapona kabis wakamvua ubunge na kukataa kumlipa hata kiinua mgongo kwa kipindi alichotumikia.
Sasa amegombea uraisi hawaachi figisu, mikoa ya kusini wamemzuia kufanya mikutano zaidi ya 10, na Mkoa wa Pwani pia, kisa magufuli ameshindwa kufanya kampeni kusini.
Sasa leo anakuja kufunga kampeni Dar wanamletea figisu tena kwa makusudi. Sasa tunasema imetosha!!!!
Kesho kwa hasira tunaenda kupiga kura nyingi kwa Lissu na tutalizilinda hakika kwa gharama ya damu zetu. Hata tukifa ila historia itatukumbuka.
atue labda mbwinde hukoKatua tayari
Kwa hiyo Lisu akisema tutaruka kwa nguvu yeye rubani? Dar hewa imechafuka kuna mvua na upepo wa kufa MTU halafu mbona kuna wabunge Dar hajaenda wanakogimbea Dar mfano Suzan Lyimo mbona kawe anarudi Mara mbili wakati hajanadi mgombea ubunge wa ubungo na kinondoni?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu sasa si uende road mbona unatokwa povu tu humu?Hatuwezi kuishi kwenye nchi ya kipuuzi namna hii. Yaaani binadamu mwenzetu anaonewa kiasi hiki tena waziwazi na wala tusichukue hatua.
Walimpiga risasi wakitaka kumuua, akapona mauti ila wakamnyima matibabu, akapona kabis wakamvua ubunge na kukataa kumlipa hata kiinua mgongo kwa kipindi alichotumikia.
Sasa amegombea uraisi hawaachi figisu, mikoa ya kusini wamemzuia kufanya mikutano zaidi ya 10, na Mkoa wa Pwani pia, kisa magufuli ameshindwa kufanya kampeni kusini.
Sasa leo anakuja kufunga kampeni Dar wanamletea figisu tena kwa makusudi. Sasa tunasema imetosha!!!!
Kesho kwa hasira tunaenda kupiga kura nyingi kwa Lissu na tutalizilinda hakika kwa gharama ya damu zetu. Hata tukifa ila historia itatukumbuka.
Kisha rukaHatimaye safari ya Lissu kwenda Dar imeingia shubiri baada ya Chopa yake iliyopo KIA kunyimwa kibali cha kuruka.
Tundu Lissu mwenyewe amethibitisha hilo.
Chopa sio sawa na ndege zingine bila v coordinate unafika popote tu kwa kutumia gps na visibility ya chini unaruka chinichini tunani atawaongoza sasa si watajikuta wako songea au msumbiji huko lazima wapewe coordinates kuwa wasafiri kwa msafa haya
Lissu naye unatia kichefuchefu! uondoke bila kibali unadhani hiyo ni Toyota yako? Chopa, Chopa ndo kitu gani! Ndege dhaifu kabisa hiyo inayoweza kuanguka bila sababu ndo unajidai kuondoka bila kibali? Ubwege huo!ANAANDIKA MH.TUNDU LISSU
-------
Waheshimiwa viongozi salaam. Mimi na timu yangu ya kampeni tuko Kilimanjaro International Airport tangu saa nne asubuhi. Tulikuja kuweka mafuta kwenye chopper yetu ili tuweze kwenda Dar kwa ajili ya mkutano wetu wa kufunga kampeni unaotakiwa kuanzia Kawe saa tisa mchana.
Hata hivyo tumeshindwa kuondoka KIA kwa sababu hatujapatiwa kibali cha kutua Dar na Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA).
Huu ndio umekuwa utamaduni wa TCAA katika kampeni hizi tangu tuanze kutumia chopper. Wanatumiwa na CCM ili kuhujumu kampeni zetu na ndivyo walivyofanya wiki iliyopita Lindi na Mtwara.
Sasa itatulazimu tuondoke KIA kuelekea Dar bila kibali cha TCAA; wafanye lolote wanalotaka kufanya. Mimi na wenzangu hatutakubali kunyanyaswa namna hii tena. Dar jiandaeni, tuko njiani tunakuja!