Hivi wewe ni jinsia gani? ubongo wako una kamasi
Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Uzuri kwa illusions hua uko vzr.Leo si ndo Dday,hivi kweli mlidhani vitu vitaenda smoothly kama kawaida? ,Ilitakiwa tangu jana awepo dar,tena kwenye handaki futi 500 kwenda chini,ambako hata bunkerbuster haipenyi...
Mwaka huu mtapata urais wa damu . Mpaka muue watu ndio .uingie ikulu. Huyo ndie LissuHivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Wewe ni mpumbavu kweli, tangu lini NEC ikahusika na mambo ya usafiri wa anga?Kuna taarifa kuwa baada ya kucheleweshewa kibali cha anga akiwa Kilimanjaro Tundu Lisu ameamua kurusha choppa bila kibali kuwahi mikutano yake ya kufunga kampeni Dsm.
Ngoja tuone mamlaka husika ikiwemo NEC zitachukua hatua gani.
Maendeleo hayana vyama!
Ana miadi na mamako anamuwahiSasa Ataondokaje bila kibali akipata ajali au kuasabahisha ajali atamalaumu nani Asubiri dawa Imwingie. Hahaha Kwanza anakwenda Dar kufanya ninj wakati sio mpiga kura
Pilot atakua huyu hapa.Kama wataondoka KIA TCAA pilot atakua Tundu au?
Nawaza taratibu na sheria
Naona itakuwa leo anapigia simu kila mkurugenzi kuweka mambo sawa.Yule wa CCM pesa zimeisha za kusomba watu kupeleka Dodoma ameshindwa funga kampeni why amfanyie figisu mwenzake asifunge kampeni
Unajua maana ya kupigwa miti?Mnaomba kibali kama vile ni nyie tu ndio mulikuwa waombaji.. musubiri muda wenu. Mtapewa tu..
Kesho [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
[emoji6][emoji6][emoji6]Hii website ya jamiiforum imeshakuwa kama tawi la ccm kwasababu kuna watu huwa wanataka kuilinganisha na mitandao mizito ya kijamii kama facebook au twiter huwa nawacheka sanaaaaa
Da Jane nimetamani nikujibu nimeona itakuwa personal ....nimeishia kuwazaHivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Wewe unamumunywa au[emoji849]Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Pole sana Lissu! Nimeweka tetesi hapa ya kitu hiki wamefuta, sijui kama hii itakaa
Hii website ya jamiiforum imeshakuwa kama tawi la ccm kwasababu kuna watu huwa wanataka kuilinganisha na mitandao mizito ya kijamii kama facebook au twiter huwa nawacheka sanaaaaa
ccm ndo wanaoshurutisha kutokutii sheria, nahatimaye Lisu atashinda uchaguzi na pombe kumwagwa kwa waleviHivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Wamepaa bila kibali
ccmchanel hi![emoji2772][emoji2772][emoji2772]Mnaomba kibali kama vile ni nyie tu ndio mulikuwa waombaji.. musubiri muda wenu. Mtapewa tu..
Kesho [emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169][emoji172][emoji169]
Pilot atakua huyu hapa.View attachment 1613704