Mcharo son
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 4,718
- 3,804
Haujui TCRA wataminya mtandao hata hiyo unayosema haitawezekana.Chadema acheni kupoteza mda. Kama mmenyimwa kibali cha kuruka andaeni big screen uko Kawe hili Lisu afanye mkutano kwa kutumia video call, zoom, skype njia yoyote hile ambayo wanachama watamuona.
Huo ndio upapambanaji sio kulalamika na kutaka kuvunja sheria hili kuwapa sababu ya kuwakamata.
Tumieni njia mbadala ya kuwafikia wananchi.
CCM na idara zake mwaka huu wanapata tabu sana, haiwezekani mtu asubiri kibali muda wote huo wasikitoe, huu ni mchezo mchafu unaofanywa na mamlaka ya anga Tanzania.
Wakati wa tension kama huu mambo ya kijinga kama haya hayatakiwi kuwepo, ndio yanazidisha chuki na hasira, halafu mwishowe watu wakidai haki zao wanapigwa risasi bila sababu huku mkiimba wimbo wenu wa amani...amani!.
Idara za serikali hata kama zinatumika na CCM ziache uzembe usiokuwa na sababu za msingi kuepusha maafa, msisubiri mpaka mtu alalamike ndio mchukue hatua, timizeni wajibu wenu.
Kwa ujinga wako unadhani helicopter inategemea kuongozwa kutoka ardhini? Halafu wewe ni nani mpaka povu linakutoka mkunduni?You fly without approved flight plan ? Utaongozwa na nani angani ? Ndege ya kwako au ya nani? bila approved flight plan, unasafiri bila insurance ya hiyo ndege. Na hata ukimaliza mkutano wako ndege inaenda nyumabani kwako? How can you fly in total violation of airspace rules? How Lissu hicho kiburi nikupitiliza, labda wajinga wachache sana watakubali uamuzi huo. Wenye akili wanawezaje kuunga mkono that mad decision ?.
UMEPEWA LESENI YA KURUKA WEWE, UNATU CHEMSHA VICHWA KUTENGENEZA CHUKI NA SERIKALI.
I hold valid private pilot licence.
Hulazimiki kuheshimu bad law.Mamlaka ya anga inamuandalia majibu mazuri ya hoja zake.
Unashindwa kuheshimu mamlaka ukiwa mgombea, ukipewa nchi utaiongozaje kama kiburi kinakupa upofu wa nafsi?!!
Naona hasira zimekupanda, keshokutwa ndio utakuwa mwekundu kabisaKwa ujinga wako unadhani helicopter inategemea kuongozwa kutoka ardhini? Halafu wewe ni nani mpaka povu linakutoka mkunduni?
Kuna flight level huhitaji control tower.You fly without approved flight plan ? Utaongozwa na nani angani ? Ndege ya kwako au ya nani? bila approved flight plan, unasafiri bila insurance ya hiyo ndege. Na hata ukimaliza mkutano wako ndege inaenda nyumabani kwako? How can you fly in total violation of airspace rules? How Lissu hicho kiburi nikupitiliza, labda wajinga wachache sana watakubali uamuzi huo. Wenye akili wanawezaje kuunga mkono that mad decision ?.
UMEPEWA LESENI YA KURUKA WEWE, UNATU CHEMSHA VICHWA KUTENGENEZA CHUKI NA SERIKALI.
I hold valid private pilot licence.
MbwaSawa tunawasubiri, labda mtafika salama, who knows ?
Bila yeye kuipuuzia Corona, leo mngeweza kufanya hiyo mikutano?Mwenyezi Mungu,ikukupendeza ,tuondolee huyu mtu ambae ni chanzo cha yote haya.
Ungekuwa karibu na Mimi ungelamba ngumi leo.Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
mimi nipo Dar muda huu hali ya hewa ni shwari. acheni uzushiNaamini mna wataalamu wa hali ya hewa wa kuthibitisha kuwa huu siyo wakati salama kwa matumizi ya ndege ndogo kama CHOPA. Kuna ajali nyingi za ndege aina hiyo ambazo vyanzo vyake ni hali mbaya ya hewa.
Mkilazimisha na ikatokea ajali msiilaumu Serikali. Heri lawama kuliko fedheha wahenga walinena.
Amina..I know.
..lakini mimi hii helikopta sikuipenda toka mwanzo.
..sema kufungiwa kampeni wiki moja kulilazimisha matumizi ya helikopta.
..anyway, leo kampeni zinahitimishwa, hivyo tuombee USHINDI.
Idara za serikali hata kama zinatumika na CCM ziache uzembe usiokuwa na sababu za msingi kuepusha maafa, msisubiri mpaka mtu alalamike ndio mchukue hatua, timizeni wajibu wenu.
tens kwa pilot mzoefu.Kuna flight level huhitaji control tower.
kwahiyo unafikiri ukiwa na chopper unajirushia muda wowote unaotaka?😄Sheria zipi???
Bila yeye kuipuuzia Corona, leo mngeweza kufanya hiyo mikutano?
Haina shida ila hali ya hewa Dar mbaya tena mno mvua imeisha ila yaweza shuka muda wowote mawingu yamefunga hasaLissu amesharuka yuko njiani
ANAANDIKA MH.TUNDU LISSU
-------
Waheshimiwa viongozi salaam. Mimi na timu yangu ya kampeni tuko Kilimanjaro International Airport tangu saa nne asubuhi. Tulikuja kuweka mafuta kwenye chopper yetu ili tuweze kwenda Dar kwa ajili ya mkutano wetu wa kufunga kampeni unaotakiwa kuanzia Kawe saa tisa mchana.
Hata hivyo tumeshindwa kuondoka KIA kwa sababu hatujapatiwa kibali cha kutua Dar na Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA).
Huu ndio umekuwa utamaduni wa TCAA katika kampeni hizi tangu tuanze kutumia chopper. Wanatumiwa na CCM ili kuhujumu kampeni zetu na ndivyo walivyofanya wiki iliyopita Lindi na Mtwara.
Sasa itatulazimu tuondoke KIA kuelekea Dar bila kibali cha TCAA; wafanye lolote wanalotaka kufanya. Mimi na wenzangu hatutakubali kunyanyaswa namna hii tena. Dar jiandaeni, tuko njiani tunakuja!