Msitegemee kutawala nchi katu. Mnataka kuhalalisha ushoga. Nendeni huko kwenye nchi walohalisha ushoga mkale bataKwa akili yako unadhani plan B ni ipi??? Kama kutumia gari unajua umbali wa Dar-Moshi wewe????
Tatizo ccm mmejazana vilaza sana na Ndo mana miaka nenda rudi nchi yetu chini yenu itazidi kuwa masikini sana. Ccm hamna akili sana na lazima tuwatoe mwaka huu
Mungu siyo AmsterdamMwenyezi Mungu,ikukupendeza ,tuondolee huyu mtu ambae ni chanzo cha yote haya.
PumbafuLissu naye unatia kichefuchefu! uondoke bila kibali unadhani hiyo ni Toyota yako? Chopa, Chopa ndo kitu gani! Ndege dhaifu kabisa hiyo inayoweza kuanguka bila sababu ndo unajidai kuondoka bila kibali? Ubwege huo!
Jilaumu kwa ratiba mbovu. Kama ulijua unafanyiziwa sabotage kwa nini upange ratiba ya aina hiyo? wewe hujui kuruka vikwazo!
Mods siku hizi wana bore. Mpaka wakati mwingine naanzisha mijiuzi kibao kuwafanya wasome mpk wakome. Maana unaanzisha uzi eti subiri kwanza upitiwe. Baada ya mda hola.Pole sana Lissu! Nimeweka tetesi hapa ya kitu hiki wamefuta, sijui kama hii itakaa
Amsterdam ni kiboko ya madiktetaMungu siyo Amsterdam
sasa ukikutana na fog si utapiga mlima mkuu alafu afe muilaumu ccm na leo hali ya hewa ni mvuaChopa sio sawa na ndege zingine bila v coordinate unafika popote tu kwa kutumia gps na visibility ya chini unaruka chinichini tu
Sheria zipi???Hivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Hali ya hewa Dar umeiona ? Imechafuka .Niko Dar kuna mvua na upepo mkali.Huo mkutano wataufanya kwenye ukumbi au?Helikopta utakua hata Chalinze au Mlandizi
Na atawaponza wasipojiongezaAsiwaponze wao hawana ulinzi
Mkoa wa Pwani hali ni Muruwaa atatua huko halafu achukue mwendo kasiHalu ya hewa Dar umeiona ? Imechafuka .Niko Dar kuna mvua na upepo mkali.Huo mkutano wataufanya kwenye ukumbi au?
Aanze na dikteta Mbowe kwanzaAmsterdam ni kiboko ya madikteta
Huko aliko lala usidhani alikuwa fofofo. Think broadly..You have good points.
..hata mimi sikutegemea Tundu Lissu aendelee na chopa baada ya kumaliza kampeni Same Kilimanjaro jana.
..angerudi Dsm kwa magari, ingemchukua masaa 6 mpaka 7 mwendo wa kawaida kuhakikisha anawahi kampeni za leo.
..I think this was a tactical mistake ukizingatia kuwa muenendo wa Tcaa unajulikana.
NB:
..pia jana wangeweza kuanza kampeni Handeni, halafu Same Mashariki, na kumalizia Same Magharibi. Hapo tayari wangekuwa wako barabara kuu ya kuelekea Dsm.
Pwani na Dar SAA hii kuna mvua na upepo mkaliHelikopta utakua hata Chalinze au Mlandizi
Jinga weweHivi kwann hapendi kutii sheria bila shuruti
Unategemea nini, watu wanapewa kazi kindugu hakuna ueledi kabisa...lakini haya ni mambo ambayo hayakutakiwa kutokea kabisa.
..mamlaka ya usafiri wa anga kujiingiza ktk kufanya hujuma za kisiasa ni fedheha kubwa sana.
Acheni ujinga kwani hawezi kupanda gariKuna tetesi kuwa Lissu amezuiliwa kuondoka KIA kuja Dar. Mwenye fununu atuhabarishe.
Eti anasema wataruka bila kibali, labda aiendeshe yeye mwenyewe. Kuna pilot bwege wa aina hiyo angani? Kama ulivyosema, anajieleza eti ni kawaida ya TCAA, yaani mtu anayetafuta urais hawezi kuikwepa kawaida!Kwanini hamkuoversee hii possibility,,?,ndo maana nasemaga hamjawa tayari kuongoza,hii ilitakiwa muione kabla na muweke plan B,C,D
Bado hajafika ?Huko aliko lala usidhani alikuwa fofofo. Think broadly