Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Tundu lisu sio wakwanza kusema hii habari, alianza MshanaJ kusema hii habari, tafuta Kuna uzi mshana aliweka hapa jf.
 
Great!!! KUna vitoto humu vikisha valisha hirizi viunoni ndo vinaona kuwa VIMEOTA MENO
 

umepanic tulia dawa ilkuingie kunako
 

tutajie wewe basi anaeiyongoza ni nani?
 
 
Huyu tulimuonya mapema kwamba atimue sukuma gang wote akawaacha tu

Ndo maana kulikua na ccm ya watu wa mkapa, ccm ya kikwete, na magufuli akaja na ccm yake akatengeneza team yake akachukua hadi watu kutoka upinzani wakampa nguvu km watu wake....tatzo la mama hana team...hajatengeneza genge lake


Alionywa mapema asiendekeze lile genge la magu maana offcourse samia na majaliwa zilikua haziivi, walikua hata salam hawapeani but akamwaacha tu huyu mama alikosea angetengeneza serikali yake na watu wake anyofoe genge lote asuke kitu kipya na ndani ya chama awadhoofishe watu wanaohatarisha ushawish wake but aliwaacha tu

Sasa unavuna unachopanda tulikuonya juu ya wanaokuzunguka ukatuona hatuna akili hangaya hao wanakuangusha...

Huyu mama siku 100 alifanya makubwa lakini ghafla kabadilika jambo ambalo sio la kawaida kuna kitu hakipo sawa wakuu.....................kuna jambo limestuck mahali............haiwezekani samia wa siku 100 awe tofauti na wa sasa wawe tofauti wa asilimia 100 big no!
 
Dah lisu kalishwa tango pori mbona anayedaiwa kumteka Rais inasemekana ni mgonjwa critical sana tu aisee?
 
Umbea tuuu !!!
 
 
U
Utopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…