Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Lissu afunguliwe mashtaka kwa kutoa taarifa za uongo

Ni upuuzi kuamini habari hii kisa tu tundu islu aemsema.

Bali kudai uthibitisho kwa tundu lissu juu ya alichosema ndio kuwa na akili kwenyewe.

Mtu anaweza kukuona unaenda guest kila siku akakuzushia kwqmba una malaya wako unagonga hapo na mtu ukaamini kutokana na mazingira yanavyoshabihiana lakini ushahidi hana.

Mtu anaweza kukuona unajuana na shoga fulani akakuzushia kwamba unapiga yule shoga na mtu akaamini kwamba ni kweli kutokana na mazingira yanavyoshabihiana,ushahihi ni kudai ushahidi wa madai.

Suala hili Tundu lissu anatakiwa atoe ushahidi badala ya kutumia mazingira ambayo yanaonekana kama kushabihiana na maneno yake.

Watanzania tunatakiwa tuache utumwa wa fikra usiamini moinzani wala mtawala mpaka uhoji kwa kina upewe ushahidi wa maneno yake
Tundu lisu sio wakwanza kusema hii habari, alianza MshanaJ kusema hii habari, tafuta Kuna uzi mshana aliweka hapa jf.
 
You truly a Great Thinker...

You are very intelligent...

Hii kitu inatafakarisha sana hasa uki connect dots za matukio ya ajabu ajabu yanayotokea...

Hata mijadala inayoendeshwa kule space ni ya kimkakati zaidi kuibua mambo yasiyoweza kuibukika ktk mazingira ya kawaida kufikisha ujumbe kwa serikali na umma kujipima..!!
Great!!! KUna vitoto humu vikisha valisha hirizi viunoni ndo vinaona kuwa VIMEOTA MENO
 
Eti halafu nyinyi ndio mpewe nchi muongoze??? Badala ya kushughulika na vitu vya maana mnaendekeza umbea tu.

Nyinyi endeleeni kupiga soga huku CCM inajipanga na mikutano ya mpaka kwenye matawi huko. Mkija mkishtuka ni July 2025, mnachezea kichapo tena ikifika October 2025 mnaanza kujazana ujinga wa muandamane.

Ama kweli CCM itaendelea kutawala for more years to come.

Viva CCM viva Mama Samia Suluhu Hassan.

umepanic tulia dawa ilkuingie kunako
 
LISSU anatakiwa mambo mengine akae Kimya yanamshushia credibility, nchi inajulikana anayeongoza ni nani hata Majaliwa hana ubavu huo! Na take over ilifanyika tokea mwezi March 13 ,2021 … LISSU ajichunge sana na Rwehumbiza atamuingiza Chaka kwa baadhi ya Taarifa

tutajie wewe basi anaeiyongoza ni nani?
 
Mambo huanza hivi hivi.
Zinaanza kama tetesi lakini mwisho wa siku zinakuwa kweli kwa 100%, kama kifo cha Magu kilivyokuwa....

Kwa jinsi nchi inavyopelekwa kipuuzi fulani hivi na namna mama alivyogeuka ghafla ndani ya muda mfupi sana, bila shaka hana control na kiti chake tena. Lazima kuna kakikundi kamepora madaraka yake.

Tujipe muda.
Muda ni mwalimu mzuri sana.
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Huyu tulimuonya mapema kwamba atimue sukuma gang wote akawaacha tu

Ndo maana kulikua na ccm ya watu wa mkapa, ccm ya kikwete, na magufuli akaja na ccm yake akatengeneza team yake akachukua hadi watu kutoka upinzani wakampa nguvu km watu wake....tatzo la mama hana team...hajatengeneza genge lake


Alionywa mapema asiendekeze lile genge la magu maana offcourse samia na majaliwa zilikua haziivi, walikua hata salam hawapeani but akamwaacha tu huyu mama alikosea angetengeneza serikali yake na watu wake anyofoe genge lote asuke kitu kipya na ndani ya chama awadhoofishe watu wanaohatarisha ushawish wake but aliwaacha tu

Sasa unavuna unachopanda tulikuonya juu ya wanaokuzunguka ukatuona hatuna akili hangaya hao wanakuangusha...

Huyu mama siku 100 alifanya makubwa lakini ghafla kabadilika jambo ambalo sio la kawaida kuna kitu hakipo sawa wakuu.....................kuna jambo limestuck mahali............haiwezekani samia wa siku 100 awe tofauti na wa sasa wawe tofauti wa asilimia 100 big no!
 
Dah lisu kalishwa tango pori mbona anayedaiwa kumteka Rais inasemekana ni mgonjwa critical sana tu aisee?
 
Akiongea katika kipindi cha Maria Sarungi Space Jana akijibu maswali mbalimbali ya washiriki wa mjadala huo, Tundu Lissu ametoa taarifa serious kidogo kuhusu Rais na nchi yetu...

Kwamba, taarifa walizonazo kwa sasa ni kuwa "....Madam President Samia Suluhu Hassan is held hostage..." , kwamba si yeye anayeongoza nchi kwa sasa. Ameshauriwa yeye akae pembeni na swala la usalama wa nchi awaachie PM Majaliwa na waziri wa usalama, Mchengelewa washughulike nalo...
View attachment 1932324

MAONI YANGU:

Kama hii ni kweli, kikatiba imekaaje? Kama Rais huyu mama kakubali ushauri huu, atakuwa anajua kweli jukumu na wajibu wake kama Rais wa nchi...? Kwanini washauri wake wakuu wamefanya hivi..?

Kuna possibility kubwa hili linaweza kuwa la kweli kwa kuangalia viashiria fulani fulani...

Hebu chunguzeni ziara na matukio ambayo Rais Samia Suluhu anapangiwa kushiriki kwa takribani miezi miwili iliyopita....

Ni yale ya utoto utoto tu ambayo siyo level yake kuyafanya kwani yangeweza kufanywa na wasaidizi wake kama waziri wa sekta husika, RC au DC...

Inashangaza kuwa anajihusisha ktk mambo madogo madogo mno huku akiacha kuumiza akili kushughulika na maswala serious kama vile hali ngumu ya uchumi, tozo kandamizi, hali tete na mbaya ya kisiasa na mengine mengi yanayohusu nchi na wananchi ambayo kwa sasa yanaelea elea hewani tu bila mwongozo thabiti toka kwa Rais kiongozi makini wa nchi...

Angalia matukio anayoshiriki Rais; mfano Royal Tour, kushiriki tamasha la ngoma za kienyeji Magu Mwanza nk nk ni ya kupumbaza tu, yasiyo na positive impact yoyote katika maisha ya watu kwa ujumla. Nyuma ya matukio haya lipo lengo fulani baya nyuma ya pazia. THE TIME WILL TELL...

Naweza kuamini hili la Tundu Lissu kwa 99%...
Umbea tuuu !!!
 
Lissu kafika hapa, wapi ????

Si mara ya kwanza Lissu ku expose ma skandali ya tawala za nchi hii…

Lissu ndie aliyeliambia taifa kwamba mweka hazina wa nchi ni mtoto wa dadaake Rais, kila hela anayotaka Rais wanaongea kwenye simu wawili inapita… mchana huo huo akatwangwa risasi 16….

Ajabu na aibu mtu mmoja nje ya bunge anafanya kazi ya oversight and restraint of government kubwa kuliko bunge zima la chama kimoja.
 
U
Ni upuuzi kuamini habari hii kisa tu tundu islu aemsema.

Bali kudai uthibitisho kwa tundu lissu juu ya alichosema ndio kuwa na akili kwenyewe.

Mtu anaweza kukuona unaenda guest kila siku akakuzushia kwqmba una malaya wako unagonga hapo na mtu ukaamini kutokana na mazingira yanavyoshabihiana lakini ushahidi hana.

Mtu anaweza kukuona unajuana na shoga fulani akakuzushia kwamba unapiga yule shoga na mtu akaamini kwamba ni kweli kutokana na mazingira yanavyoshabihiana,ushahihi ni kudai ushahidi wa madai.

Suala hili Tundu lissu anatakiwa atoe ushahidi badala ya kutumia mazingira ambayo yanaonekana kama kushabihiana na maneno yake.

Watanzania tunatakiwa tuache utumwa wa fikra usiamini moinzani wala mtawala mpaka uhoji kwa kina upewe ushahidi wa maneno yake
Utopolo
 
Back
Top Bottom