Uchaguzi 2020 Lissu akishinda urais, nchi italipuka kwa shangwe isiyo ya kawaida

Haitawezekana hata kwa mfano, Tundu lisu ni mchafuzi tu wa mazingira,
Kwa sasa alitakiwa aombe udiwani.
 
Naye ni beberu kakandamiza wananchi wengi wanyonge kwa manufaa yake pia ukimhoji juu yake upo hatarini kwa kawabambikizia kesi wangapi, ona rugemarira yuan wap
 
Walioko na wanaogombea CCM ni wasaka tonge tu wala hawana uchungu na WANANCHI na ndio maana wametuletea Sheria za ajabu sana za MAFAO wakati wenyewe washachukua chao ni UBINAFSI WA HALI YA JUU SANA. WOTE MBWA TUU.
 
Naye ni beberu kakandamiza wananchi wengi wanyonge kwa manufaa yake pia ukimhoji juu yake upo hatarini kwa kawabambikizia kesi wangapi, ona rugemarira yuan wap
Uliyekandamizwa ni wewe ndugu zako wote wametimuliwa kazini kwa vyeti feki.
 
Kwahiyo wewe ni Mungu au tusubiri mwingine?
 
Walioko na wanaogombea CCM ni wasaka tonge tu wala hawana uchungu na WANANCHI na ndio maana wametuletea Sheria za ajabu sana za MAFAO wakati wenyewe washachukua chao ni UBINAFSI WA HALI YA JUU SANA. WOTE MBWA TUU.
HATUKO TAYARI KUWAGAWIA MABEBERU TAIFA HILIII.HATA IWEJEEE.
 
Yani Lisu ashinde urais?

Wa wasafi ama?
huyo wenu zamu hii anatembea na WCB kila mahali kwenye mikutano kujenga mazingira ya kujiunga na wasafi baada ya uchaguzi maana hata kupiga ngoma na kucheza singeli yuko fiti kinoma
 
Wabongo wengi KE na ME watalia machozi ya furaha kuona dikteta kagarazwa hivyo hakuna tena HOFU kubwa ya kutekwa na watu wasiojulikana kuteswa na hata kuua kwa kutumia HAKI NA UHURU wetu wa Kikatiba. Watanzania tutaheshimiwa hakuna tena kutukanwa, kudhalilishwa, kufokewa, kufukuzwa kazi kama mbwa. Pesa za walipa kodi zitatunzwa vizuri na siyo kufujwa fujwa hovyo kama ilivyo sasa kwa miradi isiyo na toka au kununulia wanasiasa malaya.

Sura zenye furaha kubwa za Watanzania zitarudi tena kila kona Nchini huku tukijipongeza kwa kumtoa nd$&@# Ikulu kwa mara nyingine tena kama tulivyomtoa nduli Idi Amin.

 

Nani amekwambia Lowasa hakushinda tatizo tume haikumtangaza, unadhania kwanini jambo la kwanza Rais alipiga marufuku mikutano ya kisiasa ili kudhibiti kusitokee maandamano ya kumpinga
 
Nani amekwambia Lowasa hakushinda tatizo tume haikumtangaza, unadhania kwanini jambo la kwanza Rais alipiga marufuku mikutano ya kisiasa ili kudhibiti kusitokee maandamano ya kumpinga
Hahaha Na Kwa Lissu haya ndio yatakuwa Matokeooo
 
Tutakuwa tumepata uhuru kwa mara ya pili.
 
Haitawezekana hata kwa mfano, Tundu lisu ni mchafuzi tu wa mazingira,
Kwa sasa alitakiwa aombe udiwani.
Kama unaamini Mungu amlisaidia Magufuli kupambana na corona ni lazima pia uamini kuwa Mungu alimponya Lissu risasi 16 ili aje kuwa Raisi wako 2020-2025
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…