..Bakhresa amewekeza Rwanda, Burundi, DRC, na kote huko hawana muungano na Zanzibar.
..Kama Bakhresa amewekeza katika nchi nilizozitaja ambazo hazina muungano na Zanzibar, basi anaweza kuwekeza hapa Tanganyika hata kukiwa hakuna muungano.
..Na haitakuwa ajabu Bakhresa kuwa anachukia muungano kwasababu Wazanzibari waliowengi, na haswa Wapemba, wanapinga muungano, na kulilia Zanzibar yenye mamlaka kamili.
..Kama Bakhresa amewekeza katika nchi nilizozitaja ambazo hazina muungano na Zanzibar, basi anaweza kuwekeza hapa Tanganyika hata kukiwa hakuna muungano.
..Na haitakuwa ajabu Bakhresa kuwa anachukia muungano kwasababu Wazanzibari waliowengi, na haswa Wapemba, wanapinga muungano, na kulilia Zanzibar yenye mamlaka kamili.