Pre GE2025 Lissu akiwa Rais atavunja muungano halafu atawafukuza Wazanzibari wote pamoja na Bakhresa?

Pre GE2025 Lissu akiwa Rais atavunja muungano halafu atawafukuza Wazanzibari wote pamoja na Bakhresa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
..Bakhresa amewekeza Rwanda, Burundi, DRC, na kote huko hawana muungano na Zanzibar.

..Kama Bakhresa amewekeza katika nchi nilizozitaja ambazo hazina muungano na Zanzibar, basi anaweza kuwekeza hapa Tanganyika hata kukiwa hakuna muungano.

..Na haitakuwa ajabu Bakhresa kuwa anachukia muungano kwasababu Wazanzibari waliowengi, na haswa Wapemba, wanapinga muungano, na kulilia Zanzibar yenye mamlaka kamili.
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Wasiwasi wako tu. How do you know?
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Elimu elimu elimu
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Acha propaganda za kindezi!
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza

Aliondoka mwingereza itakuwa huyo muuza energy drink !.
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Mbona Dangote ana viwanda Tanzania, kwani TZ ina muungano na Naija?
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Punguza umasikini wako,kwani Bakhresa siyo binadamu?

Kama atatakiwa kufukuzwa afukuzwe tu
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Muungano unakusaidia nini ?.
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Kwa nini uwafukuze? Zenj itakua nchi kamiri, kama Uganda, au Kenya, na raia wake watafata sheria kama wengine tu, atakae taka kuwa mbongo, anaomba uraia tu
 
Back
Top Bottom