Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,494
- 96,074
Hili swali ni gumu sana kwa watu wanaotumia tumbo kufikiriaMbona Dangote ana viwanda Tanzania, kwani TZ ina muungano na Naija?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili swali ni gumu sana kwa watu wanaotumia tumbo kufikiriaMbona Dangote ana viwanda Tanzania, kwani TZ ina muungano na Naija?
Usikute jamaa ni mtumishi wa wahoka mikate[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jamaa anataka muungano usivunjike kisa Bakhresa kawekeza. [emoji3]
Cha kwanza atawasamehe wale mawakala wote wa shetani, na kupatikana katiba mpya,uchaguzi huru na haki utakao fuata baada ya tume huru ya uchaguzi.Hapo vipi Chiembe😂Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.
Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.
Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?
Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
👁!Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.
Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.
Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?
Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Ongezea na southafrica ambapo kafungua kiwanda ambacho serikali ya southafrica imekiita state of art ,kweli wazanzibar wanataka mamlaka yao kamili..Bakhresa amewekeza Rwanda, Burundi, DRC, na kote huko hawana muungano na Zanzibar.
..Kama Bakhresa amewekeza katika nchi nilizozitaja ambazo hazina muungano na Zanzibar, basi anaweza kuwekeza hapa Tanganyika hata kukiwa hakuna muungano.
..Na haitakuwa ajabu Bakhresa kuwa anachukia muungano kwasababu Wazanzibari waliowengi, na haswa Wapemba, wanapinga muungano, na kulilia Zanzibar yenye mamlaka kamili.
Ni haki yao !Ongezea na southafrica ambapo kafungua kiwanda ambacho serikali ya southafrica imekiita state of art ,kweli wazanzibar wanataka mamlaka yao kamili
Ujinga siku zote huwa ni mzigo mzito 👁🫵Watu wajinga huwa kwa kawaida wana fikra finyu, sasa unapo deal na mjinga lazima uwe very smart.
Kwa sisi kuhoji namna bora ya kuboresha muungano huu ili kila upande wa muungano apate haki zake anazostahiki kwao ni kosa tena wanadai ni kosa la kutaka kuuvunja.
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.
Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.
Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?
Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Ana ulemavu wa fikira.Jamaa anataka muungano usivunjike kisa Bakhresa kawekeza. 😀
maoni yako yana muhemko dah🐒Pumbafu sana
nani atampatia huo urais kwanza tuanzie hapo ndiyo tuendelee kutoa maoni mengineLeo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.
Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.
Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?
Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Umekurupuka kunijibu hivyo,mimi wala huo muungano siupendi hata ukivunjika leo nitafurahi lakini nimemjibu hivyo huyo mleta hoja kwani amesema hivyo kumkandia Lissu kuwa ni mtu wa hovyo.Kwani ukivunjika utapata msiba nyumbani kwako?
Kichaa hakabidhiwi rungu bwasheeAkili zako umezisahau pale lumumba chumbani kwa mlipa buku 7