Pre GE2025 Lissu akiwa Rais atavunja muungano halafu atawafukuza Wazanzibari wote pamoja na Bakhresa?

Pre GE2025 Lissu akiwa Rais atavunja muungano halafu atawafukuza Wazanzibari wote pamoja na Bakhresa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Cha kwanza atawasamehe wale mawakala wote wa shetani, na kupatikana katiba mpya,uchaguzi huru na haki utakao fuata baada ya tume huru ya uchaguzi.Hapo vipi Chiembe😂
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
👁!
 
..Bakhresa amewekeza Rwanda, Burundi, DRC, na kote huko hawana muungano na Zanzibar.

..Kama Bakhresa amewekeza katika nchi nilizozitaja ambazo hazina muungano na Zanzibar, basi anaweza kuwekeza hapa Tanganyika hata kukiwa hakuna muungano.

..Na haitakuwa ajabu Bakhresa kuwa anachukia muungano kwasababu Wazanzibari waliowengi, na haswa Wapemba, wanapinga muungano, na kulilia Zanzibar yenye mamlaka kamili.
Ongezea na southafrica ambapo kafungua kiwanda ambacho serikali ya southafrica imekiita state of art ,kweli wazanzibar wanataka mamlaka yao kamili
 
Lissu ni mwanasiasa mahiri na ni msomi na ni mwanasheria 👁

Anazijua sheria za kimataifa vizuri sana
Kwahiyo hawezi kufanya vitu vya kijinga kijinga kama hivyo vya kufukuza fukuza watu 👁😷😇
 
Watu wajinga huwa kwa kawaida wana fikra finyu, sasa unapo deal na mjinga lazima uwe very smart.

Kwa sisi kuhoji namna bora ya kuboresha muungano huu ili kila upande wa muungano apate haki zake anazostahiki kwao ni kosa tena wanadai ni kosa la kutaka kuuvunja.
 
Watu wajinga huwa kwa kawaida wana fikra finyu, sasa unapo deal na mjinga lazima uwe very smart.

Kwa sisi kuhoji namna bora ya kuboresha muungano huu ili kila upande wa muungano apate haki zake anazostahiki kwao ni kosa tena wanadai ni kosa la kutaka kuuvunja.
Ujinga siku zote huwa ni mzigo mzito 👁🫵
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza


Ninachojua atafuata katiba, kama kufuata katiba ni kuwafukuza na kumwondoa Bakhresa, basi afafanya hivyo, na ni sahihi maana ndo katiba yetu ilivyo..
 
Nilivyoona "Tanzania inawawekezaji wengi kutoka Zanzibar" nikachoka kabisa.
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
nani atampatia huo urais kwanza tuanzie hapo ndiyo tuendelee kutoa maoni mengine
 
Back
Top Bottom