Pre GE2025 Lissu akiwa Rais atavunja muungano halafu atawafukuza Wazanzibari wote pamoja na Bakhresa?

Pre GE2025 Lissu akiwa Rais atavunja muungano halafu atawafukuza Wazanzibari wote pamoja na Bakhresa?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
yule ni rambaramba mdomo wake utakutisha kama hauna ufahamu na utakuteka kama haina punje ya akili!.
yule jamaa anataka kuturudisha karne za nyuma sana!

kama hafanyi kwa kusudi basi anatatizo fulani!.

ikiwa ataweza kuwa rais basi kaa ukijua hakuna mabadiliko makubwa utayaona maana kile chama nacho ni rambaramba tu!.

anaongea hayo anayoongea kwasababu ndio hoja alizonazo kwasasa na ndio anaona zitabamba ila akikalishwa kitini nakufahamu ndani nje nchi inavyoongozwa ataufyata na hautaamini kuwa ni yeye!.

wanasiasa wengi hivi sasa wanahofia matumbo yao tu! rejelea 2015 lowasa alipowania urais kupitia chadema,rejelea maneno ya lisu huyo ni makamu mwenyeki sasa rejelea miaka nyuma ya 2015, utaona mishipa ilivyokuwa ikiwasimama wakisema lowasa fisadi.

kwa mwenye akili timamu kile chama sio chama ni chama la chama....[emoji23]
Wewe mbona una matatizo ya akili lkn bado watu wanaheshimu mawazo yako?

Wacheni chuki za kipumbavu.
Yaani mpinzani akitoa mawazo yake basi uvccm hamlali kazi kuponda.
 
Bakhresa watoto wake wamezaliwa Tanganyika kwahio ni raia wa Tanganyika kama Lissu.

Lissu atauliza pande zote mbili kama wanautaka muungano au hapana. Sio kama Nyerere na Karume walivyofanya bila ya ridhaa ya pande mbili.

Lissu ni mpenda haki sio kama viongozi wa ccm wapo kimaslahi binafsi
Umemaliza kazi kuu iliyokuwa inawalaza maccm bila viatu na kisa ni kwao kutotumia akili.
 
Acha uoga. Hata yatokee majanga kama ya enzi za nuhu wafe viongozi wote nchini pamoja na wasomi wabaki watu 10000 tu nchini. Nchi itasimama kama nchi na maendeleo yatakuwepo tu. Tunadanganyana sana kama taifa. SSB hata afunge viwanda leo ufumbuzi utajulikana tu.
Kabisa kabisa
 
Wewe mbona una matatizo ya akili lkn bado watu wanaheshimu mawazo yako?

Wacheni chuki za kipumbavu.
Yaani mpinzani akitoa mawazo yake basi uvccm hamlali kazi kuponda.
mi sina matatizo ya akili, halafu mi sina ubia na chama chochote kile uvccm mwenyewe na sina chuki!
 
Leo nimejikuta nawaza hili jambo, inawezekana tukawa tunamchukulia Lissu kwa urahisi rahisi, kumbe mwenzetu ana jambo zito zaidi. Tanzania ina wawekezaji wengi kutoka zanzibar, na wengine wameoa bara.

Bakhresa ni mmoja wa wawekezaji wakubwa sana na analipa kodi kubwa kuliko huyo Lissu.

Nawaza hawa walioajiriwa pamoja na wauza ukwaju, vingamuzi, walioajiriwa viwandani wote watakosa kazi, familia zao zitaishije?

Lissu pia atasababisha maelfu ya ndoa zivurugike kwa kuwa wenza wa baadhi atawafukuza
Siku zote Lissu ni wa kupuuzwa Mkuu. Huwa anaropoka kwanza, halafu anafikiria baadae.
 
..Bakhresa amewekeza Rwanda, Burundi, DRC, na kote huko hawana muungano na Zanzibar.

..Kama Bakhresa amewekeza katika nchi nilizozitaja ambazo hazina muungano na Zanzibar, basi anaweza kuwekeza hapa Tanganyika hata kukiwa hakuna muungano.

..Na haitakuwa ajabu Bakhresa kuwa anachukia muungano kwasababu Wazanzibari waliowengi, na haswa Wapemba, wanapinga muungano, na kulilia Zanzibar yenye mamlaka kamili.
Ubarikiwe kwa comment yenye akili
 
Back
Top Bottom