Kama chama ni chake uchaguzi wa nini?si abakie kuwa mfalume wa milele? afute uchaguzi abakie na chama chakeWewe, mamaako, babaako, mkeo na watoto wako ndio wajinga. Mnang'ang'ania chama cha wenzenu. Mbowe kaishasema Chadema ni chama chake na akiona mambo yanaenda vibaya Kamanda anaingia kati. Nyinyi WAPUMBAVU mmeng'ang'ania tu! Kwanini msianzishe chenu!? Blood desh desh desh!!!
Shida si watoto shida ni watu kama wenje kuwa madalali, bila udalali wa wenje leo kusingekuwa na huu mjadala..watoto wa viongozi mbalimbali tena waadilifu wa nchi hii wanaishi nje.
..kwa mfano, watoto wa Mzee Paul Kimiti muasisi wa Ccm ni raia wa Uingereza na majuzi walipewa tuzo na malkia.
..pia watoto wa Prof.Kabudi wanaishi nje ya nchi na baba yao amesikika akisema hivyo.
..ukichunguza familia nyingi za vigogo wa Ccm watoto wao wamesoma academy, na nje ya nchi.
Kanyoosha rula!
Kumbe Wenje alitungatunga maneno tu kujikosha!
Wewe cheza na Dalali wenje kwani bila njaa za wenje haya yasingekuwepo leo mwenye kuleta shida ni Dalali wenjeKwahiyo Wenje na Mwenyekiti wake walikula pesa za Abdul
Sasa aliyebaki kuhojiwa ni Abdul tu
sasa utaprove vipi nani muongo nani mkweliKanyoosha rula!
Kumbe Wenje alitungatunga maneno tu kujikosha!
Amemtaja nani kama mla rushwa? Abduli? Ahahahahaha!!!!Kwaiyo awafiche Wala rushwa?
Kwahiyo Wenje na Mwenyekiti wake walikula pesa za Abdul
Sasa aliyebaki kuhojiwa ni Abdul tu
Wewe cheza na Dalali wenje kwani bila njaa za wenje haya yasingekuwepo leo mwenye kuleta shida ni Dalali wenje
Huyo mtoa rushwa na wenje nla rushwaAmemtaja nani kama mla rushwa? Abduli? Ahahahahaha!!!!
Siasa za kupaka matope wenzako ili wewe uonekana mzuri ni siasa za ovyo kabisa. Mbowe amekuwa treated kama Untouchable ndani ya Chadema na Lissu amekuwa mojawapo wa watu waliomlinda Mbowe kipindi chote hicho. Usisahau Lissu akiwa Mwanasheria Mkuu ndiye aliyesimamia zoezi la kubadili Katiba ya Chadema ili Ayatollah Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wa Chadema. Unaijua hili?Mzee acha kufikiri kizamani yaani kisa uchaguzi kisa kampeni za kuongea ukweli afukuzwe kweli ? Tambua Lisu hata afukuzwe au aondoke mwenyewe au abaki kama mwanachama wa kawaida haitasaidia chadema kuwa salama mpaka Mbowe aache Tabia zake mbovu za Ubabe uchoyo ubinafsi kufuja pesa za chama kujipa mamlaka ya fedha za chama peke yake
Mlimlea hivyo na Lissu alilitetea hilo na ninyi mlitetea hilo. Someni posts zenu za nyuma.Kama chama ni chake uchaguzi wa nini?si abakie kuwa mfalume wa milele? afute uchaguzi abakie na chama chake
Uchawa ni janga kubwa sana Tanzania ila nilichogundua machawa wa chadema ni vilaza kuliko hata CCMWewe, mamaako, babaako, mkeo na watoto wako ndio wajinga. Mnang'ang'ania chama cha wenzenu. Mbowe kaishasema Chadema ni chama chake na akiona mambo yanaenda vibaya Kamanda anaingia kati. Nyinyi WAPUMBAVU mmeng'ang'ania tu! Kwanini msianzishe chenu!? Blood desh desh desh!!!
Legally Abduli ni nani na Wenje ni nani? Unaikumbuka kesi Mzee Lyatonga Mrema aliposema "Mwenyekiti wa CCM ameramba rushwa ya milioni 500?" Unajua kwanini alishinda kesi?Huyo mtoa rushwa na wenje nla rushwa
Kwahiyo aliyewaita NYUMBU alikuwa sahihi eti? Heri yangu mimi ni CCM!!!Uchawa ni janga kubwa sana Tanzania ila nilichogundua machawa wa chadema ni vilaza kuliko hata CCM
Mkuu unamwamini Lissu?Niliuliza hapa Jf mnamwamini Wenje?! 😂😂
Nchi hii ukisema ukweli unachukiwa, Lisu anayaumbua majizi ndani ya chama anaitwa mropokaji, sawa na Magufuli alipambana kusafisha mafisadi ndani ya nchi,serikalini na kwenye chama chake akapigwa vita hadi akapelekwa futi sita aridhini,kweli majizi yana nguvu sn sidhani Lisu km atatoboa.Lissu angekua mropokaji angekutwa na hatia kwenye kesi nyingi sana.