ndolelejiUduhe
JF-Expert Member
- May 16, 2024
- 2,837
- 3,027
Mi sijaelewa watu wanataka au wameshahongwa ili wafanye nini. ??!Mbowe=Wenje=Abdul=Lissu=Msigwa=CCM
Inji hii ukitaka ushughulikiwe chapchap jaribu kuwa Msema Kweli uone cha mtema kuni !Nchi hii ukisema ukweli unachukiwa, Lisu anayaumbua majizi ndani ya chama anaitwa mropokaji, sawa na Magufuli alipambana kusafisha mafisadi ndani ya nchi,serikalini na kwenye chama chake akapigwa vita hadi akapelekwa futi sita aridhini,kweli majizi yana nguvu sn sidhani Lisu km atatoboa.
Binadamu wanapenda uzushi, ukiwauliza wakupe ushahidi wa hilo, unakuwa chawa tayari...Tundu Lissu naye alipolipwa mafao yake na Mama Samia tuliambiwa amelambishwa asali / rushwa.
abdul wa mama anaishi dubai,adamu malima Alikuwa anaishi ulaya hadi alipoitwa kuja kuchukuwa ubunge hatimae uwaziri,na ukihitaji wengine pia nitakutajia,hata hivyo sheria ya uraia pacha imefanyiwa marekebisho sasa diaspora wana special status hapa nchini hivyo hiyo sio issue kwa sassaLissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
Maelezo yao bila vithibitisho ni kelele tu, tunataka uthibitisho wa maelezo yao, lakini siyo maneno matupu...tusubiri Wenje atasema nini.
..au hata Abduli anaweza kujitokeza pia.
Hahaha wafuasi wa Lisu mnaminyoi kweli.Wewe ukishakariri kuwa mbowe ni mungu wako ni vigumu ukubali chochote hivyo ngoja tukuache umsaidie mbowe kuwa mwenyekiti wa kudumu chadema iwe ni safari yenu kuelekea kwa TLP NCCR na CUF
Wewe unajua sheria kuliko Lissu?Watu mapenzi yanawapofusha, haya maneno maneno bila ushahidi ni porojo tu, hapa hakuna uthibitisho wa nani mkweli.
Walete audio na bideo za vikao vyao.
Abdul yupo hai, TAKUKURU wa muhoji na atoe ushahidi wake, na jinsi alivyowapa, kina nani kawapa, lini, wapi ,kiasi gani na kwa njia zipi, bank transfer au cash, na je kuna receipt za kuthibitisha miamala au la.
Mimi simuamini Lisu wala Wenje, ushahidi wao uchukuliwe kitaalam, ili upate credibility, siyo hizi porojo za alisema hibi, alisema vile.
Wote wananafadi nzuri kuwassidia takukuru tupate nyama, tumechoshwa na mifupa.
Binafsi, kama Lisu anataka nimuamini, akapeleke ushahidi takukuru, wao watawakamata watuhumiwa, na tutajua mbivu na mbichi.
Wewe ni lichawa la mboweKwahiyo aliyewaita NYUMBU alikuwa sahihi eti? Heri yangu mimi ni CCM!!!
Mimi sio nyumbu!Wewe ni lichawa la mbowe
Kwa kukufichia aibu kijana, watoto wa Lissu walizaliwa Marekani ulitegemea kwa mfano baba yako angekuzalia Uingereza halafu anaporudi akurudishe huko mtogole ulipo? Mzazi yoyote mwenye akili hawezi kurudisha wanae shitholeni kama anajua wana access ya akili ya dunia, hata mzazi wako asingefanya. Acha chuki isiyo na msingi jenga hoja msiyemtaka kaja mnapambana nuruni na gizani!Lissu mwenyewe amenunuliwa na Mr. Amsterdam. Na kama sio kweli ebu niambie familia yake inaishi wapi? Ebu nipe mfano wa Kiongozi yeyote Mzalendo wa nchi yake ambaye familia yake inaishi nje ya nchi yake! Mfano mmoja tu nami ntamuunga mkono Lissu. Usiponipa mfano mmoja tu, nitakupotezea maana sijibizani na nyumbu! Ahahahahaha!!!
Ila yeye kama baba analilia kuongoza shithole sio? Ahahahahaha!! Mwamba una akiliiii!!!!Kwa kukufichia aibu kijana, watoto wa Lissu walizaliwa Marekani ulitegemea kwa mfano baba yako angekuzalia Uingereza halafu anaporudi akurudishe huko mtogole ulipo? Mzazi yoyote mwenye akili hawezi kurudisha wanae shitholeni kama anajua wana access ya akili ya dunia, hata mzazi wako asingefanya. Acha chuki isiyo na msingi jenga hoja msiyemtaka kaja mnapambana nuruni na gizani!
Hahaha wewe uliuona huo ushahidi, au ulikuwepo kamati kuu, au kwasababu kasema Lisu?Wewe unajua sheria kuliko Lissu?
Wewe unadhani watoa rushwa wanatoa risiti?
Msikilize Lissu (Kwenye Audio Part3) usikie jinsi walivyojaribu kumtega na kumcorner kwenye kamati kuu , ila Ushahidi wake mbele ya kamati kuu ukathibitishwa na mtu mwingine (Marehemu) ndani ya chama, Wakajaribu kurekodi video ya kikao hicho, alipowanyoosha hata video hiyo hawakuitoa!
Unataka aende wapi? Nchi ya baba yake hii sio pagara lenu, yani hata hao wanae wakiamua baada ya kukamata mielimu watakuja tu kuongoza shithole, hamna shida na utabaki jf unamaliza miaka yako tu na chuki zako! Wasipokuja kufanya siasa watakua maCEO na wataongoza tu wakitaka!Ila yeye kama baba analilia kuongoza shithole sio? Ahahahahaha!! Mwamba una akiliiii!!!!
Wewe ni linyumbu likubwaMimi sio nyumbu!
Hafukuzwi MTU, hii ni demokrasiaMimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Kwanini asifukuzwe Wenje?Mimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Nenda uko mtu akiwa msema kweli kuwa kuna pesa chafu zinaingia ndani ya chama basi afukuzwe uwanachamaMimi nafikiri salama ya Chadema kama chama Cha siasa ni KUMFUKUZA LISSU uwanachama aidha kabla ya uchaguzi ili asiwaharibie chama au baada ya uchaguzi ili wabaki salama baada ya uchaguzi. Sababu Kuu ni kwamba "Mtu mstaarabu haropokiropoki!".
Siwezi kuwa Mwana CCM halafu nikawa nyumbu. Nyumbu ni ninyi Chadema. Mlimfanya Mbowe kama Mungumtu leo mnamshangaa kujiona Mungumtu! Ahahahahaha!!!Wewe ni linyumbu likubwa
Sawa. Vipi Zitto? Na yenyewe ilikuwa demokrasia?Hafukuzwi MTU, hii ni demokrasia