Noted.Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Vimeumanaaaa
Kwani hayo hawayasemi? Au wewe ndio huwa huyasikii?Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
ChatoHilo jiwe liko wapi?
Huwezi kuongelea shida za Tanzania bila kuongelea viongozi binafsi na matendo yao ya uporaji wa haki.Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Kuongea uovu wa mtu ni kujibishana, hayo majibishano yako wapi?status ya Lisu sio ya kujibizana na Makonda,kwanini Lisu anashindwa kuiga mfano kwa Mbowe kwenye speech out.
Makonda ajibizane na kina Mdude sio Lisu au Mbowe.
Hachomoki
Ndugu JokaKuu , hayo mazuzu ya CCM ni ya kutoyajibu...amekosea.
..Lissu alikuwa anajibu swali aliloulizwa na muandishi wa habari.
..hakujipeleka mwenyewe na kuanza kumzungumzia Bashite, muandishi aliuliza swali.
..ukiacha hilo Lissu alizungumzia mambo yanayogusa wananchi ikiwemo ugumu wa maisha, ukosefu wa ajira, nk.
Tulia wewe zao la mkojo wa kiazi kitamu, baba ako angekula mihogo mibichi usingekuwa mjinga mjinga hiviKwanini mumeo naye asianzishe chama mtafune ruzuku?
Nadhani hilo la mtu kuporwa nyumba pia ni tatizo.Mimi kinachoniuzi awa machadema kuwaongelea watu na wakati kuna matatizo chungu nzima kwenye system ya kuyakosoa watu wanapita tu tuzungumzie mambo ya kijamii au mambo yenye tija kwa wananchi wote au taifa kila siku mtu flan ovyo tu !!!?[emoji35]
Mkuu Lissu alikuwa ananukuu maelezo ya Wakili wa GSM mahakamani wakati wa kesi hiyo na ndiyo maana Ghalib karudishiwa nyumba yake.Yaani kirahisi rahisi tu Makonda anaenda kwa huyo GSM anamwambia kwamba Rais anataka huyo GSM amjengee nyumba, naye huyo GSM kweli anajenga nyumba halafu baadaye ndo anamtafuta Rais na kumwambia ‘mheshimiwa Rais nyumba yako iko tayari’, halafu Magufuli anashangaa ni nyumba gani tena hiyo!!
Hizi stori za Lissu bana!
Tokea adanganye kipindi kile cha msiba wa Magufuli kuhusu kufa kwa mlinzi wa Magufuli, yote asemayo sasa huwa nayatilia shaka sana.
Kaletewa mtoto wa mjini NCHIMBI. Kwisha habari yake mjinga yuleJiwe na DAB wanatakiwa kuwa keko muda huu