Pre GE2025 Lissu anaenda kumshinda Mbowe kwenye huu uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ni tuu pale waenguaji hawana maslahi na Mwenyekiti.
 
CHADEMA Mmeiua nyie wapuuzi.

Vita inaelekea tamati.
Nakuhakikishia uchaguzi huu CCM wameibuka washindi
Anzisheni chama chenu basi maana Wafuasi wa Mke wa Amsterdam mpo na pesa za chama chenu mtachangishana kama alivyowaambia huyo ropo ropo wenu
 
Naona chawa wa Lisu mumeumia.sana πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…