Muwe mnaongea kwa fact sio kupinga tu eti kisa hoja hiyo imetolewa na mtu wa upinzani huo nao ni mpasuko wa kitaifa kudhan kwamba hoja ya mpinzani wako kisiasa si hoja hata kama inamashiko.Hiyo hali ya sasa ina misingi ya zamani isiyokwepeka.
Msidanganywe na kina Tundu Lissu, mtakuja kulia kilio cha mbwa mdomo juu.
Na wewe nadhani kuna shule unatakiwe ukaiongeze kichwani mwako maana inavyo onesha una ielewa duni sana kuhusu uongozo wa majimboHiyo hali ya sasa ina misingi ya zamani isiyokwepeka.
Msidanganywe na kina Tundu Lissu, mtakuja kulia kilio cha mbwa mdomo juu.
Tafuta kalamu na counter book ili wakati anaongea uandike kile anachokisema. Gharama za uondeshaji ni hizo hizo tunazotumia kuendesha mikoa na wilaya. Anataka wakazi wa eneo husika waweze kujichagulia viongozi wao, wajipangie mipango yao ya maendeleo na serikali kuu iwe na kazi ya kutekeleza mipango ya kitaifa. Siyo kama sasa watu mnaletewa viongozi mpaka wa vijiji na mitaa ambao ni wateule wa raisi.Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi
Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo
Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchuimi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti.hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja .Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?
Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe!!!
Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama Za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio
Gharama za watatoa mabeberu, ambao atawapa rehani migodi yetu.Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi
Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo
Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchuimi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti.hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja .Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?
Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe!!!
Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama Za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio
Hayo majimbo uanzishwaji wake utakuwa shirikishi 'not over night'Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi
Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo
Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchuimi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti.hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja .Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?
Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe!!!
Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama Za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio
Singida Kuna upepo wanaweza zalisha mpaka 500megawhatt,Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi
Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo
Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?
Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe!!!
Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama Za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio
Nadhani lazima utambue kuna miundombinu ya kitaifa na ile ya kijimboLisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi
Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo
Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchuimi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti.hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja .Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?
Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe!!!
Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama Za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio
Hapo umeeleza nin?Nilitegemea ufafanue hizo claims zako lakini umeishia kupapasa tu,hii ni dalili kuwa huna unachokijua isipokuwa umekaririshwa nawe ukameza kama yalivyo!Sera ya majimbo msingi wake ni ubinafsi, ukabila na roho ya uchoyo.
Ni sera ambayo imechukuliwa kutoka nje pasipo kuangalia msingi wa utaifa wetu.
Msingi wa utaifa wa Marekani ni tofauti na ule wa Russia ni tofauti na ule wa Zambia ni tofauti na ule ww Afrika ya Kusini.
Ni sera ambayo ukiitazama kwa juu juu unaweza kudanganyika.
Kongwa vipi?Mtama je?Jiulize ni kwanini jimbo la Bwege na mengine ya upinzani yanaonekana “mzigo”, tafakari kwa undani usiitazame taswira ya juu juu ukajenga hoja potofu.
Sera ya majimbo inakwenda kujenga hulka ya watu kujitambulisha kwa maeneo wanayotoka, jambo ambalo ni bata sana linaloua moyo wa utaifa.
Labda, tuseme majeshi, bunge kuu,TISs, diplomasia, ya takuwa mambo ya serikali kuu mengine yote ya jimboMkuu Yehodaya, sera ya kunadi serikali za majimbo ni hatua ya awali kabisa ya kutaka kurudisha mamlaka ya kusimamia vyama na kwa ufanisi rasilimali na mapato kwa wanachi badala ya kuhodhiwa na viongozi wachache waliopo serikali kuu. Sera hii ina mfanano na ile ya Mwl. Nyerere ya madaraka mikoani, isipokuwa hii mipango yote ya mapato na matumizi itasimamiwa na bunge la jimbo husika.
Gharama za uendeshaji wake utakuwa ni sawa kabisa na kama inavyoendeshwa hivi sasa na serikali kuu. Na vyema ikaeleweka ya kuwa, kwa uwepo wa serikali za majimbo, itakuwa si kwamba fedha zote zipatikanazo kutoka ktk jimbo husika zitatumika zote hapi hapo tu. La hasha! Kwa yale majimbo yenye mapato zaidi sehemu ya fedha zake zitapelekwa serikali kuu kwa ajili ya uendeshaji wa shughuli zake, na pia kuyapiga jeki majimbo mengine yenye changamoto zaidi za kifedha.
vyote ukivyoeleza hewa kwa sasa kinachoingiza pesa singida ni vidumu vya mafuta alizeti Mkitaka barabara ya lami hadi mpige magoti kuomba kwingine nje ya singidaSingida Kuna upepo wanaweza zalisha mpaka 500megawhatt,
Singida Ni hub inaungasha mikoa mingi kwa usafirishaji ukiweka tozo tu unapata hela nyingi
Kuna uranium pale, usicheze na ura ium
Haya ulizaswali lingine?
Kwani umeambiwa Serekali kuu haitakuwa inapeleka maendeleo pia au umeamua kuwa kipofu wa maono..Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi
Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo
Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?
Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe!!!
Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama Za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio
Serikali kuu haiwi na pesa NyingiKwani umeambiwa Serekali kuu haitakuwa inapeleka maendeleo pia au umeamua kuwa kipofu wa maono..
Watu sasa hawajitambulishi kwa mikoa wanayotoka?Jiulize ni kwanini jimbo la Bwege na mengine ya upinzani yanaonekana “mzigo”, tafakari kwa undani usiitazame taswira ya juu juu ukajenga hoja potofu.
Sera ya majimbo inakwenda kujenga hulka ya watu kujitambulisha kwa maeneo wanayotoka, jambo ambalo ni bata sana linaloua moyo wa utaifa.
Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi
Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo
Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchumi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti. Hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja. Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?
Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe!!!
Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama Za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio
Pesa za jeshi haziendi majimboni zinatoka serikali kuu kwenda jeshini moja kwa moja Jeshi ni jukumu la serikali kuu sio Jimbo gharama zinaebwa na serikali kuu ya baada ya kupokea michango ya majimbo ya gharama za uendeshaji serikali kuumajimbo yaliyo mipakani yatapa ruzuku kubwa zaidi kutoka serikali kuu kwa sababu mipaka ya kitaifa na majeshi itabaki kama mambo ya serikali kuu.
Sera ya majimbo msingi wake ni ubinafsi, ukabila na roho ya uchoyo.
Ni sera ambayo imechukuliwa kutoka nje pasipo kuangalia msingi wa utaifa wetu.
Msingi wa utaifa wa Marekani ni tofauti na ule wa Russia ni tofauti na ule wa Zambia ni tofauti na ule ww Afrika ya Kusini.
Ni sera ambayo ukiitazama kwa juu juu unaweza kudanganyika.