Mzalendo2015
JF-Expert Member
- Aug 14, 2012
- 6,710
- 9,063
Jiwe atapasuka jamani!
Safari hii Jiwe atatembea kwa MGUU kurudi Chatto hakuna cha Bombadier,Dreamliner wala SGR.....Kimenuka ati !!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiwe atapasuka jamani!
Hilo jamaa linampumulia shingoni...Mungu mkubwa! Huyu jamaa bado anapumua....
Kati ya hizo 1 ilikwama makarioni mpaka keshoHata akija kashajiandaa anajua kitakachomtokea zile 38 unajua tayari zimemuathiri kisaikoloji bado ana woga w usalama wake
Anampango wa kumuwekea vozingiti vya kugombea uraisSatellites zote zitaelekezwa Tanzania! Mwambieni Sirro huu si wakati wa kuwapiga watanzania kama “mbwa koko”! Haya!
Watatumia sababu zipi za kueleweka?Anampango wa kumuwekea vozingiti vya kugombea urais
asisahau kupitia pale Washington DC amtonye bro Pompeo pia.
Mambo ya uhalifu wa ndani ya nchi hayahusiani na international community ni kukamata tu mhalifu. aliyefanya uhalifu ndani ya nchiKaeni chini mfanye assessment mihemko inaweza kuamsha mambo ambayo yatawaletea chalenge ku neutralize Mmesha spark International communities attention hakuna sababu za kudeal na TAL kwa sasa mana hata mkimuacha azulule nchi nzima hawezi kushida hata kidogo sasa ya nini kuhangaika nae
Court order ipo tayari siku nyingi inamsubiri tu.Daaah! jamaa amechoka kukaa Ulaya, Sasa anataka akapumzike Segerea. Nafurahi kuona Lissu ni mzima lakini naumia nikikumbuka kuwa anakuja Sello.
Ngoja aje atuwakilishe Olympic michezo ya wasiojiwezaasisahau kupitia pale Washington DC amtonye bro Pompeo pia.
Yani kama nyie ndio washauri huko basi kazi ipo kwahiyo Lissu kushambuliwa ule ni uhalifu sio?Mambo ya uhalifu wa ndani ya nchi hayahusiani na international community ni kukamata tu mhalifu. aliyefanya uhalifu ndani ya nchi
COURT ORDER ya kumkamata Lisu ipo akitua tu .COURT ORDER KUITEKELEZA HUWA HAITEGEMEI UWEPO WA SATELLITE!!!!!Satellites zote zitaelekezwa Tanzania! Mwambieni Sirro huu si wakati wa kuwapiga watanzania kama “mbwa koko”! Haya!
COURT ORDER ya kumkamata haisemi hivyoYani kama nyie ndio washauri huko basi kazi ipo kwahiyo Lissu kushambuliwa ule ni uhalifu sio?
Huyu si aliwahi kusema kuwa Marekani wanataka awe Rais??Nyalandu huyo kwenye lami lami yumo akisaka wadhamini
View attachment 1505663
Na kusiko na lami pia yumo akisaka wadhamini
View attachment 1505665
Sio rahisi mkuu.Inauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite
Itakuwa mmewakabidhi nchi wapinzani bila jasho.Inauma sana jitihada zote hizo za matibabu alafu anakuja kurudi anaishia lupango dhamana inazuiwa hadi uchaguzi upite
Pangeni ujinga wenu ila jueni nchi haitakalikaDaaah! jamaa amechoka kukaa Ulaya, Sasa anataka akapumzike Segerea. Nafurahi kuona Lissu ni mzima lakini naumia nikikumbuka kuwa anakuja Sello.
Haya bwana, kweli Lissu hajui kuvaa suti, angemuiga mzee uvaaji wa suti asinge kuuzi YEHODAYA kwa kuto mechisha.Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613
Wewe kweli punda kihongwe, mixid suit unaijua?Lisu kachacha hata suti haja mechisha koti kivyake,suruali kivyake kasuruali ka mtumba halafu ona viatu hata kiwi hajapiga kwa kuchacha
Ona hadi anatembea na chaja ya simu kawaomba hiyo hapo ukutani aweke simu yake ichaji ajipige hii selfie picha aliyopost
View attachment 1505613