Kwa sasa priority ni Dodoma kurudisha fomu na kusubiria muda wa mapingamizi uishe. Huko mahakamani aende wakili.Chadema i am goddamn serious.!
Fanyeni yote ila msilete ujinga Lissu akakosa kwenda Dom tarehe 26 tutalala na nyie mbele.!
Mkitaka mbaki kama chama kikuu cha upinzani na tuwasamehe kwa ile record breaking blunder ya 2015 basi fanyeni yote afike Dom iyo 26!
Wekeni akaunti,
Wekeni namba za mpesa,tigo pesa et al.
Enough is enough.!
wamekiuka maelekezo ya ccmKwanini?
Sawa mkuuKwa sasa priority ni Dodoma kurudisha fomu na kusubiria muda wa mapingamizi uishe. Huko mahakamani aende wakili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kesi zenyewe za upuuzi mtupu.Mahakama zetu zina mambo ya ajabu sana.Yaani kesi ni muhimu kuliko uchaguzi?
Wil be thereMgombea urais wa Chadema, mh Tundu Lisu amesema atahudhuria mahakama ya kisutu kujibu kesi inayomkabili siku ya tarehe 26/08/2020 baada ya kuwa amekamilisha matakwa yote ya kisheria kule Tume ya uchaguzi.
Tundu Lisu amesema kesi yake ni ya wazi ( open case) hivyo amewaomba wanachama wa Chadema na watu wote wenye mapenzi mema kumsindikiza mahakamani siku hiyo.
Chanzo: Star tv habari!
Mahakama imechukua hatua gani kwa aliyeua Akwilina? Acha bange basi.Mahakama imemnyenyekea sana kwamba aje kwenye kesi yeye akwa na visingizio unaona matokeo yake sasa??
Huna taarifa za kesi hiyo?Mahakama imechukua hatua gani kwa aliyeua Akwilina? Acha bange basi.
Huna taarifa za kiitelijensia za Siro au Mambosasa kuwa wakija kwa wingi kusikiliza kesi kutakuwa na uvunjifu was amani mahakamani ?Mwanasheria nguli anayeiogopa mahakama.
Kwani ameshatoka karantini? Mambo ya kesi anende mahakamani asisemee mitaani yeye si mwanasheria msomi dunianiMgombea urais wa Chadema, mh Tundu Lisu amesema atahudhuria mahakama ya kisutu kujibu kesi inayomkabili siku ya tarehe 26/08/2020 baada ya kuwa amekamilisha matakwa yote ya kisheria kule Tume ya uchaguzi.
Tundu Lisu amesema kesi yake ni ya wazi ( open case) hivyo amewaomba wanachama wa Chadema na watu wote wenye mapenzi mema kumsindikiza mahakamani siku hiyo.
Chanzo: Star tv habari!
Naunga mkono.Kesi Ni yake wanaohitajika Ni yeye,mawakili na Hakimu mbona anahaha kualika watu like eneo dogo Ni kujaza watu Bila sababu
Mbona ujamchangia Mdude?Mwambieni Lissu tuko tayari kumchangia pesa akodi ndege au helikopta,aende akalale Dodoma kesho,tarehe 26 akisha kamilisha taratibu zote pale NEC fasta imrudishe Dar kuhandle maswala ya kesi zake
Hujakatazwa kumchangiaMbona ujamchangia Mdude?
Watanzania kwa unafiki unaweza kuhisi upo nao pamoja kumbe MAKUNGURU tu.
Anaitisha mahakama??
Wanachadema wa singida usafiri utapatikana??
Vipi akaunti za Lisu na Chadema zimeshakauka hazina pesa ? Mbona mumeishiwa mapema na ngoma ya kampeni haijaanza!!! Kasafari tu ka Dodoma mnahitaji michango!!!!!Mwambieni Lissu tuko tayari kumchangia pesa akodi ndege au helikopta,aende akalale Dodoma kesho,tarehe 26 akisha kamilisha taratibu zote pale NEC fasta imrudishe Dar kuhandle maswala ya kesi zake
Kwa kijibatiza Dr Akili basi nafsi yako imejiaminisha kuwa unazo akili!! Wabongo kazi mnayo kweli kweli. Yaani mtu mlitaka kumtoa uhai, Muumba akawakatalia. Mmenyima haki yake ya kulipiwa gharama za matibabu, lakini amepona. Mkaona haitoshi, mkamvua ubunge. Mmefanya kampeni miaka yote mitano peke yenu mkitamba mtakavyo, na mkafanya "mambo makubwa sana ambayo hakuna raisi aliyetangulia aliwahi kufanya" (kwa mujibu wa akili zenu nyingi, mkifikiri Watz wote wana akili nyingi kama nyie), na bado mnamwogopa huyo huyo mliyetaka kumuua. Mnataka kupata ushindi wa mezani? Mnatumia mbinu na propoganda za enzi ya USSR! Kweli nyie ni ma Dr Akili.Watu wanaposema kwamba huyu jamaa akili yake haiko sawa hawakosei.
Yaani wafuasi wa chadema kutoka mkoa wa Dar es Salaam na mikoa jirani wote waende kwenye mahakama ya Kisutu kusikiliza kesi yake ya uhaini, yeye anaona patatosha! Kwa nini asiwatake hao wana sheria wake wa Amsterdam Lawers wawepo bila kukosa mahakamani pale kumtetea?
Mgombea urais wa Chadema, mh Tundu Lisu amesema atahudhuria mahakama ya kisutu kujibu kesi inayomkabili siku ya tarehe 26/08/2020 baada ya kuwa amekamilisha matakwa yote ya kisheria kule Tume ya uchaguzi.
Tundu Lisu amesema kesi yake ni ya wazi ( open case) hivyo amewaomba wanachama wa Chadema na watu wote wenye mapenzi mema kumsindikiza mahakamani siku hiyo.
Chanzo: Star tv habari!
Akienguliwa utafanya nini wewe ?Ole wao wamuengue Tundu Lissu nasema ole wao