LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa


Utaisikia wapi bei panapo rushwa ndugu?

 
Kwamba, "vyovyote iwavyo, kwa sasa Mzee Mwinyi ni Mzanzibari kisheria."

Ufafanuzi wako tafadhali.
Mkuu nimesema kwa mujibu wa Sheria ya Mzanzibari mzee Mwnyi hata isemwe kwamba ni Mtanganyika, yeye pia ni Mzanibari. Sheria nnayoizungumza hapa ni Sheria Namba 5 ya 1985 ibara 3. (1).

Unaweza kuiangalia, ila kwa ufupi inaeleza kwamba mtu yeyote ambaye ni raia wa Tanganyika/Tanzania kwa mujibu wa sheria ya uraia ya Tanganyika na ambaye amekuwa AKIISHI Zanzibar kabla na mpaka tarehe 12 Januari, 1964 huyo ni Mzanzibari kwa mujibu wa Sheria ya Mzanzibari.
 
Mkuu kwahiyo ili ndiyo jibu la kiasi cha pesa iliyouzwa? Yaani tuyachukue maneno ya Benson kua ni sahihi basi...ebu acheni kushikiwa akili bhana

Kuandika kwenyewe mbona taabu mno ndugu?

Ili?!
kua?!
ebu?!

Dalili za mhitimu toka shule mpya kabisa ya kata.

Huna tofauti wewe na yule sheikh ubwabwa. Mkiwa washikiwa akili msidhani na wengine nao pia.

Pambaneni na hali zenu. Wengine siyo size zenu!
 
Ivi ujiulizi kwanini leo wanageuka kumsifia magufuli wakati walikuwa wanamponda? Walijua huyu mama watakuwa wanapiga madili bila shida kumbe sio alipogusa bandari watu wote wameamka kuaza kufoka ni uongo mtupu wanatetea ugali wao
Lissu ni activist mwenye knowledge ya sheria na kama kutumika alitumika kipindi cha Mwendazake ila sio sasa.

Kuongezea zaidi ni binadamu huwa ana makosa yake ila kwenye hili namuunga mkono.
 
Gharama za uhuru wa kutoa maoni ndizo hizi. Kwamba mwanasiasa mmoja anawalisha matango pori wanajamii wengi na uongo wake unakuwa ukweli.

Ni gharama za kuongoza nchi ya kidemokrasia. Hayati JPM hakukubaliana na mambo ya kipuuzi kama haya.
Kwa kweli hapa ndipo mama anapochemsha. Angeendelea kumsweka rumande mbowe na lisu akaendele kukaa huko ughaibuni haya yasingetokea.
Huruma ya waislamu wakristo wanaichezea vibaya sana.
Inabidi parejeshwe umagufuli kidogo ili watu kama Nshalla wetiwe adabu kwa kumtukana Rais.
 
Investment sio kuuzwa!!
Inategemea hio investment imekaaje🤣!

Mtu unayempa eneo aje kuinvest ambaye hataruhusu uendeleze maeneo yako mengine yote unayomiliki na wala huruhusiwi kumletea usumbufu wowote wa hali na mali au kisheria. Hapo si umeuza uhuru wako.
 
Inategemea hio investment imekaaje🤣!

Mtu unayempa eneo aje kuinvest ambaye hataruhusu uendeleze maeneo yako mengine yote unayomiliki na wala huruhusiwi kumletea usumbufu wowote wa hali na mali au kisheria. Hapo si umeuza uhuru wako.
Hii ni tafsiri yako. Mbona huzungumzii serikali ilivyokubalina na makanisa indefinitely kuyapa pesa za walupa kodi ambazo CAG hana ruhusa ya kuzikagua? Mwache mama alete waarabu kwani hawa huwa wana kheri nyingi.
 
Hata hao viongozi wa Chadema walipozaliwa hamna bandari kila mtu arudi mkoa wake.. Bandari ni za watu wa pwani si mnaleta ubaguzi.
Crap from a poor mind. Huelewi maana ya rasilimali za Taifa na kutegemeana ndani ya nchi.

Bandari yaweza kuwa mahali fulani ndani ya nchi. Lakini pesa ya kuchimba kuongezea kina ikawa imetokana na kodi ya mauzo ya shahabu iliyochimbwa Geita. Gati zikawa zimejengwa kwa pesaya mkopo ambao unalipwa kwa kodi inayotokana na mauzo ya chaiinayolimwa Mafinga na c
Njombe.Machine za kupakulia mizigo zikawa zimenunuliwa kwa VAT inayotozwa kwenye sukari inayozalishwa Kilombero, Mtibwa, Kilimanjaro na Kagera, na sukari inanunuliwa na kila mwananchi. Hivyo kila mwananchi ana haki nayo.
 
Inategemea hio investment imekaaje[emoji1787]!

Mtu unayempa eneo aje kuinvest ambaye hataruhusu uendeleze maeneo yako mengine yote unayomiliki na wala huruhusiwi kumletea usumbufu wowote wa hali na mali au kisheria. Hapo si umeuza uhuru wako.
Na huuo ndio upuuzi tunao kataa haiwezekan
 
Ona ulivyokuwa mshamba na hujielewi ...Hizi kelele za kuuzwa nchi tangu enzi za Nyerere mpaka leo.

Ni slogan ya wanasiasa jielewe kwanza .

Yaur are politically driven acha kuwa kilaza leta hoja ..
 
Lissu ni activist mwenye knowledge ya sheria na kama kutumika alitumika kipindi cha Mwendazake ila sio sasa.

Kuongezea zaidi ni binadamu huwa ana makosa yake ila kwenye hili namuunga mkono.
Kwahiyo wew unamuunga mkono mtu alie lukwa akili?
 
Anajua kila kitu ila kwa makusudi anapanga kupotosha watu ,hao ndo wana wasiasa.

Wanaweza hata kumsingia mtu mauaji ili mradi tu kuleta wasiwasi kwa wananchi... kwa ufafanuzi wake sioni hoja ila naona anapotosha zaidi...
Jamaa hana mvuto kamaliza hadithi zake za kupigwa risasi sasa yuko na bandari mikutano yenyewe imedoda na mbaya zaidi leo namsikia anamtaja Kitenge, Haji Manara sijui Baba levo ndio utajuwa jamaa anatembea na upepo. Sijawahi kumsikia kuja na sera zake yeye ni kuponda tu kama yule mzee mfupi Shivji, hajawahi kusema mazuri na serikali hata sijui alifanywa nini?
 
Mwacheni ajifarague muda mrefu walikua wamebanwa
 
Kuna pesa wanatoa wazungu baada ya Samia kukubaliana na masharti ya kuulegezea upinzani.

Mojawapo ya masharti ni kukubaliana na demokrasia. Mtihani mgumu kwani kwa kukubaliana na demokrasia unakuwa umejengeka urahisi wa kuingiliwa kwenye siasa za ndani.

Ni muda wa mfumo kuwa na watu makini sana, adui anakuwa karibu zaidi kulinganisha na kipindi kile cha JPM.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…