Inawezekana yote hayo, lkn hili Msigwa anamkotrol LissuSio kweli hata kidogo, mmeanza kumchafua Lissu baada ya kuona anatishia nafasi ya Mbowe.
Una taarifa kuwa Msigwa na Mbowe walivuta mpunga kule Iringa kwa asasi pamoja na Lissu akaukataa na alitoka hadharani na kusema Pesa za Mama Abdul zinaivuriga Chadema?
Kua kwanza huwezi elewa michezo michafu ya Mbowe.
Chama kimeshikilia kamba mbovu mwituni..
Very articulated, Lissu na Mbowe tofauti zao ni za kisiasa/kimtazamo, tofauti na Mi-ccm inavyotaka kuaminisha ummaKwamba Lissu anashikiwa akili na msigwa?
Unajua Mbowe anapewa support na dola ya kupambana na Lissu? Tulia uione show ya lissu
Katika key boards mnaweza kumchuuza Lissu na kumuona Shuja,a lakini huwa nasena humu tatizo la Tanzania wanasiasa wote hata wa chama tawala hawana watu nyuma yao. Siku za nyuma ni Nyerere na Maalim Seif tu ndio wanasiasa waliokuwa na watu nyuma yao. Kenya wanasiasa wana nguvu sababu kila mmoja wao ana idadi fulani ya watu ambayo abaweza kuiamrisha ikaingia barabarani kushinikiza mabadiliko.MAHOJIANO YA LISSU NA VOICE OF AMERICA (VOA)
VOA: Nini kimetokea na uongozi wa sasa?
Lissu: Umekuwa madarakani kwa miaka 20 na muafaka tunatakiwa kufanya mabadiliko ya lazima ili tuweze kupeleka chama mbele.
VOA: Plani yako nini kama ukiwa M’kti, unapeleka chama vipi?
Lissu: Hapa tulipo, tupo kwenye mkwamo mkubwa wa kisiasa. Mabadiliko ambayo tumezungumza kwenye maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan kwa takribani miaka miwili, hakuna matunda yoyote. Njia ya kutoka hapa ni uongozi Mpya uje na uonyeshe na ukipeleke chama kwenye muelekeo tofauti. Kama maridhiano hayajafanya kazi, tuna nini mbadala?
Tunatakiwa tufanye mass mobilization (Nguvu Ya Umma) ili kukiongoza chama kwenye kuliamsha Taifa na kuunganisha nguvu na asasi za kiraia, vyama vya siasa, ili tuweze kuleta mabadiliko makubwa ya kidemokrasia ili tuweze kulazimisha mabadiliko.
VOA: Kwa hiyo, Tunaweza kusema kuna tofauti kati yako na M’kiti (Mbowe) Juu ya namna ya kukipeleka chama mbele?
Lissu: You are right on the money (Umepiga sehemu sahihi kabisa). Nadhani tuna tofauti ya kimsingi kabisa namna ya kukipeleka Chama mbele
VOA: Kumekuwa na mengi yanaendelea Kati ya serikali na chama chako, kuna wanachama wenu wamekuwa wanatekwa na hatujaona hatua kubwa kutoka kwenye chama chako
Lissu: Hiyo ndio hoja ya msingi kabisa. Hoja ni kuwa chama kinaonekana kime-paralyze (kipo nusu kaputi) kwa sababu M’kiti wa sasa haonekani kutaka kupambana na Samia.
M’kti Hataki kubomoa daraja na uongozi wa Samia. Viongozi wetu na wanaharakati wametekwa na wengine kuuwawa kwa namna za kikatili. Wanachama wetu, viongozi wetu wa Wilaya nao wametekwa na kupotezwa.
Yote haya yanatokeo ni wazi tumerudi kwenye zama za Giza za Magufuli. Na uongozi wa chama unaonekana kutokujua namna ya kutoka kwenye mkwamo huu. Kwa hiyo, nina gombea kwa sababu tunatakiwa kutoka kwenye huu mkwamo
VOA: Umesema No Reforms, No Election. Unaweza elezea hili?
Lissu: Tumekuwa na uchaguzi wa serikali za vijiji, vitongoji na mitaa kama wiki mbili au tatu zilizo pita. Ilikuwa ni MAJANGA! (total disaster!). Ulikuwa ni uchaguzi mbaya kuliko wa 2020 kwa minajili ya manipulation ya uchaguzi kwa kiwango cha kitaifa. Kama hili litakuwa kawaida kwenye chaguzi zetu, ni wazi kwetu kuwa hawapo (CCM) tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani. Kwa hiyo, kama hawapo tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani, kwa nini tushiriki chaguzi zijazo?
Kwa hiyo, tumeamua (CHADEMA) ili turudi kwenye uchaguzi, lazima tulazimishe mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.
Kwa hiyo, msimamo wetu ni: tupiganie mabadiliko, tukisha pata mabadiliko, tutakuwa tayari kushirki chaguzi. Tunasimama kwenye No reforms, No Election.
VOA: Pia, Unataka mabadiliko ndani ya CHADEMA pamoja na ukomo wa uongozi?
Lissu: Kabisa, Hatuwezi kupambana na udicteta wa Samia kama sisi ndani tupo tulivyo sasa. Kwa hiyo, lazima tusafishe nyumba yetu kwanza.
Lazima tusafishe matendo yetu kabla hatuja pambana na uongozi wa Samia. Kama hatuta jisafisha, itakatisha tamaa watu wetu na tutashindwa kupambana na tatizo kubwa ambalo limekuwa linatuathili la utawala wa Samia Suluhu Hassan
VOA: Mr. Lissu, thank you very much!
TunduALissu: Thank you for having me on your program.
Unajua vizuri sana, nia yao moja kumkomoa Mbowe
Tatizo la lissu kwa hili ni kuendeshwa kama drone na msigwaVery articulated, Lissu na Mbowe tofauti zao ni za kisiasa/kimtazamo, tofauti na Mi-ccm inavyotaka kuaminisha umma
Hili lipo wazi , msigwa anamuendesha Lissu anavyotaka, Soma mwanamchi news la juzi..Msigwa na Mbowe wote si watoto wa Mama, au?
..kwa kweli mnatuchanganya ktk propaganda zetu.
..jipangeni mje na propaganda moja yenye ushawishi, sio kutujaribu na kila uongo mnaoufikiria.
Mkuu embu shusha mistari ya hilo gazeti hapa tusome.Hili lipo wazi , msigwa anamuendesha Lissu anavyotaka, Soma mwanamchi news la juzi
Lipo wazi kabisa. Moja ya hoja kwamba Msigwa ndio anaowapigia simu viongozi wa chadema wamuunge mkono lissu na ndio Allendaa ule mkutano wa lissu juzi kupitia kivuli cha DaysporaMkuu embu shusha mistari ya hilo gazeti hapa tusome.
Si kinaitwa chama cha demokrasia, hiyo ndiyo demokrasia yenyewe, badala ya kufukuzana. Na huenda wamekubaliana kutumia style hiyoMsigwa kamroga lissu
Iissu ujanja wote ktk siasa kabebeshwa gunia la kinyesi na Msigwa?Si kinaitwa chama cha demokrasia, hiyo ndiyo demokrasia yenyewe, badala ya kufukuzana. Na huenda wamekubaliana kutumia style hiyo
Kama makubaliano na ccm yamekwama na wanachama wanazidi kuuwawa anatumwa na msigwa ili awatetee nani hapo.L
Iissu ujanja wote ktk siasa kabebeshwa gunia la kinyesi na Msigwa?
Lipo wazi kabisa. Moja ya hoja kwamba Msigwa ndio anaowapigia simu viongozi wa chadema wamuunge mkono lissu na ndio Allendaa ule mkutano wa lissu juzi kupitia kivuli cha Dayspora
Huyu wampe tuone atakachofanya anajikuta mwamba ila kikubwa asije kimbilia ubalozini 😁😁MAHOJIANO YA LISSU NA VOICE OF AMERICA (VOA)
VOA: Nini kimetokea na uongozi wa sasa?
Lissu: Umekuwa madarakani kwa miaka 20 na muafaka tunatakiwa kufanya mabadiliko ya lazima ili tuweze kupeleka chama mbele.
VOA: Plani yako nini kama ukiwa M’kti, unapeleka chama vipi?
Lissu: Hapa tulipo, tupo kwenye mkwamo mkubwa wa kisiasa. Mabadiliko ambayo tumezungumza kwenye maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan kwa takribani miaka miwili, hakuna matunda yoyote. Njia ya kutoka hapa ni uongozi Mpya uje na uonyeshe na ukipeleke chama kwenye muelekeo tofauti. Kama maridhiano hayajafanya kazi, tuna nini mbadala?
Tunatakiwa tufanye mass mobilization (Nguvu Ya Umma) ili kukiongoza chama kwenye kuliamsha Taifa na kuunganisha nguvu na asasi za kiraia, vyama vya siasa, ili tuweze kuleta mabadiliko makubwa ya kidemokrasia ili tuweze kulazimisha mabadiliko.
VOA: Kwa hiyo, Tunaweza kusema kuna tofauti kati yako na M’kiti (Mbowe) Juu ya namna ya kukipeleka chama mbele?
Lissu: You are right on the money (Umepiga sehemu sahihi kabisa). Nadhani tuna tofauti ya kimsingi kabisa namna ya kukipeleka Chama mbele
VOA: Kumekuwa na mengi yanaendelea Kati ya serikali na chama chako, kuna wanachama wenu wamekuwa wanatekwa na hatujaona hatua kubwa kutoka kwenye chama chako
Lissu: Hiyo ndio hoja ya msingi kabisa. Hoja ni kuwa chama kinaonekana kime-paralyze (kipo nusu kaputi) kwa sababu M’kiti wa sasa haonekani kutaka kupambana na Samia.
M’kti Hataki kubomoa daraja na uongozi wa Samia. Viongozi wetu na wanaharakati wametekwa na wengine kuuwawa kwa namna za kikatili. Wanachama wetu, viongozi wetu wa Wilaya nao wametekwa na kupotezwa.
Yote haya yanatokeo ni wazi tumerudi kwenye zama za Giza za Magufuli. Na uongozi wa chama unaonekana kutokujua namna ya kutoka kwenye mkwamo huu. Kwa hiyo, nina gombea kwa sababu tunatakiwa kutoka kwenye huu mkwamo
VOA: Umesema No Reforms, No Election. Unaweza elezea hili?
Lissu: Tumekuwa na uchaguzi wa serikali za vijiji, vitongoji na mitaa kama wiki mbili au tatu zilizo pita. Ilikuwa ni MAJANGA! (total disaster!). Ulikuwa ni uchaguzi mbaya kuliko wa 2020 kwa minajili ya manipulation ya uchaguzi kwa kiwango cha kitaifa. Kama hili litakuwa kawaida kwenye chaguzi zetu, ni wazi kwetu kuwa hawapo (CCM) tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani. Kwa hiyo, kama hawapo tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani, kwa nini tushiriki chaguzi zijazo?
Kwa hiyo, tumeamua (CHADEMA) ili turudi kwenye uchaguzi, lazima tulazimishe mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.
Kwa hiyo, msimamo wetu ni: tupiganie mabadiliko, tukisha pata mabadiliko, tutakuwa tayari kushirki chaguzi. Tunasimama kwenye No reforms, No Election.
VOA: Pia, Unataka mabadiliko ndani ya CHADEMA pamoja na ukomo wa uongozi?
Lissu: Kabisa, Hatuwezi kupambana na udicteta wa Samia kama sisi ndani tupo tulivyo sasa. Kwa hiyo, lazima tusafishe nyumba yetu kwanza.
Lazima tusafishe matendo yetu kabla hatuja pambana na uongozi wa Samia. Kama hatuta jisafisha, itakatisha tamaa watu wetu na tutashindwa kupambana na tatizo kubwa ambalo limekuwa linatuathili la utawala wa Samia Suluhu Hassan
VOA: Mr. Lissu, thank you very much!
TunduALissu: Thank you for having me on your program.
Binafsi naona kuna watu siku hizi hawalali kutoka CHADEMA kwa kushirikiana na upande wa pili ili kuangalia namna ya kumzuia Lisu asigombee mana wanaona ataleta fujo nchini.MAHOJIANO YA LISSU NA VOICE OF AMERICA (VOA)
VOA: Nini kimetokea na uongozi wa sasa?
Lissu: Umekuwa madarakani kwa miaka 20 na muafaka tunatakiwa kufanya mabadiliko ya lazima ili tuweze kupeleka chama mbele.
VOA: Plani yako nini kama ukiwa M’kti, unapeleka chama vipi?
Lissu: Hapa tulipo, tupo kwenye mkwamo mkubwa wa kisiasa. Mabadiliko ambayo tumezungumza kwenye maridhiano na Rais Samia Suluhu Hassan kwa takribani miaka miwili, hakuna matunda yoyote. Njia ya kutoka hapa ni uongozi Mpya uje na uonyeshe na ukipeleke chama kwenye muelekeo tofauti. Kama maridhiano hayajafanya kazi, tuna nini mbadala?
Tunatakiwa tufanye mass mobilization (Nguvu Ya Umma) ili kukiongoza chama kwenye kuliamsha Taifa na kuunganisha nguvu na asasi za kiraia, vyama vya siasa, ili tuweze kuleta mabadiliko makubwa ya kidemokrasia ili tuweze kulazimisha mabadiliko.
VOA: Kwa hiyo, Tunaweza kusema kuna tofauti kati yako na M’kiti (Mbowe) Juu ya namna ya kukipeleka chama mbele?
Lissu: You are right on the money (Umepiga sehemu sahihi kabisa). Nadhani tuna tofauti ya kimsingi kabisa namna ya kukipeleka Chama mbele
VOA: Kumekuwa na mengi yanaendelea Kati ya serikali na chama chako, kuna wanachama wenu wamekuwa wanatekwa na hatujaona hatua kubwa kutoka kwenye chama chako
Lissu: Hiyo ndio hoja ya msingi kabisa. Hoja ni kuwa chama kinaonekana kime-paralyze (kipo nusu kaputi) kwa sababu M’kiti wa sasa haonekani kutaka kupambana na Samia.
M’kti Hataki kubomoa daraja na uongozi wa Samia. Viongozi wetu na wanaharakati wametekwa na wengine kuuwawa kwa namna za kikatili. Wanachama wetu, viongozi wetu wa Wilaya nao wametekwa na kupotezwa.
Yote haya yanatokeo ni wazi tumerudi kwenye zama za Giza za Magufuli. Na uongozi wa chama unaonekana kutokujua namna ya kutoka kwenye mkwamo huu. Kwa hiyo, nina gombea kwa sababu tunatakiwa kutoka kwenye huu mkwamo
VOA: Umesema No Reforms, No Election. Unaweza elezea hili?
Lissu: Tumekuwa na uchaguzi wa serikali za vijiji, vitongoji na mitaa kama wiki mbili au tatu zilizo pita. Ilikuwa ni MAJANGA! (total disaster!). Ulikuwa ni uchaguzi mbaya kuliko wa 2020 kwa minajili ya manipulation ya uchaguzi kwa kiwango cha kitaifa. Kama hili litakuwa kawaida kwenye chaguzi zetu, ni wazi kwetu kuwa hawapo (CCM) tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani. Kwa hiyo, kama hawapo tayari kuwa na uchaguzi wa ushindani, kwa nini tushiriki chaguzi zijazo?
Kwa hiyo, tumeamua (CHADEMA) ili turudi kwenye uchaguzi, lazima tulazimishe mabadiliko ya mfumo wa uchaguzi.
Kwa hiyo, msimamo wetu ni: tupiganie mabadiliko, tukisha pata mabadiliko, tutakuwa tayari kushirki chaguzi. Tunasimama kwenye No reforms, No Election.
VOA: Pia, Unataka mabadiliko ndani ya CHADEMA pamoja na ukomo wa uongozi?
Lissu: Kabisa, Hatuwezi kupambana na udicteta wa Samia kama sisi ndani tupo tulivyo sasa. Kwa hiyo, lazima tusafishe nyumba yetu kwanza.
Lazima tusafishe matendo yetu kabla hatuja pambana na uongozi wa Samia. Kama hatuta jisafisha, itakatisha tamaa watu wetu na tutashindwa kupambana na tatizo kubwa ambalo limekuwa linatuathili la utawala wa Samia Suluhu Hassan
VOA: Mr. Lissu, thank you very much!
TunduALissu: Thank you for having me on your program.
Mbowe si aliitisha maandamano? Mlikwenda? 😆😆Busara imuongoze Mbowe ampishe Lissu!.
Ana mikakati thabiti ya kupambana na ma ccm, Mbowe toka apewe ule msamaha na Samia amekuwa hana tofauti na mtu aliyehongwa tuu...kawa mpoleee sn dhidi yake!.
Huyo mkuda ni Zero IQ.Tuondolee upuuzi wako
Lisu hata akiwa Mwenyekiti kwani atawafanya nini CCM? Mbona Kila siku anazuiwa mikutano huko na hajawahi fanya lolote?Binafsi naona kuna watu siku hizi hawalali kutoka CHADEMA kwa kushirikiana na upande wa pili ili kuangalia namna ya kumzuia Lisu asigombee mana wanaona ataleta fujo nchini.
Unajua mzew Mbowe sijui ikikuwa ni busara kama alivyokuwa akipenda kusema au alikuwa anatumika, mana alikuwa hataki kabisa siasa za fujo kwa miaka hii!
Sasa sidhani kama mfumo utaruhusu Lisu awe mwenyekiti. Na asipokuwa mwenyekiti lazima CHADEMA ife mana wanachama pia wamemchoka Mbowe.
Suluhisho. Mbowe akae pembeni na wajitokeze wagombea wengine wapya hata kama asipopewa Lisu basi apewe mwingine tofauti na Mbowe!