Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Lissu: Dola za Kimarekani Milioni 42 (takribani Tsh. Bilioni 100) zilikutwa nyumbani kwa Magufuli baada ya kufariki

Niliwahi kushauri, threads za tuhuma za kuchafua watu humu, kwa hearsay ziendane na uthibitisho usiotia shaka, usikute mtoa tuhuma anatafuta a honorary exit ili akiitwa kuthibitisha, huyooo... kurejea kwake na kusingizia anatafutwa!. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Why umtuhumu tuhuma nzito hivi zisizo na uthibitisho al marhum asiyeweza kujitetea?

Kanuni ya tuhuma ni he who alleges, must proves!.

Kwa msiojua Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Mi mbona kama naelewa tofauti?

Zilikutwa nyumbani kwake ila hajasema zilikuwa zake. Tundu Lissu isije akawa anamkumbusha mvujisha habari hata za kifo maana alikuwa wa kwanza kuhoji alipo m-sure kuwa ana mengi anayajua ktk sakata hili wasimchukulie poa.

Juzi tu kasema anaenda kumuamsha leo kaja na hili. Wale tuliambiwa walizitoa central bank why sio wao walizipeleka huko kwa lengo lao!?
 
Kiasi chote hicho cha pesa kilikutwa nyumbani kwa Magufuli, ina maana alikiweka kwa siri hata mke wake na wengine wa familia yake hawakujua?

wezekana ana taarifa za ndani zaidi ambazo wengi wetu hatuna, hasa nikizingatia informers waliokuwa wakimjuza juu ya unyama ambao angeweza kufanyiwa mpaka kukimbia nchi. Naona asibezwe, wala kuaminiwa 100% kwa hii taarifa yake.
Kama kitu hujui ni kheri kukaa kimya
Na asilimia 100 hujui
 
Sedition is about when a person's speech, behaviour, language, written words attracts the group of people or a mob acts rebellion against authority of state or create incitement to public disorder or violence.

I am sure that statement from Lisu does not qualify to be called sedition
Ushamuacha kolomije mzee wa watu 🤣🤣🤣
 
Niliwahi kushauri, threads za tuhuma za kuchafua watu humu, kwa hearsay ziendane na uthibitisho usiotia shaka, usikute mtoa tuhuma anatafuta a honorary exit ili akiitwa kuthibitisha, huyooo... kurejea kwake na kusingizia anatafutwa!. Hongera JF kwa Whistleblow, JF tubadilike, tusichafue majina ya Watu kwa tuhuma za Hearsay zisizo na Uthibitisho, Ukituhumu, Weka Uthibitisho

Why umtuhumu tuhuma nzito hivi zisizo na uthibitisho al marhum asiyeweza kujitetea?

Kanuni ya tuhuma ni he who alleges, must proves!.

Kwa msiojua Voices From Within: Je, wajua yuko Peponi, Mbinguni, Kwa Baba yake? Why kumshutumu, kumsakama na kumsimanga? Aachwe apumzike kwa amani

P
Mkuu wewe huwa ni mtu unayejinasibu kama mtu with "an ear to the ground".

Usitutapeli kuwa hili uikuwa hulijui.

Kwamba a large amount of solid, hard cash, zilikutwa nyumbani wa Magufuli, that is common knowledge.
Tunafunika kombe ili wanaharamu gani wapite?

Otherwise hata Magufuli aliwahi kusema msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
 
Hatari mkuu, hii kitu niliisikia muda kidogo ilikuwa siri ila naona imevuja baada ya team mama kushambuliwa sana na team baba. Naona sasa tunaelekea kusema kama mbwahi, mbwahi mghoshi!
Upo sahihi
Nao wanatumia siraha zao
 
Kiasi chote hicho cha pesa kilikutwa nyumbani kwa Magufuli, ina maana alikiweka kwa siri hata mke wake na wengine wa familia yake hawakujua?
...
UWT walipekua huko chumba cha siri cha Magufuli baada ya mke wake kutoa taarifa ya hicho chumba cha siri.

Hizo zilzokuwa declared ni baada ya operatives kujichotea walichoweza kubeba.
 
Back
Top Bottom