Okoth p'Bitek
JF-Expert Member
- Jan 11, 2019
- 1,124
- 1,384
Meja jenerali martin busunguJeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Jibu swali wewe, Lisu kauliza lipo kwa sheria ipi?Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
HAIJAWAHI TOKEA ILA SEMA WEWE MGENI NA MAMBO HAYO NA UTAKUWA UMEANZA KWENDA KWENYE MIKUTANO MWAKA HUUMbona chaguzi zingine walikuwa wanaenea huu imekuwaje ?
UNazidi kujichanganya Mkuu, kwa nn hawakuchukua JWTZ au JKT tu tujue moja?Si kila kitu kinandikwa kwenye sheria...jeshi la akiba ni kamandi ya jeshi la wananchi wa tanzania ambapo majeshi mengine ni majeshi ya nchi kavu,majini na anga.
Kukuthibitishi hilo ndo maana mkuu wake ni afisa wa jwtz na linasimamiwa na jwtz na linapewa mafunzo na jwtz. Na vitambulisho vyao vinasainiwa na afisa wa JWTZ.
Sawa sawa na kusema leo jeshi la wanamaji limeanzishwa na sheria ipi...hitimisho jeshi la akiba ni moja ya kamandi ya jwtz na inasimamiwa na jwtz na linasimamiwa na sheria iliyoanzisha JWTZ na si jeshi linalojitegemea.
Jeshi kamili ni moja tu nchini tanzania kwa maana ambalo litasimamia na kutoa maelekezo na kupiganisha vita ktk uwanja wa medani,mengine ni majeshi usu na mengine ni kampuni za ulinzi na vingine ni vikundi vya jamii vya ulinzi kwa kuzingatia muktadha wa maana ya neno jeshi tafsiri ni nyingi kutokana na ain ya ujumbe unaotaka kuupeleka kwa jamii.
Kazi zake ni zipi?
Are you mad or something!?Lisu ndio maana anajifichia nyuma ya hoja yake ya Risasi tofauti na hapo ni empty set.
Hoja ya kitoto sana hii, yaani mijadala kama hii ndio ile mtu mkiwa kijiweni unaitoa ili kupotezea muda,
Stori za vijiweni ndio hoja anazokuja nazo mgombea Urais wa Chadema,
Inasikitisha sana.
UJINGA UNAOTAKA WEWE HAUWEZI KUFUATWA NA WATU WENYE AKILI TIMAMU KAMA HUJUI MAMBO YA ULINZI KAA KIMYAUNazidi kujichanganya Mkuu, kwa nn hawakuchukua JWTZ au JKT tu tujue moja?
Achana na msukuma huyo..source ni Milard Ayo.
..au amekuwa fake news siku hizi?
Ridhiwani Kikwete kuwanunulia kombati jeshi la akiba – Millardayo.com
Mkuu nashukuru kwa hoja.Kazi zake ni zipi?
Limeundwa kwa sheria ipi?
Kazi ya JW ni kulinda mipaka, na kama haowako chini yao, kazi yao ni kuwa ni akiba yakulinda mipaka na si usalama wa Raia na mali zao.
Kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao ni kazi ya POlisi.
Sio sahii kuwa nao hao
Meja jenerali martin busungu
National defence actJibu swali wewe, Lisu kauliza lipo kwa sheria ipi?
Kazi zao ni kazi za ulinzi wa mipaka km jw pale wanapoitajika hasa kwenye vitaKazi zake ni zipi?
Limeundwa kwa sheria ipi?
Kazi ya JW ni kulinda mipaka, na kama haowako chini yao, kazi yao ni kuwa ni akiba yakulinda mipaka na si usalama wa Raia na mali zao.
Kazi ya kulinda usalama wa Raia na mali zao ni kazi ya POlisi.
Sio sahii kuwa nao hao
Kwani idadi ya majeahi na vikosi vya ulinzi nani anavianzisha? Kwani kuongeza na kupunguza idadi ya wizara katiba inasemaje inasema lazima idadi ya wizara zikiongezeka au zikipungua zikatungiwe sheria?Sasa nembo ndio sheria
Nchi yoyote baada ya vita vya kwanza kumaliza hii tabia ya akiba kwa ajili ya baadae ilikuwa kama ni njia ya kupunguza idadi ya wanajeshi katika bajetiJamani lissu n upstairs kwa kweli,
Hilo jeshi la akiba liliundwa kwa sheria ipi, na minajiri gani?
Unaniuliza mimi?Je sheria ya jwtz kuna majeahi mangapi
Anaharibu makusudiJeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana
Anaongozwa kwa remote kutoka ughaibuniGenius Mkuu. Akiwa Rais wetu rasmi hiyo October.. tutafaidika sana na kichwa chake hicho.
Matumizi ya Jeshi la Akiba ni yapi?Wanapatikanaje,wamefunzwa kutuliza fujo/ghasia kamamnda wao ni nani hasa hapa nchini?Mbona hatuwaoni kwenye mikutano ya CCM?Jeshini kuna Active Force Na Reserve force Na maana Ya Reserve Force ni Jeshi la Akiba ambalo hapo nyuma liliitwa Mgambo ila kwa sasa ni Jeshi la akiba Na lina MKUU wao kabisa so hapo Lissu kajichanganya sana