Lissu: Hakuna Katiba Mpya, hakuna uchaguzi

Huyu Lissu si alishajiunga chama cha Dr Slaa? hicho chama hakina nguv yoyote ile zaidi ya matusi na mwabukusi ameeka wazi Lissu ni mpenda vyeo si kwa ajili ya watanzania
 
Raisi Samia na Serikali yake waliapa kuilinda katiba iliyopo, hawakuapa kuandika katiba mpya. Tustishane.
Wananchi ndiyo mamlaka kubwa kuliko zote. Wananchi walio wengi, kupitia tume ya Warioba walikwishatamka wanataka katiba mpya. Serikali inalazimika kutekeleza matakwa ya walio wengi. Kama haiwezi, inatakiwa iondolewe, iwekwe yenye uwezo wa kutekeleza matakwa ya wananchi walio wengi.
 

CCM na vibaraka wao wakikuelewa mrejesho wako tafadhali. Tuko pale, tunachapa kazi tukisubiria wito wa kulianzisha.
 
Nchi inawajinga wengi... Wanafikiri KATIBA ni ya TL au CDM!
 
Lussu kastuka mapema, anajuwa wakiingia kwenye uchaguzi hawana chao.

Hata mgombea wao hawajui atakuwa nani. Anajijuwa uwa yeye hawezi kugombea tena, sasa anatafuta pakutokea.
Mgombea wa ccm unamjua atakuwa nani ? Unaona namna mpumbavu anavyo haa hadi kamuinua team jpm makonda unajua kwanini mmakunduchi mpumbavu kafanya hivyo. Kwa ushauri tu ccm wamchague polepole kuwa mgombea urais 2025 hiyo ndiyo itakuwa salama yao
 
Huyu Lissu si alishajiunga chama cha Dr Slaa? hicho chama hakina nguv yoyote ile zaidi ya matusi na mwabukusi ameeka wazi Lissu ni mpenda vyeo si kwa ajili ya watanzania

Kina Slaa na timu yao su chama bali ni mkusanyiko wa watanzania wote wenye kuyatambua:

1. Hakuna Katiba mpya, hakuna uchaguzi.
2. Bandari zetu haziuzwi, sasa na hata milele.

Wote wenye utambuzi huo wamo humo. Wewe haupo humo ndugu?
 
Ukiwepo yeye Lisu atafanya nini?
Tukisema nchi hii hakuna wapinzani bali watoa taarifa tunakosea?

Kwani Samia hajui nini kitafanyika? Tukisema mnajifanya hamjui kuwa mwenye nchi mwananchi tutakuwa tunakosea?
 
Kina Slaa na timu yao su chama bali ni mkusanyiko wa watanzania wote wenye kuyatambua:

1. Hakuna Katiba mpya, hakuna uchaguzi.
2. Bandari zetu haziuzwi, sasa na hata milele.

Wote wenye utambuzi huo wamo humo. Wewe haupo humo ndugu?
Bandari haikuuzwa imekodishwa ili kuboresha maisha yenu, badala ya ule uchafu uliopo pale Dar es salaam sasa patajengwa na kuwa kitovu cha biashara, Mama amekuja na mpango mpya na namna mpya kuacha mazoea ili muneemeke sio kupiga hela tu kila ripoti inayokuja.

Uchaguzi upo ndugu Dr. Slaa hana mvuto wa kuzuia uchaguzi kwa yeye na mwabukusi na mdude, Katiba mpya sote tunaihitaji lakini hatuwezi kususia shamba la mahindi nguruwe atafyeka kila kitu
 
Mkuu tubet Million, CHADEMA hawana uwezo wa kususia uchaguzi mkuu, wa serikali za mitaa wanaweza mana hauwaathiri kwenye ruzuku, ila uchaguzi mkuu, hata bila kubadili sheria za uchaguzi hawa jamaa wanashiriki tu lazima,

Nani anaongelea kususia uchaguzi ndugu? Hata ACT kasema hawezi kususia shamba nguruwe!

Hii ngoma ni kuwa uchaguzi haupo.

Habari ndiyo hiyo.
 
Tanzania hakuna uchaguzi, bali Kuna maonyesho ya ujinga wa mtu Mweusi kwenye box la kura. Kuendelea kushiriki chaguzi kwenye mazingira haya ni upuuzi kama upuuzi mwingine.
 
Lussu kastuka mapema, anajuwa wakiingia kwenye uchaguzi hawana chao.

Hata mgombea wao hawajui atakuwa nani. Anajijuwa uwa yeye hawezi kugombea tena, sasa anatafuta pakutokea.

Aliyestuka kushindwa, ni Lissu au huyu aliyeweka mabango kitapeli akimhusisha kuwa wanaiunganisha nchi?

Kwanini Katiba mpya mafunzo miaka 3? Ili ajimilikishe nchi hadi angalau 2030 siyo? Kwamba tutake au tusitake?

Anayetaka tafrani ni nani? Tunaotaka katiba mpya au anayekomaa kuzuia katiba mpya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…