- Thread starter
- #101
Niko palee nisubiri kuoana Kama uchaguzi hautafanyika.
Chadema tutawashukuru mno mkisusa ,hakikisheni mnasusa tuone kama tukila hatutashiba.
Nakazia:
Hapo hapo mkuu. Huku nje hali si shwari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niko palee nisubiri kuoana Kama uchaguzi hautafanyika.
Chadema tutawashukuru mno mkisusa ,hakikisheni mnasusa tuone kama tukila hatutashiba.
Na Zito amesema ACT Wazalendo watashiriki uchaguzi kuwe na Katiba Mpya au isiwepo hakuna kuachia mtu ushindi wa mezani.Wenzenu Waha wameshinda Ubunge Pemba 😀😀🔥
Uhuni gani?Ni wazu kuna uhumi unapangwa kuelekea hiyo 2025.
Nje wapi?Nakazia:
Hapo hapo mkuu. Huku nje hali si shwari.
Kwanza Mbowe hawezi kukubari Kuendesha na kupelekeshwa na Lisu 🤣🤣Mkuu tubet Million, CHADEMA hawana uwezo wa kususia uchaguzi mkuu, wa serikali za mitaa wanaweza mana hauwaathiri kwenye ruzuku, ila uchaguzi mkuu, hata bila kubadili sheria za uchaguzi hawa jamaa wanashiriki tu lazima,
Chadema sio wasemaji wa WananchiWananchi ndiyo mamlaka kubwa kuliko zote. Wananchi walio wengi, kupitia tume ya Warioba walikwishatamka wanataka katiba mpya. Serikali inalazimika kutekeleza matakwa ya walio wengi. Kama haiwezi, inatakiwa iondolewe, iwekwe yenye uwezo wa kutekeleza matakwa ya wananchi walio wengi.
Kwa sababu ulipo hapo hauelewi hata maana ya Katiba MpyaAliyestuka kushindwa, ni Lissu au huyu aliyeweka mabango kitapeli akimhusisha kuwa wanaiunganisha nchi?
Kwanini Katiba mpya mafunzo miaka 3? Ili ajimilikishe nchi hadi angalau 2030 siyo? Kwamba tutake au tusitake?
Anayetaka tafrani ni nani? Tunaotaka katiba mpya au anayekomaa kuzuia katiba mpya?
Kwa sababu ulipo hapo hauelewi hata maana ya Katiba Mpya
Na Zito amesema ACT Wazalendo watashiriki uchaguzi kuwe na Katiba Mpya au isiwepo hakuna kuachia mtu ushindi wa mezani.
Sasa ngoja tuone Chadema watakavyolianzisha na watakaoandamna nao 😁😁
Zitto Elimu yake ya Ujerumani kaishia kuajiriwa kwenye siasaNa Zito amesema ACT Wazalendo watashiriki uchaguzi kuwe na Katiba Mpya au isiwepo hakuna kuachia mtu ushindi wa mezani.
Sasa ngoja tuone Chadema watakavyolianzisha na watakaoandamna nao 😁😁
Katiba Mpya inaleta ugali?Kwani wewe ni nabii Titto?
Zitto Elimu yake ya Ujerumani kaishia kuajiriwa kwenye siasa
Shule za Vipaji siku Hizi bure Kabisa
Najivunia dogo wa Mivumoni Sec pale Mtambani anayetuwakilisha vena huko Marekani
Mtambani tuko jirani na Ufipa st na wakati tunaunguliwa mabweni Dr Slaa alikuwa anakuja kuwafariji Wanafunzi 😂😂
HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:
View attachment 2797585
HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.
HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.
Kauli ya wengi ni kauli Mungu.
Aluta continua!
Katiba Mpya inaleta ugali?
Inaleta nini hicho Cha zaidi?Katiba mpya inaleta zaidi mno ya ugali. Pia tunajua katiba mpya itawanyima majizi ninyi ugali.
Kama umesoma Vizuri Siasani unatafuta nini? Kurogwa?!!Kwa hiyo walioko kwenye siasa ni losers, yaani mafala?
kama kaul ya weng ndio ya mungu mbona kwenye gharika walibaki watu nane na wengi wakaangamia?HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:
View attachment 2797585
HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.
HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.
Kauli ya wengi ni kauli Mungu.
Aluta continua!
Kauli ya Tundu sio kauli ya watu wanaojinasibu kama wapinzani, hii ni
Kauli ya kushindwa
Kauli ya kudeka
Kauli ya woga
Kauli dhaifu
Kidumu chama cha mapinduzi
Kama umesoma Vizuri Siasani unatafuta nini? Kurogwa?!!
Wewe unadhani CCM walioweka sifa za Ubunge ni Kusoma na Kuandika ni Wajinga?😀😀