Lissu: Hakuna Katiba Mpya, hakuna uchaguzi

Lissu: Hakuna Katiba Mpya, hakuna uchaguzi

HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:

View attachment 2797585

HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.

HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.

Kauli ya wengi ni kauli Mungu.

Aluta continua!
Ichaguzi utakuwapo sema yeye Tundu Lissu hatashiriki. Asiwasemee wengine. Hicho ni kipindi cha watu kupata nafasi za udiwani na ubunge na watu wamewekeza wakagombee. Lissu hawezi kuwaamulia.
 
Ichaguzi utakuwapo sema yeye Tundu Lissu hatashiriki. Asiwasemee wengine. Hicho ni kipindi cha watu kupata nafasi za udiwani na ubunge na watu wamewekeza wakagombee. Lissu hawezi kuwaamulia.

Kumbe wewe unamsemea nani nabii Tito?
 
HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:

View attachment 2797585

HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.

HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.

Kauli ya wengi ni kauli Mungu.

Aluta continua!
Labda uchaguzi wa nyumbani kwake. Mimi nitakwenda kujiandikisha na kisha kupiga kura siku hiyo ikifika.
 
Labda uchaguzi wa nyumbani kwake. Mimi nitakwenda kujiandikisha na kisha kupiga kura siku hiyo ikifika.

Hata Zitto na Samia watakwenda kujiandikisha kama sote wengine akiwamo Lissu. Ilipo ngoma ni kuwa uchaguzi hautakuwapo.
 
Uchaguzi utafanyika bila katiba Mpya

Chadema ikitaka ipotee basi ijiondoe kwenye chaguzi
 
Kwamba kuna makundi 2. Moja linasema uchaguzi si lazima iwepo katiba mpya na jingine linasema bila katiba mpya uchaguzi usiwepo.

Kwamba hauko katika makundi mawili hayo na Bado unasema unajitambua.

Ni kweli:

View attachment 2797775

🤣🤣
Ni ujinga uliopitiliza kuamini katiba mpya itakutoa hapo ulipo, katiba mpya inaweza kuja ikawa na interest za kisiasa tu lakini isibadilishe chochote kwenye maisha ya watu,
 
HIzi ndiyo zile kauli tunazozitaka kuzisikia toka kwa viongozi wetu katika mapambano:

View attachment 2797585

HIzi ndizo zile kauli wanazozielewa vyema CCM na vibaraka zao.

HIzi ndiyo zile kauli za watu, yaani kauli za wananchi.

Kauli ya wengi ni kauli Mungu.

Aluta continua!
Kwani yeye nani, au ni msemaji wa vyama vyote vya siasa na Watanzania wote.

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Ni ujinga uliopitiliza kuamini katiba mpya itakutoa hapo ulipo, katiba mpya inaweza kuja ikawa na interest za kisiasa tu lakini isibadilishe chochote kwenye maisha ya watu,

Ni ujinga uliopitiliza kudhani katiba ni kama kijarida chochote cha CCM au vibaraka zao:

FuOaIYLXgAAoFSO.jpeg
 
Uchaguzi haupo, unaelewa maana yake?
Hili la kusema hakuna uchaguzi siyo jambo la kweli. As much as i like Lissu, and as much as I advocate katiba mpya lakini sioni namna ambayo uchaguzi unaweza usiwepo. Wananchi wenyewe ni hawa ambao hata kupinga dhuluma wanazofanyiwa waziwazi hawawezi ndiyo wazuie uchaguzi? BTW kwanza CCM ndiyo itafurahi kwani nani alisema wanahitaji wananchi kujitokeza kupiga kura? Nakuampia hata wangejitokeza wapiga kura milioni moja tu CCM itatoa matokeo yanayoonyesha kura zilipigwa na watu milioni ishini na yenyewe imeshinda kwa 80%
 
Hili la kusema hakuna uchaguzi siyo jambo la kweli. As much as i like Lissu, and as much as I advocate katiba mpya lakini sioni namna ambayo uchaguzi unaweza usiwepo. Wananchi wenyewe ni hawa ambao hata kupinga dhuluma wanazofanyiwa waziwazi hawawezi ndiyo wazuie uchaguzi? BTW kwanza CCM ndiyo itafurahi kwani nani alisema wanahitaji wananchi kujitokeza kupiga kura? Nakuampia hata wangejitokeza wapiga kura milioni moja tu CCM itatoa matokeo yanayoonyesha kura zilipigwa na watu milioni ishini na yenyewe imeshinda kwa 80%

Hakuongelewi kususia uchaguzi. Kunaongelewa kutokuwapo uchaguzi.

Kulikoni kuwa malaika wa kushindwa (angel of doom)? Kwanini tusiwekeze kwenye kuuzuia uchaguzi? Kama wewe huwezi si uwaachie walilodhamiria kuusimamisha?

Kwani ukombozi unahitaji watu wangapi ndugu?

IMG_20220927_190940_421.jpg


Hata kwenye jeshi la Gideon ilikuwa hivyo:

..maji kwa ulimi, kama vile mbwa anywavyo, wale wote wapigao magoti ili kunywa wakipeleka mikono yao vinywani mwao, waweke upande mwingine.”

Waliokuwa wengi zaidi ndiyo walikuwa hawafai!
 
Mkuu tubet Million, CHADEMA hawana uwezo wa kususia uchaguzi mkuu, wa serikali za mitaa wanaweza mana hauwaathiri kwenye ruzuku, ila uchaguzi mkuu, hata bila kubadili sheria za uchaguzi hawa jamaa wanashiriki tu lazima,
Wanabwabwaja tu uchaguzi watashiriki

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
kama kaul ya weng ndio ya mungu mbona kwenye gharika walibaki watu nane na wengi wakaangamia?

Si tulikubaliana ya Mungu mengi? Tena tukakubaliana kuwa ni rahisi Kwa ngamia kupita kwenye tundu la sindano kuliko kwa tajiri kufija kwake? Au huwa tunakwenda tunasahau sahau na kurukia rukia tunavyodhani kutufaa Kwa nyakati fulani fulani?

Kwamba ni opportunists kazini siyo?

Hiiiiii bagosha.

Hatudanganyiki!
 
Back
Top Bottom