Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
boss ni Mungu.

JESUS IS LORD&SAVIOR
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Tumewagundua nyie wanafiki.

Sasa mtatudangany nini tena.

Yaani kumbe watu wanatekwa, wanauawa nyie mnaenda kula nao pesa? Hizo ni siasa au taka taka.
 
Chama huendeshwa kwa misingi ya katiba, kanuni na miiko hata kama umeona tatizo kuna taratibu zake za kuhoji na sio kuropoka.

Taratibu, misingi, miiko ipi? Chama chenyewe hakifuati hiyo miiko, misingi kama kukataa rushwa, uadilifu, uaminifu, Kupiga vita rushwa.

Ndio kwanza kinakumbatia hayo hadi Wenje anatetea kabisa kufanya vitu nje ya sheria. Viongozi wengine wote wapo kimya.

Lissu inabidi afanyaje?
 
Sasa Lisu ni tofauti kabisa , kesi za mchongo sio rahisi kufanikiwa kwake kwa sababu hafanyi jambo lolote nje ya katiba na sheria.
Tundu Lisu Ana moyo wa haki .Tundu Lisu ni muwazi , muadilifu na anaichukia Rushwa kwele kweli .
Kwa uadilifu wa Lisu ni wazi kuwa ana kibali mbele za Mungu kwa ajili ya kuijenga Tanganyika yenye haki katikati ya rasilimali nyingi alizoziumba Mungu kabla ya Kuwepo kwa CCM na Chadema . Tundu Lisu amesimama na wananchi katika kupigania maisha ya wengi
Upo sahihi kabisa, Lissu ni mwadilifu mpenda haki, anachotakiwa kuelewa ni jinsi ya kutekeleza maono yake pasipo kuumiza wengine.
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Haya mwalimu wa siasa unayejua kuliko simba, upo mitaa gani mida hii?
 
1. Nimeahangaa mnoo Mbowe kumuweka Wenje mbele ilhali ni mtuhumiwa wa rushwa

2. Mbowe amekuwa kipofu totoro
Ana baraka zote za Mwenyekiti Mbowe. Mbowe anamtumia.

Wenje ndio anaenda kuwa makamu wa Mbowe baada ya uchaguzi. Team itakuwa imekamilika, Lissu akiwekwa pembeni.
 
Chama huendeshwa kwa misingi ya katiba, kanuni na miiko hata kama umeona tatizo kuna taratibu zake za kuhoji na sio kuropoka.
Sasa hivi hakuna utofauti kati ya CHADEMA, CUF na TADEA,

Upumbavu mtupu,

Afadhali adui uliomzoea kuliko adui mpya better tuendelee na CCM tu milele.

Kuliko yanayojifanya yanapigania wanyonge kumbe nyuma ya pazia majizi matupu na mara rushwa.
 
Ajifunze kwa Mandela kabla ya kupewa dola kulikuwa na mazumgumzo ambayo walipoafikiana ndiyo akapewa, vinginevyo urais angeusikia tu kwa wengine.

Huwezi kupewa taasisi yoyote uiongoze achilia mbali nchi kwa kuwashutumu viongozi wenzako shtma ambazo ukiambiwa utoe ushahidi wa pasi na shaka unakwama.

Lissu angeutaka uwenyekiti wa CDM bila kutanguliza mashambulizi mbele kuna kura nyingi sana za huruma angezipata, kauli moja tu katika siasa inaweza kukuondolea kura zaidi ya nusu.
Hoja ndogo tu hapa ndugu zangu, hivi utaipata katiba mpya tunayoidai miaka zaidi ya 8 kwa kumuweka kando Rais wa sasa wa nchi? Hili linawezekana kweli?
Unamkwepaje Rais katika harakati zako za kudai katiba mpya? Uingie msituni ama?
 
Sawa, fanya hilo vuguvugu pasipo kukivuruga chama unachotegemea kuja kushika dola.
Lissu kakivuruga vipi!? Umemsikia lini akimshambuliwa mwanachadema yeyote? Naona mnaforce iwe mtakavyo lakini inashindikana. Nnachokiona mitandaoni ni machawa wa Mbowe na CCM kuungana kumshambulia Lissu!!! Hilo limenipa picha tofauti kabisa kuhusu CHADEMA.
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Mbowe ni jinga jinga fulani, ilikuwaje akakubali kumtukana Mzee Lowasa na akaruhusu atukanwe Dkt Kikwete na akawa anafurahia na mwisho wa siku akaja tena kumfanya Mzee Lowasa kuwa mgombea urais. Nadhani mbowe hafai kabisa. Hiyo NGO yake imebaki na suala la kukuza ushoga tu wanapokea hela za kunajisiana hawq akina heche ni nwendo wa ushoga tu akina mnyika hao. Kwa ufupi Tanzania hatuna upinzani tuna vikundi vya wanaharakati tena si kwa mambo ya msingi bali kwa yale ambayo wanaamuliwa na wazungu kama ushoga
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Ndiyo maana mlimpiga risasi
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Unachosema ni uongo,ipo mifano mingi ya wasiokuwa wana sii hasa na wanashika dola na wanakubalika na wanafanya makubwa zaidi ya wana sii hasa(syria) wameamua kuwa serious achilia mifano mingine hai.
 
Sawa, fanya hilo vuguvugu pasipo kukivuruga chama unachotegemea kuja kushika dola.

Kavuruga kitu ambacho ni vurugu tupu au kasema ukweli, chama hakipo organised kinaendeshwa kama familia? Kwa wenye akili wangeshukuru kujua liscam liloloundwa miaka na kudanganya umma hatimaye warekebishe lkn kwa kuwa akili zetu hazijai kisoda msema ukweli anafanywa adui!
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.


Kwa hiyo walioshinda uchaguzi nchi zingine walipambana na wananchi?
 
Chama kinabidi kuwa imara, Lissu anajaribu kujenga misingi imara ndani ya chama.

Unatumiwa Wenje akupe rushwa unakataa, unatumiwa achukue nafasi yako ya kuongea na Watanzania na wewe wakuweke pembeni.

Ungekuwa wewe ungefanyaje?
Atumie njia sahihi waliojiwekea na si nje ya utaratibu.
 
Atumie njia sahihi waliojiwekea na si nje ya utaratibu.
Lengo la mwenyekiti, kamati kuu ni kumdhibiti, kumpunguza makali asiishambulie sana serikali.

Njia sahihi ni ipi kwa hali ilivyo sasa?
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
We naye Kenge sijui unaandika upuuzi gani humu , hujui kwamba wanaharakati ndio huwa chachu ya mabadiliko dunia nzima ?
Mfano ni civil rights movement ya akina Martin Luther na Malcolm X Kwa watu weusi kule Marekani miaka ya 60 .
We mpuuzi huna akili
 
Nchi zote duniani zilipata Uhuru na Dola kwa uanaharakati.

Acha uongo.
Ni kama hujui Historia

Vyama vya upinzani haviwezi kushika Dola bila harakati kama hakuna uwanja sawa.

Nchi zenye demokrasia ndio hakuna vyama vya siasa venue harakati kwa sababu kuna uwanja sawa baina ya vyama.
Vyama na wanaharakati wanatakiana ila kinachoshika dola ni chama, mwanaharakati atashika dola kwa mgongo wa chama, ukiona mwanaharakati kashika dola bila chama kafanya mapinduzi au katokea msituni.
 
Lengo la mwenyekiti, kamati kuu ni kumdhibiti, kumpunguza makali asiishambulie sana serikali.

Njia sahihi ni ipi kwa hali ilivyo sasa?
Kama Lissu hataki kufuata utaratibu ili kushika dola kupitia vyama tuchague mapinduzi basi au tuingie msituni na Lissu atuongoze.
 
Lissu hakujifunza tu kwa rafiki yake Spika mtata aliyekuwa anatamba ana uwezo wa kumleta mtu yoyote Bungeni kwake kuhojiwa iwe kwa pingu ama karandinga - baada ya kauli ile ya mikopo ya mama nini kimemkuta?
Dola ni dola ndugu.
 
Back
Top Bottom