Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.
Mbowe ana wabunge wangapi kwa huo umakini wake? Uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji umempatia viongozi wangapi? Kutoka wangapi?
Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Umeona huna cha kumfundisha wala kumshauri Lissu, umeamua kujaribu kumshauri ujinga na upumbavu.
Kumbuka nchi zote za Afrika zilipambana na dola za kikoloni kudai Uhuru. Zanzibar alikuwepo Sultani, watu wakapambana na kufanya mapinduzi.
Unataka kuongea kitu gani?
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Ivi katika mgao na wewe umejumuishwa mkuu? weye lakini si ndugu yake Wenje ww?
 
Dah! Naomba tafadhari niambie chama chochote kilichotumia njia ya kistarabu ktk kuviondoa vyama vya ukombozi afrika. Hivi vyama vya ukombozi vinasirika moja ya kung'ang'ania madaraka
Dunia inabadilika na vita inaanza kuwa out fashioned style ya kupata unachokitaka. Leo ukisema uingie msituni kama Savimbi dunia itakushangaa.
 
Mbowe ana wabunge wangapi kwa huo umakini wake? Uchaguzi wa serikali za mitaa na vitongoji umempatia viongozi wangapi? Kutoka wangapi?
Unaongea kama hauko Tanzania na hujui kilichotokea, sina haja ya kukujibu inawezekana mwenzetu uko Sweden.
 
Huo ni mtazamo wako na yeye anamitazamo yake. Mkuu wewe huwezi kuwa Lissu.
 
Back
Top Bottom