Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

Mimi nazungumzia modern politics siasa za kistaarabu Ila sipingi aina zako za kuingia madarakani za mapinduzi na nguvu ya umma,

Niambie kati ya hizo aina ipi Lissu anaiweza, mapinduzi? au nguvu ya umma kwa umma upi wa watanzania.
Kwa walio staarabika, "modern politics" unazosema, zinaanza na TUME HURU YA UCHAGUZI.
Nafikiri hili unalijua.
Sasa tusimulie hizo "modern politics" kwa Tanzania zinafanyaje kazi wakati Tume ya Uchaguzi INATEULIWA NA MMOJA WA WAGOMBEA.
 
Kwa walio staarabika, "modern politics" unazosema, zinaanza na TUME HURU YA UCHAGUZI.
Nafikiri hili unalijua.
Sasa tusimulie hizo "modern politics" kwa Tanzania zinafanyaje kazi wakati Tume ya Uchaguzi INATEULIWA NA MMOJA WA WAGOMBEA.
Kwa hiyo tuingie msituni? au tuandamane.
 
Kwahiyo Unaamini kulikuwa na uchaguzi? Lisu si ndio makamu mwenyekiti? Yeye alikuwa wapi?
Lissu si alisema hakuna uchaguzi bila mabadiliko ila Mbowe kama kawaida anapenda maridhiano!! Ila Lissu akiachiwa umma wa chadema hao CCM wasingepindua hata mtaa mmoja maana pangewaka. Mbowe ana wanachama loyal sana ila ameshindwa kuwatumia vizuri kuwaondoa CCM.
 
Lissu si alisema hakuna uchaguzi bila mabadiliko ila Mbowe kama kawaida anapenda maridhiano!! Ila Lissu akiachiwa umma wa chadema hao CCM wasingepindua hata mtaa mmoja maana pangewaka. Mbowe ana wanachama loyal sana ila ameshindwa kuwatumia vizuri kuwaondoa CCM.
Wakati wa uchaguzi Lissu alikuwa Singida sijasikia akihamasisha wagombea wake kupinga kuenguliwa.
 
Wakati wa uchaguzi Lissu alikuwa Singida sijasikia akihamasisha wagombea wake kupinga kuenguliwa.
Aah mpe party machinery, angeshafufua mpaka red Brigade inatakiwa chadema irudi ile ya 2008-2014 yaani mpaka tulikua tunanasa mawasiliano na wakati mwingine tukidaka moles wa Ccm tunamalizana nao kimyakimya.

Mbowe hawezi hizo radical approaches kabisa ndio maana inatuuma wanachama.maana tunajua matokeo yatakuwaje.
 
Aah mpe party machinery, angeshafufua mpaka red Brigade inatakiwa chadema irudi ile ya 2008-2014 yaani mpaka tulikua tunanasa mawasiliano na wakati mwingine tukidaka moles wa Ccm tunamalizana nao kimyakimya.

Mbowe hawezi hizo radical approaches kabisa ndio maana inatuuma wanachama.maana tunajua matokeo yatakuwaje.
Lissu ni second man Chadema anashindwa nini ku implement maono yake kwa kujenga hoja kwenye kamati kuu hadi awe Mkiti.
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Wachaga mnayumbayumba kama mmelewa mbege

Chadema inafutwa mnatekana sana 🐼
 
Lissu ni second man Chadema anashindwa nini ku implement maono yake kwa kujenga hoja kwenye kamati kuu hadi awe Mkiti.
Kamati kuu ya chadema huwezi kujenga hoja imejaa mamluku watupu

Askofu Gwajima alishakuwaga mjumbe wa CC ya chadema huku ana KADI ya CCM 😂😂
 
Kwani kusema fulani sio mwanasiasa na haijui siasa ni mwanaharakati huwa mnamaanisha nini?. Mimi kama mwanafunzi wa saynsi za siasa mbona naona kama mko ilogical.

Mtu Kawa mbunge tena wa kuchaguliwa na wananchi kama muwakilishi wa wananchi?, Kawa mnadhimu wa upinzani bungeni, Kawa kiongozi wa chama haya yote ni in political context.

Hapo hiyo hoja ya fulani sio mwanasiasa wakati yupo kwenye context hiyo huwa mnapata wapi nguvu ya kuandika hivyo?. Je hamuoni kuwa mko ilogical?.
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Mawazo ya kijinga kabisa.Hakuna Dola inayotoka madaraka bila watu wakupambana nayo.Lissu go usikatishwe tamaa,pambana.
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Porojo miiiiingi!
Mwanaharakati ni Ujasiri
Dhambi ya Lissu ni kuweka machafu ya chama hadharani hili tu au kuna lingine?

JF ya kitambo kuna watu nilikuwa nawaaminia sana kwenye maswala ya kulikomboa taifa lakini kulikomboa Taifa ni mchezo wa kamari dah!
 
Back
Top Bottom