Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

Lissu jifunze, Huwezi kushika dola kwa kupambana na dola, Never

Lissu hakujifunza tu kwa rafiki yake Spika mtata aliyekuwa anatamba ana uwezo wa kumleta mtu yoyote Bungeni kwake kuhojiwa iwe kwa pingu ama karandinga - baada ya kauli ile ya mikopo ya mama nini kimemkuta?
Dola ni dola ndugu.
This is the way cowards think, fortunately, Lissu is far attached from there.
 
Lissu ni second man Chadema anashindwa nini ku implement maono yake kwa kujenga hoja kwenye kamati kuu hadi awe Mkiti.
Makamu mwenyekiti ni lesser than naibu katibu mkuu!!! Hata professor safari alilalamikia hili sana. Kwahiyo Lissu mmoja hawezi lazimisha kamati kuu yenye watu 20+ wamsikilize.

Hata hao Covid 19 watasamehewa na Mbowe na hakuna atakayepinga maana ana kura ya turufu kama mwenyekiti.
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Mkuu usisemee watu, uoga wako na matamanio yako usiyapandikize kwa watu wengine. Uanaharakati hauna shida ili mradi hakuna sheria iliyovunjwa.
 
Sawa, fanya hilo vuguvugu pasipo kukivuruga chama unachotegemea kuja kushika dola.
Mkuu inaelekea una tatizo na tafsiri ya neno "ukweli" mtu akisema ukweli wewe una tafsiri kuwa ni vurugu. Unapotosha watu makusudi.

Mkuu hakuna uharamu wowote kwa mtu kuwa mwanasiasa au mwanaharakati ilimradi havunji sheria yoyote ya nchi.
 
Trump ame pambana na Biden miaka yote minne kapewa kesi za kila Aina, bado kashinda.

Mandela alipambana na utawala katili hadi USA waka muigiza kwenye lists ya Magaidi duniani.

Mbowe hutembelea nyota za wana siasa wengine kwa malengo binafsi ya kupiga pesa, mfano 2005-2015, tulikuwa na kina DR slaa, Zitto, Lissu, Mnyika, Lema, hawa ndo walikuwa wanaibua maovu yote ukipenda kuyaita kuanzia ubinafsishaji wa Mkapa, Kilwete, Mererani, Escrow, Kadogo, Symbion, hao ndio waliiweka chadema kwenye chart sio mbowe.

Lengo kuu la mbowe ni kupitia imaarufu wa uliojengwa na wengine ndani ya chama kupiga pesa, hata issue ya Abdul mtoto wa Samia ni Lissu ndo kaibua, mbowe alisha piga pesa zake kitambo na kutulia , finally pesa ndo anaziita maridhiano , huyu sio mtu wa kuleta mageuzi Tanzania.

Mbowe hajawahi na haitatokea kuwa mwanasiasa bora Tz, kama kuna watu wana muona bora mbowe wape pole, hivi kuna ufisadi wowote ambao amewahi kuibua mbowe katika serikali yeyote zilizopita?
 
Trump ame pambana na Biden miaka yote minne kapewa kesi za kila Aina, bado kashinda.

Mandela alipambana na utawala katili hadi USA waka muigiza kwenye lists ya Magaidi duniani.

Mbowe hutembelea nyota za wana siasa wengine kwa malengo binafsi ya kupiga pesa, mfano 2005-2015, tulikuwa na kina DR slaa, Zitto, Lissu, Mnyika, Lema, hawa ndo walikuwa wanaibua maovu yote ukipenda kuyaita kuanzia ubinafsishaji wa Mkapa, Kilwete, Mererani, Escrow, Kadogo, Symbion, hao ndio waliiweka chadema kwenye chart sio mbowe.

Lengo kuu la mbowe ni kupitia imaarufu wa uliojengwa na wengine ndani ya chama kupiga pesa, hata issue ya Abdul mtoto wa Samia ni Lissu ndo kaibua, mbowe alisha piga pesa zake kitambo na kutulia , finally pesa ndo anaziita maridhiano , huyu sio mtu wa kuleta mageuzi Tanzania.

Mbowe hajawahi na haitatokea kuwa mwanasiasa bora Tz, kama kuna watu wana muona bora mbowe wape pole, hivi kuna ufisadi wowote ambao amewahi kuibua mbowe katika serikali yeyote zilizopita?
Kama Mbowe ameweza kukaa na magwiji yote hayo huoni kuwa ni kiongozi bora.
 
Trump ame pambana na Biden miaka yote minne kapewa kesi za kila Aina, bado kashinda.

Mandela alipambana na utawala katili hadi USA waka muigiza kwenye lists ya Magaidi duniani.

Mbowe hutembelea nyota za wana siasa wengine kwa malengo binafsi ya kupiga pesa, mfano 2005-2015, tulikuwa na kina DR slaa, Zitto, Lissu, Mnyika, Lema, hawa ndo walikuwa wanaibua maovu yote ukipenda kuyaita kuanzia ubinafsishaji wa Mkapa, Kilwete, Mererani, Escrow, Kadogo, Symbion, hao ndio waliiweka chadema kwenye chart sio mbowe.

Lengo kuu la mbowe ni kupitia imaarufu wa uliojengwa na wengine ndani ya chama kupiga pesa, hata issue ya Abdul mtoto wa Samia ni Lissu ndo kaibua, mbowe alisha piga pesa zake kitambo na kutulia , finally pesa ndo anaziita maridhiano , huyu sio mtu wa kuleta mageuzi Tanzania.

Mbowe hajawahi na haitatokea kuwa mwanasiasa bora Tz, kama kuna watu wana muona bora mbowe wape pole, hivi kuna ufisadi wowote ambao amewahi kuibua mbowe katika serikali yeyote zilizopita?
Sasa hao wote uliowataja ni Mbowe ndio kawaleta Chadema, mnona hawakwenda Udp?
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Hivi Mandela alipokuwa anapambana na makaburu alikuwa anafanya siasa au hatakati ? Steve biko alikuwa anafanya siasa au harakati ? Mugabe alikuwa anafanya siasa au harakati ? Nyerere alikuwa aanafanya siasa au harakati? Je hawakushika dola ?
 
Nchi zote duniani zilipata Uhuru na Dola kwa uanaharakati.

Acha uongo.
Ni kama hujui Historia

Vyama vya upinzani haviwezi kushika Dola bila harakati kama hakuna uwanja sawa.

Nchi zenye demokrasia ndio hakuna vyama vya siasa venue harakati kwa sababu kuna uwanja sawa baina ya vyama.
Nyerere alipata Uhuru kwa "Uanaharakati"?

Really?

Wewe jamaa kiazi sana
 
Watanzania wengi ni wanafiki na wanapenda unafiki nafiki tu. Mtu akiwa mkweli kanyooka, lazima wamchukie na kumtungia kila aina ya ubaya. Lissu ndiyo mtu sahihi kwa wakati huu. Tanzania inahitaji mtu mwenye kaliba ya TAL.

Mtu asiseme ukweli eti anapambana na dola, mnapenda kusikia uongo na kudanganywa kama watoto. Mtu asigombee eti anapambana na boss wake. Boss who? Hiko chama mtuambie ni cha familia,ccm ama ni kanyaboya tu. Kama ni chama cha upinzani, yeyote mwenye sifa atagombea mtake msitake.
Na ni wakat wa hiki chama kubaki salama au kuvifuata TLP,CUF,NCCR and co
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Woga wa nyumbu huu. Mawazo ya kijinga kabisa. Hamjifunzi kwa Mandela? Mnadhani alikaa jela muda wote kwa sababu gani? Alikaa kwa sababu hakutaka kunyenyekea kwa dola kama wewe unavyodhani. Udhalimu hupingwa na haukumbatiwi! Ujinga mwingine huu!
 
Ccm wanawachora tu wanangoja mbowe arejee na matusi yao yaanze
Mnataka demokrasia wakat chama chenu hakina demokrasia mna viongozi wanaongoza chama km mali yao afu mnataka mpewe uongozi wa nchi sindo mtabadili kabsa katiba ili msitoke madarakan muongoze milele

Ni mara 100 lisuu ashinde anaweza badili kwa kias flan upepo wa 2025 ila asiposhinda bas 2025 tusidanganyane itakua ni zaidi ya huu wa wwnyeviti wa mtaa
 
Trump ame pambana na Biden miaka yote minne kapewa kesi za kila Aina, bado kashinda.

Mandela alipambana na utawala katili hadi USA waka muigiza kwenye lists ya Magaidi duniani.

Mbowe hutembelea nyota za wana siasa wengine kwa malengo binafsi ya kupiga pesa, mfano 2005-2015, tulikuwa na kina DR slaa, Zitto, Lissu, Mnyika, Lema, hawa ndo walikuwa wanaibua maovu yote ukipenda kuyaita kuanzia ubinafsishaji wa Mkapa, Kilwete, Mererani, Escrow, Kadogo, Symbion, hao ndio waliiweka chadema kwenye chart sio mbowe.

Lengo kuu la mbowe ni kupitia imaarufu wa uliojengwa na wengine ndani ya chama kupiga pesa, hata issue ya Abdul mtoto wa Samia ni Lissu ndo kaibua, mbowe alisha piga pesa zake kitambo na kutulia , finally pesa ndo anaziita maridhiano , huyu sio mtu wa kuleta mageuzi Tanzania.

Mbowe hajawahi na haitatokea kuwa mwanasiasa bora Tz, kama kuna watu wana muona bora mbowe wape pole, hivi kuna ufisadi wowote ambao amewahi kuibua mbowe katika serikali yeyote zilizopita?
Mbowe ni kiongozi mbovu ambaye amefanikiwa kujificha bila kujulikana na watu wengi kwa muda mrefu. Hafai hafai hafai.
 
Hivi Mandela alipokuwa anapambana na makaburu alikuwa anafanya siasa au hatakati ? Steve biko alikuwa anafanya siasa au harakati ? Mugabe alikuwa anafanya siasa au harakati ? Nyerere alikuwa aanafanya siasa au harakati? Je hawakushika dola ?
Je walikuwa wanatukana?
 
Lissu sio mwanasiasa haijui siasa kaingia kwenye siasa ili kufanikisha malengo yake ya uanaharakati.

Lengo la mwanaharakati sio kushika dola ni kutetea haki na kuleta mageuzi, tofauti na lengo la mwanasiasa ambalo ni kushika dola.

Mbowe ni mwanasiasa, mwanasiasa makini hutumia hoja, dialogue, ballot box kushika dola na anaweza kuvumilia hata miaka 50, tofauti na mwanaharakati anayetaka shortcut kutimiza malengo yake iwe kwa mapambano au hata kumwaga damu.

Lissu anatakiwa apate washauri wazuri wa siasa atofautishe siasa na uanaharakati, asijifananishe na akina Maria Sarungi ambao hawana dhamana ya wanachama wanaweza kusema chochote na wasihojiwe na yeyote.

Awe na uvumilivu, aambiwe hawezi kupambana na dola akabaki salama vile vile aambiwe huwezi kupambana na boss wako ukabaki salama.
Kiongozi wa sylia mbona ameweza, amepwmbsna na dola ya Bashir asssad kwa miaka 10! Na sasa ameshika dola, acha nadharia za ki ccm,
 
It's true hakuna mwenye dola anayeweza kuachia dola kirahisi lkn
kuna njia sahihi na kistaarabu za kupata dola kidplomasia na sio kupambana nayo kwa mabavu kama anavyotaka Lissu na wengi mnavyotaka.
Dah! Naomba tafadhari niambie chama chochote kilichotumia njia ya kistarabu ktk kuviondoa vyama vya ukombozi afrika. Hivi vyama vya ukombozi vinasirika moja ya kung'ang'ania madaraka
 
Back
Top Bottom