Maneno yako yanaashiria uelewa wa kiasi fulani, wa Siasa.
Unapokosea, ni pale unapojiaminisha kwamba mwenye uamuzi wa nani atawale, ni Dola.
Katika historia ya Tawala za Dunia, tangu zama za kale, anayeshikilia Dola huondolewa kwa namna mbili tu.
Ama Mtutu wa Bunduki, mathalani Iddi Amini Dada wa Uganda; Mobutu wa Zaire, na majuzi tumeona Assad wa Syria akiikimbia Nchi yake.
Namna ya pili, na ya mwisho, ni Nguvu ya Umma; mathalani Ayatollah Khomeini wa Iran, Hichilema wa Malawi, na kadhalika.
ama Nguvu ya Umma.
Hilo Darasa la Siasa makini, za dialogue na ballot box wakati "Playing Field is not Level" ni ndoto za alinacha.
Hufai wala huwezi kuwa Mshauri wa Siasa, hata kwa Chama Dola.