Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Lissu: Kauli ikiwa haina maana hata kama aliyesema ni Rais haitabadilika kuwa na mantiki

Mkuu na wewe unaona hili tatizo la kujifaragua na fake modesty na staha staha za kijinga pia?

Rais akiharibu unampa za uso tu, staha anapewa mtu anayejistahi.

Mtu rais mzima anasaini mikataba kama hajui kusoma, unamstahi ili iweje?

Unamchana kisawasawa tu.
Hili la bandari limewakalia kooni CCM
 
Sijakataa kumkosoa bali naongelea kauli zisizo na staha tu. Rudi usome post yangu, mbona na mimi mwenyewe nimemkosoa Samia!!
Hahaha watanzania bhana ko jambo serious uanze kusema "huo mkaataaba hauna vingepengele vizuuuri tuubadiiiilishe" ndo inatakiwa iwe hivo?
 
Mkuu mbona wewe unaandika vizuri na tunaelewa!! Lakini huyu jamaa anamwita Rais ni akili au matope?? Sidhani hata kama familia yake inakubaliana kwenye hili
Inaonekana kwako rais ni kama Mungu. Hawa viongozi wanaongia madarakani kwa kupora chaguzi za nchi sijui hiyo heshima wanaitoa wapi.
 
Sijakataa kumkosoa bali naongelea kauli zisizo na staha tu. Rudi usome post yangu, mbona na mimi mwenyewe nimemkosoa Samia!!

Kukosoa kwa kuremba ni kama kuna kiunafiki ndani yake.
Yaani kama vile hutaki kufikisha ujumbe ipaswavyo usijeinokena umemkwaza mlengwa

Huewezi tofautisha nyeupe na nyeusi, nyeupe ni nyeupe na nyeusi ni nyeusi
 
Mtu auze nchi halafu unataka achekewe chekewe?
Wewe mleta mada unaongea kitu gani?
Rais alitumia neno stupid!
Mbona hujaja hapa kumuanzishia mada?
Waswahili walisema kuwa mdomo uliponza kichwa.

Alipokaa kimya waliendelea kumshambulia wakijua hana mamlaka wala uthubutu wa kuwafanya kitu.
 
Nina declare interests. Hata mimi nina thread 2 zinazokosoa makubaliano ya DP WORLD na Tanzania kama:-

(1) Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD na thread nyingine ni kama ifuatavyo:

(2) Jebra, Mtobesya na Wanasheria wengine, fungueni kesi dhidi ya Mkataba wa DP World

Sikiliza hii clip ya dakika 5 halafu tathmini kama afya ya akili ya Tundu Lissu iko sawa. Kumbuka Rais Samia akiwa Makamu ndiyo kiongozi pekee wa nafasi ya juu aliyemtembelea kumuona Tundu Lissu akiwa Nairobi hospital.

Kisha akamtembelea Brussels baada ya kuwa Rais. Na akamlipa stahiki ambazo chini ya Magufuli asingeweza kupata. Akamfutia na kesi zake 2 mahakama ya Kisutu

View attachment 2692011
So?
 
Kama Rais kaziba masikio, unadhani kina Lissu na sisi wengine ambao hatukubaliani na nchi yetu kuuzwa kwa bei chee tutafanyaje ili atusikie hata kama kaziba masikio yake?! Lazima tutukane na tuongee kwa sauti kubwa.
Na asipotusikiliza, tunamhakikishia kuchukua hatua kali zaidi.
Ngoja aendelee kuziba masikio.
Sawa mwambukusi, ukitoka usisahau kuyakunja tena marinda yako, ili isije kujulikana kuwa kuna mtu aliyapiga pasi jela.
 
Lissu tusimtukane sasa hivi atatusaidia kurudisha bandari yetu huyu
 
Hili ni jukwaa huru, kila mtu yupo huru kuandika kile anachokitaka.

Natumia vocha zangu na wewe unatumia za kwako.

So kama umeona mimi ninafurahi, basi na wewe lia. Haina haja ya kuulizana au kupangiana cha kuandika.
 
Hili ni jukwaa huru, kila mtu yupo huru kuandika kile anachokitaka.

Natumia vocha zangu na wewe unatumia za kwako.

So kama umeona mimi ninafurahi, basi na wewe lia. Haina haja ya kuulizana au kupangiana cha kuandika.
Mbona kama umekarika, nimuliza sio kwa ubaya....uwe na siku njema.
 
Nina declare interests. Hata mimi nina thread 2 zinazokosoa makubaliano ya DP WORLD na Tanzania kama:-

(1) Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD na thread nyingine ni kama ifuatavyo:

(2) Jebra, Mtobesya na Wanasheria wengine, fungueni kesi dhidi ya Mkataba wa DP World

Sikiliza hii clip ya dakika 5 halafu tathmini kama afya ya akili ya Tundu Lissu iko sawa. Kumbuka Rais Samia akiwa Makamu ndiyo kiongozi pekee wa nafasi ya juu aliyemtembelea kumuona Tundu Lissu akiwa Nairobi hospital.

Kisha akamtembelea Brussels baada ya kuwa Rais. Na akamlipa stahiki ambazo chini ya Magufuli asingeweza kupata. Akamfutia na kesi zake 2 mahakama ya Kisutu

View attachment 2692011
LISSU NI KICHAA
 
Hivi Lisu kulipwa stahiki zake, na kufutiwa kesi yake, vilikuwa ni rushwa ya kumfanya Lisu asiseme hata akiona mambo ya hovyo yanatendeka?
Binadamu mwenye viungo vilivyo sahihi na akili nzuri lazima atatafuta njia ya kukosoa lakini siyo kama alivyofanya Tundu
 
Back
Top Bottom