mkuuwakaya
JF-Expert Member
- Mar 18, 2013
- 1,063
- 1,456
Mshukuru Mungu kuvuka mwaka na kupata hii habari ikiwa bado ya moto.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.
Nimepenyezewa hapa na mtu wa jikoni ndani kabisaa, kwamba mheshimiwa sana Lissu ataenda kuimarisha NCCR Mageuzi.
Hii inatokana na kuona kabisa Maji yamezidi unga.
Safari hii Lissu kajaa kwenye mfumo bila kujijua. Kashatiwa nyavuni. Hii ataijua baada ya uchaguzi tar 21 Januari na kuendelea.
Mod msiufute huu uzi.