Zile chaguzi ndogo mfululizo zilizojitokeza baada ya watu kuunga mkono juhudi zimechangia sana watu kukosa mwamko wa kushiriki siasa za uchaguzi.Daaaah yani mwaka huu mwamko sifuri kabisa.. Kama vile hakuna uchaguzi yani..
CDM mkutano sijui umewadodea sioni nyomi kabisa
Zile chaguzi ndogo mfululizo zilizojitokeza baada ya watu kuunga mkono juhudi zimechangia sana watu kukosa mwamko wa kushiriki siasa za uchaguzi.Daaaah yani mwaka huu mwamko sifuri kabisa.. Kama vile hakuna uchaguzi yani..
CDM mkutano sijui umewadodea sioni nyomi kabisa
Pole sana naona unaandika kisukhuumaMnahuzunisha, tuliwaonya APA uko mtaani hamkubaliki mkaanza kelele sjui tumeshawaishi wana vyuo na wafanya kazi wa umma Mara sjui blabla gan ona aibu mliotia mbagala
Amu, Babu Duni alikua Chadema kwa mkopo na alirudi CUF kabda kumsusia chama Lipumba na kuhamia ACT Wazalendo akiwa na swahiba wake wa siku nyingi Maalim Seif Sharif Hamad na wengineoMtu anaweza niambia babu Dunu yuko wapi?
Hata kula kashata ni kula tu maana ndiyo size yakoAisee mm nakula 4 times a day unaongelea mlo mmoja
Hadi utalizidishia boxer lako mzigo safari hiiMnahuzunisha, tuliwaonya APA uko mtaani hamkubaliki mkaanza kelele sjui tumeshawaishi wana vyuo na wafanya kazi wa umma Mara sjui blabla gan ona aibu mliotia mbagala
Hadi utalizidishia boxer lako mzigo safari hiiView attachment 1550958
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo hamjatumia drone bajameniNaam
Tbc walifanya hujuma makusudi tu kuminya kipenyo cha camera. Picha halisi ni hizi hapaLeo hamjatumia drone bajameni
Kwani Misungwi kuna bandari? Au unamaanisha pale kigongo feri?Nipo hapa bandarini kuligomboa lile bus letu tulilopewa kule ubelgiji kamanda.
Hili lina mantiki sana, kwakuwa wanaita eti ni rangi ya ushindi, hapo wanayanga wengi sana hawataifurahia na kuunga mkono rangi hii.Badilisheni hiyo rangi ya tangazo. Waachieni Simba hiyo rangi. Kwanini background isiwe bendera ya Chadema? Mnapoteza wafuasi kwa mambo ya kitoto.
Hadi utalizidishia boxer lako mzigo safari hiiView attachment 1550958
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo picha imepigwa na tbc asubuhi hata kabla ya mh rais hajafikadaaah mnatumia nguvu kubwa kuonyesha watu mnakubalika, oneni aibu hii
View attachment 1551093
Hiyo picha imepigwa na tbc asubuhi hata kabla ya mh rais hajafika
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndiyo maana tukawatimua ma tbc wenukwahio apo mbele walikua wanashangaa jukwaa ama? mwisho wenu umefika
Hizo ngonjera alizianza enzi zile Wasira mwaka 2011 kuwa mwisho wa cdm umefika.kwahio apo mbele walikua wanashangaa jukwaa ama? mwisho wenu umefika
Vipi nyomii... Dar imesimama eeeh!!