Uchaguzi 2020 Lissu kuisimamisha Dar (Agosti 28, 2020). Kampeni rasmi Mbagala Zakhiem

Sasa watu wengine bhana wakishindwa hoja wanakimbilia udini na ukabila....kwan lisu na mwalimu ni kabila gani.?acheni uchoko wa kijingaa sikilizeni hojaa za watu...mamaye
Umenisoma vema au umekurupuka Mkuu? Soma kwanza alichoandika niliyemquote
 
Kimenuka !
 
Kwahiyo cdm awamu hii Pete ya wajenzi huru mmeamua mmuvike mgombea mweza tofaut na 2015 ilivaliwa na mgombea urais
 
Ebu tazama vizuri hilo 'tabasamu' la Mgombea Mwenza. Hivi linaonesha kweli ni la mtu anayetarajia kuwa "Makamu wa Rais"?
 
Ebu tazama vizuri hilo 'tabasamu' la Mgombea Mwenza. Hivi linaonesha kweli ni la mtu anayetarajia kuwa "Makamu wa Rais"?
Hayo maswali kawaulize wacheza ndombolo wenzako wa lumumba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…