Panya wabkijani kibichi wataenda kuwapigia magoti mabeberu wasaidiwe kujaziwa bakuliHalafu baada ya kura panya wekundu watakimbilia kulia kwa mabeberu
Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi za watanzania bila kujali itikadi za siasa.Nipo apa kwenye tv toka saa 3;45 ili kufuatilia kampen za cdm live..lakn hadi wasaa huu sion dalili yyte ya kampeni chanell zote zidi ya matangazo ya kampeni ya CCM kesho.
Wenye uelewana hili anambye tafadhali
#magema jr
Kama haya leo hii yanafanya kazi sana pale Dodoma, wamiliki wa mafuso leo ndiyo siku yao ya kuchumaMalori wamekuwa CCM
TBC na unafki wao uliopitiliza eti leo wataonyesha, ila watakuwa wanaonyehsa sehemu zenye magepu ya watu.Kimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.
Wanafiki sana, na wamelazimishwa kufanya hiyo coverage na jiwe ili kuwaonyesha mabeberu kuwa kuna fair ground kwenye uchaguziTBC na unafki wao uliopitiliza eti leo wataonyesha, ila watakuwa wanaonyehsa sehemu zenye magepu ya watu.
Samahani, yani ningekuwa na cheo CHADEMA ningekataa, wao waendelee kuonyesha madaraja na ndege , na safari ya Dodoma na kina Saniniu laizer, Mungu akipanga jambo lake lazma litimie, hakuna damu inayikaa mikononi mwa mtu ikamuacha salama.Wanafiki sana, na wamelazimishwa kufanya hiyo coverage na jiwe ili kuwaonyesha mabeberu kuwa kuna fair ground kwenye uchaguzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kimya kimezidi??? [emoji3][emoji3]Updates makamanda, nataka nifunge safari nije huko.
Utadhani ni Ma ng'ombeKama haya leo hii yanafanya kazi sana pale Dodoma, wamiliki wa mafuso leo ndiyo siku yao ya kuchuma View attachment 1550621View attachment 1550625
Sent using Jamii Forums mobile app
Chungulia utaona!Vipi jamani kampeni zinaoneshwa TV gani
Si ndiyo umwagaji wa damu unaofanywa na jiwe tangu aingie madarakaniRangi yenu nyekundu huwa ina beba ujumbe upi ?
Rangi nyekundu kwenye bendera mara nyingi inahusishwa na umwagaji damu
Hii ndio portrait (picha) ya anayejinadi kama the next president! Angalieni collar za shati yake!! Umakini katika nukuu za sheria tuuu?Kimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani
Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim
Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi
BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim
Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu
Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,
Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.
Ndiyo umetumia lugha ya wapi mkuu maana hapa anahitajika translaterHii ndio portrait (picha) ya anayejinadi kama the next president! Angalieni collar za shati yake!! Umakini katika nukuu za sheria tuuu?
Bakuli likijaa wanakuja kuwala panya wekundu na chachanduPanya wabkijani kibichi wataenda kuwapigia magoti mabeberu wasaidiwe kujaziwa bakuli
Sent using Jamii Forums mobile app
Anti Chagga Buashee. Kiazi wahed wewe malaria sugu. Akili yako haina akili wewe! Sijui uneshawahi kulawitiwa na mchagga?DSM siyo Kilimanjaro!
kina mshindo mkubwa kama goli la kwanzaMbona kimya kimezidi??? [emoji3][emoji3]
Sema kuwakomboa nyumbu kwani umesikia kila mTanzania anashida na huo ukombozi wa dalali wa beberu............Magufuli mwanzo mwishoLissu ni mtume wa Mungu kuja kutukomboa sisi watanzania na safari hii ndiye rais wako wa awamu ya 6
Sent using Jamii Forums mobile app