Uchaguzi 2020 Lissu kuisimamisha Dar (Agosti 28, 2020). Kampeni rasmi Mbagala Zakhiem

Uchaguzi 2020 Lissu kuisimamisha Dar (Agosti 28, 2020). Kampeni rasmi Mbagala Zakhiem

Nipo apa kwenye tv toka saa 3;45 ili kufuatilia kampen za cdm live..lakn hadi wasaa huu sion dalili yyte ya kampeni chanell zote zidi ya matangazo ya kampeni ya CCM kesho.

Wenye uelewana hili anambye tafadhali

#magema jr
Hayo ndiyo matumizi sahihi ya kodi za watanzania bila kujali itikadi za siasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Updates makamanda, nataka nifunge safari nije huko.
 
Malori wamekuwa CCM
Kama haya leo hii yanafanya kazi sana pale Dodoma, wamiliki wa mafuso leo ndiyo siku yao ya kuchuma
Screenshot_20191126-001906.jpg
FB_IMG_1501705533332.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani

Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim

Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi

BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim

Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu

Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,

Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.

TBC na unafki wao uliopitiliza eti leo wataonyesha, ila watakuwa wanaonyehsa sehemu zenye magepu ya watu.
 
Wanafiki sana, na wamelazimishwa kufanya hiyo coverage na jiwe ili kuwaonyesha mabeberu kuwa kuna fair ground kwenye uchaguzi

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani, yani ningekuwa na cheo CHADEMA ningekataa, wao waendelee kuonyesha madaraja na ndege , na safari ya Dodoma na kina Saniniu laizer, Mungu akipanga jambo lake lazma litimie, hakuna damu inayikaa mikononi mwa mtu ikamuacha salama.
 
Kimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani

Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim

Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi

BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim

Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu

Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,

Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.

Hii ndio portrait (picha) ya anayejinadi kama the next president! Angalieni collar za shati yake!! Umakini katika nukuu za sheria tuuu?
 
Back
Top Bottom