Uchaguzi 2020 Lissu kuisimamisha Dar (Agosti 28, 2020). Kampeni rasmi Mbagala Zakhiem

Uchaguzi 2020 Lissu kuisimamisha Dar (Agosti 28, 2020). Kampeni rasmi Mbagala Zakhiem

Itasaidia nini ikiwa dhuluma haikomi?!

Kujaza uwanja huku unadhulumiwa, faida yake nini?!

Yani tunagombea ku show off wakati hatupiganii haki ya ushindi wetu?!
 
kushangiliwa utashangiliwa tatizo kura hazitakutosha kwenda ikulu
Hata wakoloni walikuwa na mawazo kama yako. Hili ni daladala la kwenda Mbagala gongo la mboto siyo langu wala siyo la cdm.
FB_IMG_1598593912388.jpg
 
Itasaidia nini ikiwa dhuluma haikomi?!

Kujaza uwanja huku unadhulumiwa, faida yake nini?!

Yani tunagombea ku show off wakati hatupiganii haki ya ushindi wetu?!
Wanao takiwa kupigania haki hiyo ni pamoja na wewe ambaye unaishia kulalamika tu kupitia jf, njoo field utoe mchango wako.

Cdm wanapigania haki kwa watanzania woote wala siyo kwa wana cdm pekee yao.
 
Wanao takiwa kupigania haki hiyo ni pamoja na wewe ambaye unaishia kulalamika tu kupitia jf, njoo field utoe mchango wako.

Cdm wanapigania haki kwa watanzania woote wala siyo kwa wana cdm pekee yao.
Unadhani naishi wapi?!
Au unadhani niko wapi?!
 
Tundu Lissu ajaribu kuongelea issues(maswala) pasipo kutaja jina la mtu, watu wataelewa tu kuwa ni nani alifanya hata kama hatamtaja mtu na baadaye aeleze wao watafanya nini kama watashinda uchaguzi. Kuna watu wana mahaba na mtu na wengine pengine wanafaidika naye hivyo wakisikia anakosolewa na kutajwa jina lake wanaweza kumchukia Lissu lakini akiongelea maswala(issues) hata hao wanaweza kuamua kusikiliza na pengine wanaweza baadaye kubadilika.
 
Kimbungaa kilianzia Kanda ya Pwani

Kesho ndio kesho kimbunga kitatibuka Jimbo la Mbagala Zakheim

Ni Uzinduzi wa kampeni ya Rais Mhe Tundu Lissu na makamu wa Rais Mhe Salum Mwalimu, kuanzia saa tano asubuhi

BAWACHA, BAVICHA, BAZECHA Mwanachama na Mwananchi tukutane Mbagala Zakheim

Rangi ya kampeni zetu ni Nyekundu

Karibuni sana wana mageuzi wote kwa ujumla wetu tuianze safari ya mafanikio,

Umoja wetu ndiyo ushindi wetu wa kuiondosha CCM madarakani.

A move towards peaceful transfer of power from dictator Magu to Hon Tundu A Lissu
 
Tuache na Tundu wetu wewe endelea kuandika hayo mapage hako mengii hakuna anaekuelewa


Unampa kazi ngumu sana Tundu Lisu kuchagua kati ya wewe na Mke/watoto wake, lkn mwisho siku atachagua Mke wake hilo nina uhakika, ...
 
Nina wasiwasi na wewe hakuna uzi utakaopita bila kuongele UBWABWA sema dogo kama mdudu washawasha anakusumbua nimwambie Kawe Alumni amtulize kwa niaba Polepole
Mzee 6 ndie alikuwa akimtibu uwo muwasho!
 
Mbagala vyama pekee vinavoweza jaza wakazi wa eneo husika la mbagala Ni CCM,CUF na ACT wazalendo tu

Chadema itabidi wakodi malori kupeleka Watu kile hawana Watu kule
Malori wamekuwa CCM
 
Nipo apa kwenye tv toka saa 3;45 ili kufuatilia kampen za cdm live..lakn hadi wasaa huu sion dalili yyte ya kampeni chanell zote zidi ya matangazo ya kampeni ya CCM kesho.

Wenye uelewana hili anambye tafadhali

#magema jr
 
Baba hata ungeandika page 100 kwa unyama anaoufanya Magufuli hatuwezi kumoenda bora huyo TL,Magu muuaji ,mnyanganyi,mfitini ,mnafiki,mbaguzi wa kabila na dini.Anajifany ni muumuni mzuri kumbe mnafiki kupitiliza..Tuache na Tundu wetu wewe endelea kuandika hayo mapage hako mengii hakuna anaekuelewa kwa huyu shetani
Lissu mtasubiri sana, hakuna namna 2020-2025 Magu ana jambo lake la manufaa kwa watanzania
 
Back
Top Bottom