HACKERS HIYO KWAO NI RAHISIend to end encryption
your assumption......Hapo kawapoteza ile mbaya
Urahisi wake uko vipi? Hizi normal calls si rahisi sana maana ziko recorded.HACKERS HIYO KWAO NI RAHISI
kweli kabisa, hapa kamuuza mwenzie aisee!!Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
Kweli Teknolojia haina mmiliki.hakuna kisichoweza kudukuliwa, Kudukua ni uhalifu ambao huwezi kujua mhalifu anatumia technology/program gani aliyoigundua yeye!
Mtei 🐼Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
Ulitaka anyamaze ili iweje? Pengine anawapima tu asikie milio itatokea wapi?Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
yale yale ya kesi ya Tigo ....was there a need to call a press conference for that? Those were his confidential internal strategies. Was there a need to call for a press conference?Ulitaka anyamaze ili iweje? Pengine anawapima tu asikie milio itatokea wapi?
Haya mmeanza
Lissu sema usiogope
Tutaelewana tu
Kwahiyo tiss wanadukua wapinzani kwani ni wahalifu au tiss ipo kulinda CCM?MBAYA WAKO MWENYE NYENZO ATAKUFUATILIA TU> TISS wana wataalamu wao.....anasema ana simu tatu...watakuletea valangati nyumbani wazichukue waZidukUe halafu wanakurudishia kiroho safi... au unasemaje
ALL IN ALL KWANINI USEME HAYO YOTE? WHY NOT KEEP QUIET??
Mtu aliyepigwa risasi miaka 7 tu iliyopita, akaponea chupuchupu unawezaje kumzuia kusema eti awe na kaba ya ulimi, yaani asiseme. Amewawahi kabla hamjatekeleza uovu wenu. Mmezoea damu za watu kama maji ya kunywa. Hatutegemei siasa kuwa kaburi la Watanzania, badala ya kuwa mahala salama.Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
Yaani awindwe kuuawa na bado mnataka asiseme....Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
🤣 🤣 🤣Ukijifanya msiri sana unatolewa upepo maisha yanaenda. Mimi naona yuko sawa tu,
Hata mtaani mtu akihisi anaviziwa arogwe, utasikia nimetoka mbali, jaribu uone, amazangu ama zake. Hizo mikwara za kumrudisha nyuma adui. Hahaha.
Mkuu si useme tu kuwa unamuogopa Lissu kuliko kuleta hizi ngonjera za kipuzi kuwa nafasi ya uwenyekiti/urais kwenye chama cha siasa ina watu maalum wa kuishika.Lissu hana aura ya Urais - hata uenyekiti - He is good at staying at the corner na kufanya mashambulizi - ndicho kipaji chake, au alivyokuwa bungeni pale
Huku kwingine kwenye kuhitaji hekima zaidi na utulivu huku ukijipiga speed governor mwenyewe hawezi - ataharibu.
Huyu ni kiungo mshambuliaji lkn sio captain. Na nyinyi watu weusi - mjifunze kila mtu ana kipawa chake - Lisu ni mwanaharakati - asaidie taifa kwenye harakati zake.
Whatsapp call zaweza kufuatiliwa kweli?Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
Mkuu soma vizuri andiko lako, wewe mwenyewe unakiri kuwa ndugu Lissu, nakunukuu;~Hakuna cha kuumbwa, ni kukosa busara. Lisu is good, extraordinary good in almost all walks of life, lakini hana busara na hekima!
Mfano mwingine unasema kwenye uchaguzi ujao ametangaza "confrontation" na Samia/serikali with regard to electoral misdeeds wanazofanya CCM. Ukitaja hivyo unamandaa Samia na nyenzo zake zote kukukabiri. Nyamaza fanya confrontation bila kum alert Samia!