Nimeshangaa Lisu kusema kuwa kuna mtu mkubwa sana hayupo serikalini amemfahamisha kuwa anawindwa kudhuliwa ili asingiziwe Mbowe.
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!
Fine, unaropoka kitu nyeti kama hicho, technolojia ya sasa watafuatilia nani alikupigia simu/whatsapp kutoka kwenye makampuni ya simu na kumjua huyo unayemficha!
Kwanini hana kaba ya ulimi?
PIA SOMA
- Tundu Lissu: Watekaji wanataka wanimalize wamsingizie Mbowe
- Tundu Lissu afunguka A-Z wasiojulikana kutaka kumuumiza!