Lissu, na Wanaharakati kuweni makini mtapeleka Mbowe jela hamna mnachomsaidia kwenye kesi yake

Lissu, na Wanaharakati kuweni makini mtapeleka Mbowe jela hamna mnachomsaidia kwenye kesi yake

Wanaukumbi.

Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.

Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.

Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka, ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.

Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.
Upo sahihi,hata mimi sikuona haraka ya Lissu kwenda kuongea kwenye media kiasi kile.
 
  • Thanks
Reactions: Tui
Niliumia niliposikia kuwa Mbowe ana kesi ya kujibu. Huu siyo mwelekeo mzuri.

Huyo Lissu asitegemee Kuna mwaka atakuwa rais wa Tanzania
Umepatwa na nini?Hairuhusiwi kumkosoa Makamu Mwenyekiti. Mamndenyi utatengwa shemeji yangu.
 
vipi mkuu, usinijumuishe huko. Mie hayo mawazo yangu tu. Mie ni mtu huru.. nilichowaza kushindana na serikali.. kuna mawili uishinde ili uichafue au uivue nguo ( ambalo sio sahihi kwa maslahi mapana ya taifa), Mbowe ni muhimu tuhuma zidi yake ni kubwa na ni doa kwake.. je tuendelee kutunishiana misuli? jipu hapana, hekima itumike mbowe awe safi serikali ibaki na heshima yake hata kama imekosea au imejikosea heshima yenyewe kwa kuunda mashataka yenye kutia mashaka

Yale mashtaka yanaweza kuwa ya kweli but serikali ikaamua Tu kumwacha

Ila sasa Kwa chadema hii ambayo wao wanachojua ni kujifanya wanajua Sana ni tatizo
 
Wanaukumbi.

Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.

Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.

Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka, ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.

Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.

Inafahamika uvccm mnaumia mno kuwa Lissu kaweka wazi alichoongea na Samia. Kwani hata hivyo kuna mapya?

Rais Samia, hayupo mchawi, pafahamu ulipotuchanganya

Zoeeni tu njama zenu uchwara za kujaribu kumfananisha Lissu na sambarau zimekufa kifo cha mende.
 
Magufuli ndiye alikuwa na tabia hii. Pengine hata Zitto naweza kukubali ana tabia hii. Lissu ni mkweli na muwazi. Siyo kibaraka na mnafiki kama Zitto.
muulize alitaka Lisuu afanye nini kwenye hili. Ambembeleze Samia amwachie gaidi? Gaidi anaachiwa kwa kubembeleza?
 
Wanaukumbi.

Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.

Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.

Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka, ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.

Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.
Kwani unadhani tundu hautaki uenyekiti Taifa?
 
Yale mashtaka yanaweza kuwa ya kweli but serikali ikaamua Tu kumwacha

Ila sasa Kwa chadema hii ambayo wao wanachojua ni kujifanya wanajua Sana ni tatizo
Yanaweza yakawa ya kweli ama si kweli. hakuna ugaidi kwa Tshiling 600,000 akilini haliingii.. labda kama kuna tafsiri ingine
 
Sasa hata mkimpeleka huyo Mbowe jela kwa kesi ya kupika, mtapata faida gani! Zaidi tu mnaendelea kudarauliwa na Watanzania wenye akili timamu
Yaani hapa Ritz anaonyesha kuwa a naamini hii kesi ni ya kubumba na Mbowe kwenda au kutokwenda jela kunamtegemea Maza. Kwa kifupi ni kesi ya Maza.
 
Ipo haja ya wote waliobumba kesi hii ya uongo wachukuliwe hatua. Wakiwemo siro, kingai, mahita jumanne gudlack majaji na mahakimu wote waliojiingizia pesa haramu kama posho mbalimbali za kushiriki kesi ya uongo na kuitia hasara kodi yetu.
Hio gharama ya kuendesha kesi si ingenunua hata madawati.
 
Wanaukumbi.

Makamu mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu ameshaanza kuposti kejeli kwa Rais Samia na Judiciarytz kipindi ambacho Mahakama imesema mtuhumiwa ana kesi ya kujibu.

Hakuna Shujaa wa kukaa jela, hata Mandela mwisho wa siku alifanya mazungumzo na Makaburu. Watu wanaposema Busara itumike huwa kuna maana kubwa.

Lissu anatoka kuongea na kiongozi wa nchi na hapo hapo anakwenda space kuropoka, ajifunze diplomasia, Chadema wasipokuwa makini Lissu na waharakati njaa watampeleka jela Mbowe.

Tundu Lissu. busara lazima itumike; kejeli na ushabiki wa kwenye mitandao haumsaidii Mbowe kumkejeli Rais Samia, uliyemuomba kukutana nae kufanya mazungumzo ni kurudisha nyuma jitihada za kutafuta suluhu za kesi wanaharakati njaa wanamjaza upepo Lissu, na yeye unajaa povu anaropoka.
Pimbi katika ubora wake. Mbona imekuwa opposite? Ulivyoandika huu uzi ulikuwa unajiamini kwamba kifungo hakiepukiki isipokuwa inakuwa catalysed na akina Lissu. Yapo wapi Sasa?
 
Lissu ana akili sana, hasa kwenye sheria na historia. Sijawahi kuona Mtanzania aneyeijua Sheria na Historia vizuri kama Lissu.
Lissu ni ile jamii ya watu inayojiona ina akili sana na kujua kila kitu...Lissu anaamini yeye ana akili na kila mtu anapaswa kumsikiliza na kumtii maana anachokiongea yeye ndio sahihi..
 
Pimbi katika ubora wake. Mbona imekuwa opposite? Ulivyoandika huu uzi ulikuwa unajiamini kwamba kifungo hakiepukiki isipokuwa inakuwa catalysed na akina Lissu. Yapo wapi Sasa?
Punguani wahed
 
Back
Top Bottom