Lissu na wanaharakati wa CHADEMA, nchi yetu haitakombolewa kwa 'Space'

Enzi za wapigania uhuru africa kusini makundi yenye kuzungumza lugha moja ya uhuru ilibidi yajitenge na mapanya (ndumila kuwili) ili wapate trainning na kijifunza mbinu anuai za kuondosha ukoloni na wengine waliweka makambi hata hapo morogoro.
Sasa mtoa mada wewe ni wa Mars?
 
Blocks ni kwa waliotumwa kuvuruga mijadala tu
Siyo kweli unatetea ujinga fikra zenu zinafanana mtu kupinga mtazamo na nyie ndiyo anavuruga mjadala?
 
Mnachoshindwa kuelewa
Watanzania walio wengi awafungamani na harakati zenu.
 
Mnachoshindwa kuelewa
Watanzania walio wengi awafungamani na harakati zenu.
No research no right to comment.

Ulifanya lini utafiti?

Ingekuwa watz hawaungi mkono mngetumia polisi kwa nguvu kubwa kuzuia mikutano?
 
Utakuwa Chadema-Kata wewe umejiunga juzi.
Yaan ulitaka tutumie tech. ile ile ya akina Malcom X?

Unafiki sana,tech imebadilika ivyo njia za mapambano zimekuwa rahisi zaidi.
 
No research no right to comment.

Ulifanya lini utafiti?

Ingekuwa watz hawaungi mkono mngetumia polisi kwa nguvu kubwa kuzuia mikutano?
Mfano mdogo kila siku mnaitisha maandamano kina Lissu, Lema, Mbowe, wanatoa matamko watu waingie barabarani nani kaongia hata wewe unafanya harakati zako umejificha JF.
 
Hauna elimu ya uraia!

Chanzo cha tozo,maisha magumu ni siasa na wanasiasa,siasa ndio mwamuzi wa namna maisha yanatakiwa kwenda. Ivyo sisi tunapiga hapo hapo kwenye siasa kupambana na hasa KATIBA MPYA.
 
Yaan ulitaka tutumie tech. ile ile ya akina Malcom X?

Unafiki sana,tech imebadilika ivyo njia za mapambano zimekuwa rahisi zaidi.
Mwambie Lema, hayo maneno.
 
Hivi kuna shangazi yeyote hapa Tanzania amewahi kuandamana zaidi ya kudanganya wenzao waingie mitaani kuandamana na kukamatwa? Wanaharakati wetu wakamatwe tu kwani ni wapotoshaji na hawana maana.
 
Mfano mdogo kila siku mnaitisha maandamano kina Lissu, Lema, Mbowe, wanatoa matamko watu waingie barabarani nani kaongia hata wewe unafanya harakati zako umejificha JF.
Uwanja hauko sawa,acheni kutumia polisi kukamata,kuua na kutesa raia uone kama nchi nzima haitakuwa barabarani?

Kuwa jf na Twitter ni mbadala wa maandamano,Meko alijaribu kuharibu na uku akashindwa.

Kwa sasa kipimo cha uungwaji mkono ni Twitter na mitandao mingine ya kijamii.

Muambie Samia atwti halafu check maoni ya wadau uone mlivyo ovyo!
 
Kama nyie mnavyoamini kuwa kila aliye kinyume na nyie ni adui yenu.
 
Hauna elimu ya uraia!

Chanzo cha tozo,maisha magumu ni siasa na wanasiasa,siasa ndio mwamuzi wa namna maisha yanatakiwa kwenda. Ivyo sisi tunapiga hapo hapo kwenye siasa kupambana na hasa KATIBA MPYA.
Siasa zipi hizi za kwenu za kina Kigogo na Mdude?
 
Kama nyie mnavyoamini kuwa kila aliye kinyume na nyie ni adui yenu.
Ikiwa hauna madaraka wala ‘NGUVU YA DOLA’ unatumia ‘BLOCK’ kuzima mitazamo na mawazo ya wengine siku ukipata nafasi ya uongozi na nguvu ya Dola utatumia bunduki na njia nyingine za kikatili kunyamazisha watu.
Ni tabia za kidikteta ambazo tunazipinga na kuzikemea kwa NGUVU zote!
 
Blocks kumbe zinawauma sana eh?

KATIBA MPYA ndio itaondoa ubabe wote huo
 
Nadhani wewe mleta mada hujui faida za kubadilishana mawazo.

Clubhouse ni open space kila mtu anaweza kuingia kusilikiliza
Mandela hakuukimbia nchi nyie mnaleta balaa mnakimbilia ubeberuni halafu mnatuchochea tufanye maandamano hatudanganyiki ng'oo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…