Lissu ni kibaraka, anatumiwa na mabeberu wanaotaka kuiba rasilimali za Tanzania

Lissu ni kibaraka, anatumiwa na mabeberu wanaotaka kuiba rasilimali za Tanzania

Hiv, ww sio kibaraka wa ccm?.
Haw watu bhn
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lisu hana serikali,hana polisi, hana jeshi hana yeye hana maamuzi yoyote kwenye wizara yoyote hapa tanzania....sasa wazungu wataibaje rasrimali zetu kuptia lisu??? Hyo miaka yote tuliyoibiwa kwenye madini na mariasili lisu alihusika???

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtoa mada haelewi hata anachokimaanisha
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
Naomba msaada wa maswali haya ili niamini unachokisema. Waliokuja ikulu waliletwa na Lissu? Wanaochimba madini waliletwa na Lissu? Wanaomiliki mbuga za wanyama kama Loliondo na vitalu vya uwindaji waliletwa na Lissu? Wanaomiliki gas yetu tuliyopigana, kuumizana, kuuana hadi kuchomeana nyumba waliletwa na Lissu? Mikataba mibovu inayosainiwa na serikali Lissu anashirikishwa kama mwanasheria?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Augustino Chiwinga
0756810804.

Kibaraka ni mtu anayetumiwa kuhujumu mtu,jamii, au Taifa kwa manufaa au maslahi ya mtu au kikundi kinachomtuma.

Vibaraka wapo kila nchi na hapa Tanzania tunao pia mmjowapo ni Mbunge wa Singida Mashariki Tundu Lissu.

Ukweli mchungu ni kwamba vita ya Uhuru wa kiuchumi anayopigana Rais Magufuli imeacha majeruhi wengi kwa wanufaika wa mtandao wa wizi uliokua umekithiri Tanzania.

Majeruhi wa vita hiyo ndani na nje ya nchi hawajaridhika za hatua za kizalendo anazochukua Mh.Rais Magufuli, wamejipanga kumyumbisha na kumrudisha nyuma katika vita yake hiyo.

Wanatumia mbinu na mikakati mbalimbali ikiwemo vyombo vya habari, na kuwapandikiza ama kuwanunua watu katika sehemu mbalimbali na ndio hao wanaoitwa vibaraka.

Tundu Lissu ni miongoni mwa watu hao wanaopokea malipo ya kutumika na Mabeberu yaliyokua yananyonya raslimali ze nchi.Ziara zote na maneno anayoongea ni malipo ya fedha alizolipwa na mabwana zake ili kuichafua taswira ya nchi yetu lakini haswa.

Majizi yaliyokua yanaiba kwenye madini, nishati, na raslimali nyingine yameungana kumpiga vita Rais Magufuli kupitia vinywa vya Watanzania wenzetu vilivyokubali kununulika na kuuza utu wao.

Kibaraka ni mtu mbaya na hatari anayeweza kutamka au kufanya jambo lolote ili kuwafurahisha mabwana zake.Kibaraka ni adui wa Taifa lolote.

Tundu Lissu anatumika na mabeberu majizi,wanataka Rais Magufuli apunguze makali ili yaendelee kunufaika na wizi waliokua wanaufanya.

Tumkate Kibaraka wa Mabeberu Tundu Lissu na matendo yake yote.
wakati mwingine tuache kuwa wapumbavu ...unasaka uteuzi kwa kuweka majina na namba ya simu......kwani lissu tuibiwe ambacho hakijaibiwa....au mnajifanya hamumsikii mh raisi anavyolalamika tumeibiwa sana....je lissu yupo kwenye kundi la hao wezi....wezi wakubwa mnawajua na hata rangi ya sare wanazovaa mnazijua...lkn mmeamua kujitoa ufahamu tu kisa uroho wa vyeo.....lets start here hiyo nafasi unayoitaka ndo beberu wa kwanza sababu imekufanya umekuwa mjinga......wakati mwingine usiandike vitu vitakavyosadifu wewe ni mtu wa aina gani...be a gentleman
 
Hapo vipi!

Huyu mtu anayeitwa Tundu Lissu ni mtu wa kumkwepa sana na kumpuuzia.

Mtu huyu ni wazi ametumwa na Mabepari wa Ulaya na America ili atakapofanikiwa kuwa rais wa nchi hii awape rasilimali za nchi kwa mikataba ya kilagai.

Ipo hivi Tundu Lissu alipokuwa akitibiwa pale Nairobi..watu wengi sana waliguswa na kitendo kile na hali aliyokuwa nayo kiuchumi,Hivyo watu wakachanga pesa kwa ajili ya matibabu ya Lissu lakini mwenyeki wao mbowe na wapigaji wenzake wakatumia hiyo kama fursa ya kujipatia pesa kwa maslahi yao binafsi, yaani ile michango ilipigwa na mbowe na wenzake.

Kitendo hichi ilisababisha mgogoro kati familia ya Lissu na Mbowe. Kilichotokea baada ya Lissu kukosa pesa kutoka na upigaji huu.

Aliweza kufadhiliwa na wamiliki ya yale makampuni ya kibeparia aliyokuwa akiyatetea kipindi cha makinikia na baadhi serikali za nchi za Ulaya hususani Ubelgiji katika swala zima la matibau hapo Ubelgiji.

Tundu Lissu akiwa Ulaya ameweza kutembelea nchi za ulaya na America kwa lengo la kuingia nao makubaliano ya siri.

Tundu Lissu aliomba hizi nchi ziingilie kati uchaguzi endapo ataanzisha varangati akiwa ameshindwa uchaguzi ili wamkingie kifua kuwa rais wa nchi.

Na akifanikiwa kwa hili amewaahidi kuwapa rasilimali ya nchi kwa mikataba haramu.

Tundu Lissu huyu, ni kibaraka mwenye lengo la kumwaga damu ya watanzania wenzaka kwa lengo la kutaka kulipiza kisasi dhidi ya kitendo cha kupigwa risasi.

Tundu Lissu hyu yupo mstari wa mbele kuigawa Tanzania vipande viwili, kwa Lengo la Zanzibar kuwa Taifa huru na Tanganyika kuwa Taifa uhuru. Mtu huyu ni wakumpinga kwa nguvu zote pasipo kumuogopa wala kuwaogopa hao mabepari uchwara walio nyuma yake.

Huyu Tundu Lissu,ana uraia pacha wa Tanzania na Ubelgiji, akishanukisha hapa anatumiwa ndege chap na hao mabepari anaendakujificha Ubelgiji. Hana hasara huyo. Lengo ni kwamba anataka kupata nafasi ya kulipiza kisasi.

KIBARAKA HUYU AMESHAFUNULIWA
 
Anguko lenu litakuwa kubwa Sana na Lissu ameshawaambia msiweweseke ataleta maridhiano ya kitaifa ndani ya miezi 3 ya Kwanza.
Hiyo ni danganya toto ili kuwaaminisha watanzania wenye hofu yakumnyima kura baada yakumstukia kuwa ni mtu anayetaka kulipiza kisasi hafai.
 
Back
Top Bottom