Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini maana ya kukimbia, mh. Lissu ni gold ya tz so chochote kile kionekacho si salama kwake tutamtunza sehemu KWA ajili ya mapambano yajayo,huyo ndo rais wako Kama haikua jana Basi ni kesho mkuuKama jeshi la mtu mmoja mbona alikimbia
Miaka hiyo hata kwa baadhi ya Wilaya unaweza usifahamu DC ni nani.Miaka ya nyuma kabla ya mitandao rais unaweza usimuone kwenye magazeti wala akihutubia kwa miezi kabisa
We jamaa tunamzungumzia Rais wa nchi hana siri na mambo yake huyu tunamlipia kodi ale avae aline atibiwe asafiri why tusijue aliko au hulipi kodi weweKwani ni lazima tujue kila mahali alipo?
Anaingia popote Rais, iwe Katoliki, kwa Mwamposa, kwa Gwaji na hata Msikitini.Huyu tayari kashasusa kwenda kanisani katoliki kisa wanatofautiana naye kwenye Corona, mzee wa visirani katika ubora wake, ataanza kusali kwa Gwajima.
Kwani Gwajima bado anaendelea na ibada zake?Huyu tayari kashasusa kwenda kanisani katoliki kisa wanatofautiana naye kwenye Corona, mzee wa visirani katika ubora wake, ataanza kusali kwa Gwajima.
Hizo sala za kuishinda corona unafanyia chumbani peke ako.Liso keshakuwa Ni mpumbavu na mpayukaji asiye Maana!!
Kwani ni Lazima kila wiki mtu uende kanisani??
Bila barakoa huingii kanisani. Na jamaa etu hataki kabisa hizi mambo.Maaskofu wanataka waumini wao wazingatie kuwa kuna corona wachukue tahadhari.
Basi rais akiwa muumini wa kanisa hili ameamua achukue tahadhari kwa kumuomba Mungu wake bila kwenda kanisani.
Akina mbunge msukuma yao wanafanya bure.Nyungu muhimbili ni 5000 unapigwa na nguo zako ukitoka unaendelea na maisha yako.
Atuambie yeye inaelekea anajua kitu fulani. Atakuwa mshitakiwa wa kwanza kama ikidhihirika kuna madhara yoyote! Anataka ajue alipo Rais wetu kwani anataka kumfanyia nini?? Hii kauli ya Lisu ichunguzwe wala isipuuzwe!Kosa langu nini? Kosa la Lissu nini?
Mtanzania ni vigumu kumwekea dhamana. Usilogwe ukamlia yamini. Imekula kwako. Uelewa unawapiga chenga. Tena mambo ya msingi sana. Leo ukimuuliza hizi picha za rais kanisani .za nini? Atakujibu kuwa ni kwa sababu ni rais. Kesho ukimuuliza mbona Jumapili hii hajaonyeshwa kasali kanisa gani? Jibu atalotoa ni kuwa masuala ya kwenda ibada ni mambo binafsi. Mambo ya mtu na Mungu wake( Rebecca akisikitika)?Asipo kuelewa piga kofi