Yaani amewapiga kwa bomu la nagasaki au hiroshima.....bado hawatamwelewa maana hawana ajenda dhidi yake zaidi ya tuhuma za uongo!Hapa sasa atakuwa amewavuruga kabisa Mataga na wafahidhina wasiompenda.
... majibu ya TL ni ya kifalsafa sana; mataga akili ndogo kumwelewa ni mtihani ndio maana wanababaika kweli kweli na majibu ya Lissu.Ni kweli amejibu kwa umakini mkubwa na nadhani alichosema hakina tofauti na alichowahi kusema huko nyuma.
Kama Mkatoliki na pia Mwanasheria mahiri najua alichokifanya hapa.
yaani wewe wa Lumumba hujui hata katiba inasema? sisi wa barabarani tutajuaje?Katiba inasemaje kuhusu ushoga?
Alipotoka wanakumbatia haya..Mbona kigeugeu, kiongozi gani hajui anasimama wapi!?
Kichwa chako unafugia nywele tu!Kwa hivyo Lissu anauga mkono Ushoga wa faragha. Jee sheria inasemaje kuhusu wale wanao tumia au kuuza Gongo, Mihadarati kwa faragha, wanaruhusiwa kuvamiwa na polisi na kupelekwa mbele ya sheria? Au katiba hai ruhusu kuwaingilia watu vyumbani?
Kwa hivyo Lissu anauga mkono Ushoga wa faragha. Jee sheria inasemaje kuhusu wale wanao tumia au kuuza Gongo, Mihadarati kwa faragha, wanaruhusiwa kuvamiwa na polisi na kupelekwa mbele ya sheria? Au katiba hai ruhusu kuwaingilia watu vyumbani?
Ukigeugeu uko wappi?Mbona kigeugeu, kiongozi gani hajui anasimama wapi!?
Alisemaje huko na huku amesemaj?Alipokua huko kwao alisema vile, na amerudi hapa kwetu amesema hivi.
Nikama anacheza na wakati na hii ndio maana halisi ya siasa...[emoji23]
Jamani eleweni alichoeleza yeye ni kutokana na katiba yenu inavyosema yeye amefafanua yaliyomo kwenye katiba. Sasa kwanini serikali ilipinga siku makonda alipoibua suala hilo.Kwa hivyo Lissu anauga mkono Ushoga wa faragha. Jee sheria inasemaje kuhusu wale wanao tumia au kuuza Gongo, Mihadarati kwa faragha, wanaruhusiwa kuvamiwa na polisi na kupelekwa mbele ya sheria? Au katiba hai ruhusu kuwaingilia watu vyumbani?
Tena ni zito kabisaDaaaa Mkuu unakichwa Kizito kuelewa kwelikweli!!Samahani lakini
Wewe uingiliwe faragha zako na serikali yako katiba yako ndio inavyosema?Amesemaje huyo mzee wa kutokuingilia faragha za watu?
Mambo ya kiccm na serikal yake na wafuasi wake haya hapaAnaogopa kukiri mambo yake
Aibu Yako !!!! Simamia wewe huko ulipoona wewe kwamba yeye kalegaMbona kigeugeu, kiongozi gani hajui anasimama wapi!?
Kwahiyo balozi zetu zote zilizoko nje huko ulaya zinakumbatia hayoAlipotoka wanakumbatia haya..
Alitoa msimamo kwamba yupo naoAibu Yako !!!! Simamia wewe huko ulipoona wewe kwamba yeye kalega
Yeye mwenyewe alisema yupo naoAlipotoka wanakumbatia haya..
Aliweka wazi kwamba anawaunga mkono... kigeugeu kwa sababu hukumwelewa awali aliposema sio jukumu la serikali kuhangaika na ya vyumbani mwa watu?
Akili ikijaa chuki, huwezi kuelewa chochote kutoka kwa unayemchukia.Mbona kigeugeu, kiongozi gani hajui anasimama wapi!?