Lissu: Sheria na Tamaduni za kitanzania haziungi mkono mapenzi ya jinsia moja, mimi pia siungi mkono jambo hilo

Amejibu ili mradi na ashawaambia ntajibu wanavyotaka kuwazuga watz
 
Ni kweli amejibu kwa umakini mkubwa na nadhani alichosema hakina tofauti na alichowahi kusema huko nyuma.

Kama Mkatoliki na pia Mwanasheria mahiri najua alichokifanya hapa.
Lissu is so bright
 
Alipokua huko kwao alisema vile, na amerudi hapa kwetu amesema hivi.
Nikama anacheza na wakati na hii ndio maana halisi ya siasa...😂
Mleta mada, kathibitisha Kwa kuweka video na sauti ya Tundu Lissu mwenyewe..

Na wewe thibitisha Kwa kuweka video au hata sauti basi ya Tundu Lissu akisema hivyo kuwa anaunga mkono mapenzi ya jinsia moja..

Vinginevyo, NYAMAZA KIMYA na acha uzushi na uongo usio kuwa na uthibitisho!!!
 
Punguza makasiriko mkuu...🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…