Pre GE2025 Lissu: Sijui ilikuwaje CHADEMA tukamualika Rais Samia, ila mbeleni tutaelezana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
CCM na Chadema ni kama Yesu na Shetani
 
Tanzania kuna vituko kweli. Sasa hapo chuki ziko wapi? Usishangae wakikutana wanakunywa chai pamoja. Kwa nchi zingine za Africa siasa anafanya lissu ndo siasa yao. Zoeeni siasa ya aina ya lissu. Siasa za kubembelezana zimeshaisha.
 
Ni kwa ajili ya kujenga taifa sio kwa ajili ya hilo lichama lenu.

Samia hahitaji kujipendekeza kwa Chadema ambao hawana hata mbunge mmoja na waliokuwa wamejifia na kukimbia nchi
 
Wewe unapenda Yesu na Shetani washirikiane?🐼
Shetani hakwenda kwa Mungu kujadiliana naye mambo ya Ayubu??

Hivi devo hakupiga stori na jizaz kule mlimani kumshawishi ageuze jiwe liwe mkate!?

Ushasahau mara hii kuwa Bi Mkubwa Hawa kabla ya kula tunda la mti wa kati ya bustani alikuwa anapiga stori na Devo wakati Mzee mzima Adam anakata mitaa?

Kama Ayatollah Khamenei anawasiliana na Marekani ndiyo itakuwa Mbowe na Samia!??
 
Jalalani ni nyumbani kwa wendawazimu!!!

1. Jamii yoyote yenye kubagaza wasomi wake ni jamii ya ki wenda wazimu.

Ule Moto wa nyika wa migomo Marekani, wapindukia Canada!

2. Wasomi ni tunu na ndiyo pekee watakao tukomboa!

3. Wajinga, wapumbavu wenye macho kwenye maokoto, ubunge na udiwani ni Laana!

Migomo vyuo vikuu imeangusha serikali; Marekani siyo kisiwa, la sasa halimwachi salama!

4. Haipo shaka, Proved, Zawadini Lissu ana wakati mgumu sana Chadema.

5. Lissu huru asingeacha kumpa Biden vidonge vyake lakini siyo hizi mbuzi zingine!
 
Basi mshaurini Lisu awe muelewa
 
Kwa hiyo mpaka tuige siasa za Marekani ndio demokrasia
 
Lakini pia hiki ni kitu cha ajabu kidogo ni sawa na Simba wawaalike Yanga kwenye mkutano wao mkuu unajadili jinsi ya kuchukua ubingwa.
 
Sisi tunajua Mbowe ni serikali, na fedha kapewa na Samia..... Lissu maswali gani haya?
 
Lakini pia hiki ni kitu cha ajabu kidogo ni sawa na Simba wawaalike Yanga kwenye mkutano wao mkuu unajadili jinsi ya kuchukua ubingwa.
Kwani Samia alialikwa kwenye mkutano gani wa kimkakati ndani ya CHADEMA?

Maana naona wapotoshaji mnaipeleka mada kusiko!!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wenyewe huwa wanaona wanatetea "status quo" kumbe siyo Kila wakati ni wa vita.

Hapa Iringa kuna Siasa zinageuzwa za kitaifa kumbe ni za kwetu sisi wenyewe wanyalukolo.

Mwembetogwa mara kadhaa imetumika kuharibu urari wa Siasa za Iringa.

Hapo alilengwa Msigwa ambaye wapinzani wake ndiyo wanamtuhumu kutumia Hela za mama Abdullah.

Ukiwaambia walete ushahidi HAWANA.
 
Niliandika kuwa waTanzania sio watu wa kuongozwa ni watu tuliozea kutawalia iwe na mkolni au machifu ,tukiaachiwa huru tutahadaika na kiza na ndio ukaona baadhi ya wanasiasa wanaharisha njiani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…