Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Hatukatai Samia ni Mzanzibari, ila kutumia asili yake ya Uzanzibari kumsema kuwa anafanya makosa haya na haya ndio kinachokosolewaI seems that you are full of anger about Lissu. Samia ni mzanzibar au siyo mzanzibar? Samia kawafukuza wamasai na kwenye ardhi na kuwapa waarabu au hakuwapa? Kama ''unyumbu'' ni kusema ukweli, basi acha iwe hivyo. Kwanza huu muungano ni hasara kwetu Tanganyika na hautusaidii lolote. Inakuwaje kila rais anayetoka Zanzibar anauza mali zetu kwa waarabu?
Hakuna utata wowote labda kama huna habari za huko. Mwinyi aliwapa sehemu na Samia naye ameongozea."Kuwapa Waarabu" Ndio maana ninesema ni suala la mtanzamo, ila hii ni topic nyingine
Kwa nini nitulie? Kukosoa ni haki yangu hata kama sina chamaBasi tulia au baki huko huko CCM.
Hatuwezi kulaumu walioanzisha kwa sababu haya matatizo hayakuwepo. Bandari ni yeye kagawa, Ngorongoro nayo kagawa, na mpaka misitu anagawa. Nani: Samia mzanzibari.Hatukatai Samia ni Mzanzibari, ila kutumia asili yake ya Uzanzibari kumsema kuwa anafanya makosa haya na haya ndio kinachokosolewa
Huu Muungano upo kabla ya Samia hajawa Rais, hakuanzisha yeye, so laumu walioanzisha Muungano,
Unauliza hirizi Tanga?Kwani ni nini kilitokea?
Nakuambiaje: baki huko huko CCM na ukosoe hao hao CCM. Mambo ya CHADEMA hayakuhusu.Kwa nini nitulie? Kukosoa ni haki yangu hata kama sina chama
Upo sahihi, we differ in ideologiesUjinga Mtupu.
Lini Mdemocratic akaalikwa kuhutubia Kwa Republicans ??.
Hio itakua sio siasa na vyama vya siasa.
Lissu ni mwanasheria; ningemwona mtu makini angeweka ushahidi wa vielelezo. Hii kutuhumu watu ni wahuni tu wa vijiweni wanaweza kufanya! Kwa hiyo Lissu ni mhuni flani anayewajaza upepo masela wake🙏🙏🙏Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.
Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.
Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.
Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.
Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Mbowe amekuwa mtu hatari sana kwa chama chake. Inasikitisha.Lisu awe makini sana na mwenyekiti wake maana huyo ndio anaendekeza hizo pesa chafu za ccm.
Mbowe amepambana mno kwenye nyakati ngumu akiwa na Chadema, usisahau hilo.Ww ndio descpline master nini, au unataka kunifundisha uoga? Yaani mahali pa kumpa ukweli nampa, labda ww ndio umuhofie maana ni mwenyekiti wako.
Mbowe alinaswa hapo kizembe kwelikweli.Jibu ni asali, Mbowe alitoka jela akaenda moja kwa moja Ikulu kupiga. picha na kukubaliana na SSH dili zao binafsi. Akatoa 150mn kuchangia harambee, akamwalika. SSH kwenye mkutano wa Wanawake wa chadema.. Akaingia kwenye maridhiano hewa ya kupoteza muda. Nafikiri Lissu machale yanamcheza kuhusu Mbowe mbele ya asali.
Hilo Sina shaka nalo na ninaheshimu sana mchango wake. Lakini wakati ukuta.Mbowe amepambana mno kwenye nyakati ngumu akiwa na Chadema, usisahau hilo.
Sasa kigogo si ndio mtu wenu nyinyiNadhani wafuasi wa Chadema mnachokosea mnadhani kila anayeikosoa Chadema ni mfuasi wa CCM anayetaka upinzani ufe, wengine hatuna hata vyama, bali tunataka nchi yenye siasa safi za kujenga
Kwa siasa zenu hizi za kudandia na kushabikia wapuuzi kama akina Mange na Kigogo mna safafi ndefu sana ya kuaminiwa kama watu serious mnaoweza kuongoza nchi
Hakuna anaye sahau hilo, lakini kanaswa kirahisi sana wakati huu!Mbowe amepambana mno kwenye nyakati ngumu akiwa na Chadema, usisahau hilo.
Huyo watakuja kumfanya kama Chacha Wangwe. Kama vipi atoke chadema aanzishe chama chake kama alivyofanya Zito Kabwe au apumzike siasa kama dk Slaa.Huyu mtu wenu angeachwa afe tuu maana Sasa habebeki.
Unalala kwenye matope mtu apite asichafuke then Asema kwanza ulilala vibaya 🤣🤣
Ndio maana hapa Duniani usijifanye mwema sana,ubinadamu ni kazi
Mpaka apatikane mbadala SasaHilo Sina shaka nalo na ninaheshimu sana mchango wake. Lakini wakati ukuta.
Magufuli aliwajua sana Chadema ndo maana alijua kelele zao ni kutafuta ulaji tuLisu awe makini sana na mwenyekiti wake maana huyo ndio anaendekeza hizo pesa chafu za ccm.
Chadema ni chama cha Tanzania kama wanapotosha watanzania nitawasema tu..Nakuambiaje: baki huko huko CCM na ukosoe hao hao CCM. Mambo ya CHADEMA hayakuhusu.
Ni wakati sahihi kwa viongozi wengine huko ndani ya CHADEMA wasimame tujue wanakolalia, siyo kumwachia Lissu pekee.Lisu akikohoa ccm wanaharisha. Nani kama Lisu?