Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Ndivyo huyo "mkombozi" wako Lissu alivyokuaminisha?Hatuwezi kulaumu walioanzisha kwa sababu haya matatizo hayakuwepo. Bandari ni yeye kagawa, Ngorongoro nayo kagawa, na mpaka misitu anagawa. Nani: Samia mzanzibari.
Magufuli tena ahahahaNdivyo Magufuli na Tundu Lissu na wafuasi wao wanavyotaka iwe
Wamejaa tele, na kama hawapo wa kuchukua nafasi yake ujue hapo hakuna chama.Mpaka apatikane mbadala Sasa
Umeruka ruka Magufuli Magufuli kila mada walengwa wamekushitukia kumbe ni CCM kambi tofauti na MagufuliChadema ni chama cha Tanzania kama wanapotosha watanzania nitawasema tu..
Na kule Chadema ni mhamiaji haramu tuuHuyo watakuja kumfanya kama Chacha Wangwe. Kama vipi atoke chadema aanzishe chama chake kama alivyofanya Zito Kabwe au apumzike siasa kama dk Slaa.
Malalamiko yaliyopo ni kwamba ile ilikuwa siyo kuleta maridhiano ila ni kujisafisha kwa upande mmoja katika macho ya jumuiya za kimataifa.Mimi nafikiri ni lazima kuelewa muktadha kwanza ndio maana nikaanza na utangulizi jinsi ya siasa za nchi hii zilivyokua kabla ya Samia kuingia madarakani, kulikuwa na chuki na uhasama mkubwa sana hadi watu kukimbia nchi kwa kuhofia kuuawa,
Ili kuondoa hizo chuki na uhasama, ndio ikaja maridhiano, kuleta tena watanzania pamoja
Na ule haukuwa mkutano wa kupanga chochote ilikuwa ni siku ya wanawake duniani, sio kupanga kushinda uchaguzi
Sasa kama wapinzani wanataka siasa za uadui na vita, wahanga wakubwa watakuwa ni wao, sio CCM, CCM wana dola na wawaweza kufanya chochote wapinzani bila kuchukuliwa hatua yoyote
Hiyo ni mawazo yako finyu ya hisia usidhan wananchi wanafikiri kama wewe...fanya tafiti..usiwe mpuuzi..mtu mzima unatishiwaje nyau nawewe ukatishika...hahahah...wewe ungeweza kutishwa na hayo unayosemaKuna ambao Walimfuata sababu walikuwa wakimumini na kuna ambao walimfuata sababu walikuwa wakiogopa, alikuwa na jeshi la kuwaua au kuwafunga na fedha za kuwapa..ni kama jambazi anakuvamia nyumbani kwako anakitishia kukuua akitaka umpe fedha, unaona bora kumpa fedha kuliko uhai, ndio alichokuwa akifanya Magufuli...Ila hatupo nae tena na tunashukuru
Hiyo pesa kwanini wanaipokea?Wawe makini tu na pesa chafu ambayo CDM imekuwa mhanga mkubwa.Bora amesema mapema kukinusuru chama
Cha muhimu ni kwamba kafaHiyo ni mawazo yako finyu ya hisia usidhan wananchi wanafikiri kama wewe...fanya tafiti..usiwe mpuuzi..mtu mzima unatishiwaje nyau nawewe ukatishika...hahahah...wewe ungeweza kutishwa na hayo unayosema
Sahihi,Ujinga Mtupu.
Lini Mdemocratic akaalikwa kuhutubia Kwa Republicans ??.
Hio itakua sio siasa na vyama vya siasa.
Yani ni ukongwe wake wote katika siasa bado hajui mwenyekiti wake ni nani? Politics is a good game hahahahahaAkiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.
Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.
Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Mbona na wewe utakufa muda si muda..hahahah.....nani ataishi milele..jomba...au unadhan utaishi milele ....!!! Jidanganye..jiandae kufa!Cha muhimu ni kwamba kafa
Mimi nimekuwa nasema humu kila mara,Lissu ni mkweli na amemchoka Mbowe.Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.
Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.
Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Yuko sahihiAkiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.
Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.
Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Thread closedshida ya Lissu ni political extremist. Aelewe siasa ni mchezo wa mapambano na maelewano kufikia malengo ya kushika dola.it is both kulingana na mazingira ingawa hoja zake kuhusu kukataliwa maridhiano ina mashiko,kutokuamiana ndilo tatizo la CDM na CCM hawatakaa wajenge jambo moja.Alipokuja kujiunga na vikao tu mambo yakaharibika.Ni hardliner mno hafai kwenye negotiation.
Who are you by the way!?Thread closed
Yeye katangulia, katuachia nchi yetu aliyotaka kuharibuMbona na wewe utakufa muda si muda..hahahah.....nani ataishi milele..jomba...au unadhan utaishi milele ....!!! Jidanganye..jiandae kufa!