Pre GE2025 Lissu: Sijui ilikuwaje CHADEMA tukamualika Rais Samia, ila mbeleni tutaelezana

Pre GE2025 Lissu: Sijui ilikuwaje CHADEMA tukamualika Rais Samia, ila mbeleni tutaelezana

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hatuwezi kulaumu walioanzisha kwa sababu haya matatizo hayakuwepo. Bandari ni yeye kagawa, Ngorongoro nayo kagawa, na mpaka misitu anagawa. Nani: Samia mzanzibari.
Ndivyo huyo "mkombozi" wako Lissu alivyokuaminisha?
 
Toka yale mambo ya kubadili gia angani na kumbeba Lowasa nikaona kumbe nao ni walewale
 
Mimi nafikiri ni lazima kuelewa muktadha kwanza ndio maana nikaanza na utangulizi jinsi ya siasa za nchi hii zilivyokua kabla ya Samia kuingia madarakani, kulikuwa na chuki na uhasama mkubwa sana hadi watu kukimbia nchi kwa kuhofia kuuawa,
Ili kuondoa hizo chuki na uhasama, ndio ikaja maridhiano, kuleta tena watanzania pamoja

Na ule haukuwa mkutano wa kupanga chochote ilikuwa ni siku ya wanawake duniani, sio kupanga kushinda uchaguzi

Sasa kama wapinzani wanataka siasa za uadui na vita, wahanga wakubwa watakuwa ni wao, sio CCM, CCM wana dola na wawaweza kufanya chochote wapinzani bila kuchukuliwa hatua yoyote
Malalamiko yaliyopo ni kwamba ile ilikuwa siyo kuleta maridhiano ila ni kujisafisha kwa upande mmoja katika macho ya jumuiya za kimataifa.

Note: Mimi sina chama.bali vyama vyote navipenda.Sababu kila kimoja kina "strength and weakness" zake
 
Kuna ambao Walimfuata sababu walikuwa wakimumini na kuna ambao walimfuata sababu walikuwa wakiogopa, alikuwa na jeshi la kuwaua au kuwafunga na fedha za kuwapa..ni kama jambazi anakuvamia nyumbani kwako anakitishia kukuua akitaka umpe fedha, unaona bora kumpa fedha kuliko uhai, ndio alichokuwa akifanya Magufuli...Ila hatupo nae tena na tunashukuru
Hiyo ni mawazo yako finyu ya hisia usidhan wananchi wanafikiri kama wewe...fanya tafiti..usiwe mpuuzi..mtu mzima unatishiwaje nyau nawewe ukatishika...hahahah...wewe ungeweza kutishwa na hayo unayosema
 
Tundu LISU ameianika chadema lakini aelewe siasa siyo uadui
 
Wawe makini tu na pesa chafu ambayo CDM imekuwa mhanga mkubwa.Bora amesema mapema kukinusuru chama
Hiyo pesa kwanini wanaipokea?

Huoni kwamba wanakiri kwamba they are corrupt?
 
Hiyo ni mawazo yako finyu ya hisia usidhan wananchi wanafikiri kama wewe...fanya tafiti..usiwe mpuuzi..mtu mzima unatishiwaje nyau nawewe ukatishika...hahahah...wewe ungeweza kutishwa na hayo unayosema
Cha muhimu ni kwamba kafa
 
Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.

Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.

Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Yani ni ukongwe wake wote katika siasa bado hajui mwenyekiti wake ni nani? Politics is a good game hahahahaha
 
Mwenyekiti ameshazoea kulamba asali kutoka Magogoni
 
Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.

Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.

Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Mimi nimekuwa nasema humu kila mara,Lissu ni mkweli na amemchoka Mbowe.
 
Akiwa mkoani Iringa katika mkutano wa hadhara Lissu amesema hajui ilikuwaje CHADEMA ikamualika mama kwenye mkutano wa CHADEMA maana huwa hawaji wenyewe ni mpaka waalikwe.

Aidha Lissu amewatahadharisha wanaCHADEMA kuwa makini maana kwenye uchaguzi wa ndani ya Chama kuna hela nyingi inatumika ambapo Lissu amesema fedha hiyo ni ya Abdul na Mama yake maana chadema hawana hela hata kufanya mikutano huwa inakuwaga ni shida kwasababu ya fedha ila cha ajabu watu wanapewa fedha kwenye uchaguzi wa ndani.

Lissu ameamua kufanya swala la Uchaguzi wa ndani wa CHADEMA kuwa swala la Umma.
Yuko sahihi
 
shida ya Lissu ni political extremist. Aelewe siasa ni mchezo wa mapambano na maelewano kufikia malengo ya kushika dola.it is both kulingana na mazingira ingawa hoja zake kuhusu kukataliwa maridhiano ina mashiko,kutokuamiana ndilo tatizo la CDM na CCM hawatakaa wajenge jambo moja.Alipokuja kujiunga na vikao tu mambo yakaharibika.Ni hardliner mno hafai kwenye negotiation.
Thread closed
 
Mbona na wewe utakufa muda si muda..hahahah.....nani ataishi milele..jomba...au unadhan utaishi milele ....!!! Jidanganye..jiandae kufa!
Yeye katangulia, katuachia nchi yetu aliyotaka kuharibu
 
Back
Top Bottom