- Thread starter
- #21
Kwa kuwa CCM na ufisadi ni Damu Damu,Mjiulize nyie pia baada ya kurudi mkampokea tena baada ya kumuita fisadi
Alirudi nyumbani,
Sasa Lissu na Mbowe waliompokea, Wana swali Bado halijajibiwa na Wana chi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa CCM na ufisadi ni Damu Damu,Mjiulize nyie pia baada ya kurudi mkampokea tena baada ya kumuita fisadi
Unaishi wapi mwenzetu? Lissu alishatolea majibu swali lako zamani sana.Hellow Tanganyika!!
Katika mengi umejaribu kujitofautisha na mkt wako Ili kupata uungwaji mkono wananchi na wanachama,na umefanikiwa sana katika hili.
Sasa Kuna kihunzi Cha mwisho Cha kukiruka Ili urudishe Imani ya wananchi iliyoondoka baada ya ujio wa Lowwassa, mliotuambia kuwa ni fisadi mkishirikiana na Mh Mbowe. Baadae alipoingia CDM mkashirikiana kumsafisha.
Swali No 1:
Mh Lissu, Lowwassa alikuwa fisadi au la?
Swali No 2.
Kwanini ulikaa upande wa Mh Mbowe kumsafisha Lowwassa, kwanini hukukaa kimya kama Ndugu Mnyika?
Swali no 3.
Kuna mgao wowote nawe ulipokea katika ujio wa Lowwassa maana inaaminika kuwa alikuja na mapesa mingi?
Karibu Kwa majibu 🙏
Kama kuna mjumbe unamfahamu mwombe amuulize swali hilo siku ya uchaguzi nafikiri ndiyo itakuwa sehemu sahihi kwani hata ukijibiwa hapa haitaleta maana yoyote maana wewe si mpiga kura.Alijibuje?
Ikiwa alisema ni maamuzi ya vikao vya chama.
Basi hajaeleweka, na ni muhusika wa kupunguza Imani ya wananchi Kwa CHADEMA.
Sasa Abdul na Lowwassa kumbe Wana tofauti Gani Hadi amtuhumu Mbowe kumleta Abdul akusaidie chama kifufuke na kupata nguvu ya kuitoa CCM madarakani?Unaishi wapi mwenzetu? Lissu alishatolea majibu swali lako zamani sana.
Alijibu kwama Chadema wako tàyari kushirikiana hata na shetani ili kuiondoa CCM madarakani.
Halafu utasikià Chadema ni mpàngo wà Mungu!
Nyumbu hovyo kabisa.
Aliyekuambia Abdul ameleta hela kuisaidia Chadema amekudanganya na wewe kama umeamini basi una shida.Sasa Abdul na Lowwassa kumbe Wana tofauti Gani Hadi amtuhumu Mbowe kumleta Abdul akusaidie chama kifufuke na kupata nguvu ya kuitoa CCM madarakani?
Lissu jitofautishe na Mbowe katika hili.
Jibu mujarab kabisa sijui kama muuliza swali atakuelewa kwani ana dhamira iliyofichika.Elekeza maswali yako kwa kiti tafadhari mh sisi uku ni wagorogoshaji tu
Ndugu mgorogoshi🤣Elekeza maswali yako kwa kiti tafadhari mh sisi uku ni wagorogoshaji tu
Nani ajuaye kuwa Kuna vikao vilishafanyika sirini kama tu vile vya kumleta Lowwassa na hatukuambiwa!Aliyekuambia Abdul ameleta hela kuisaidia Chadema amekudanganya na wewe kama umeamini basi una shida.
Swali hilo aulizwe mbowe, labda alishinikiza lowasa apewe nafasi hiyo baada ya kukata mpungaKwa kuwa CCM na ufisadi ni Damu Damu,
Alirudi nyumbani,
Sasa Lissu na Mbowe waliompokea, Wana swali Bado halijajibiwa na Wana chi.
Genesis 3:1You're too Naive.
Ni sawa,Swali hilo aulizwe mbowe, labda alishinikiza lowasa apewe nafasi hiyo baada ya kukata mpunga
Aliuliza na kwenye media atatujibu tu.hiyo ishu hawezi kabisa kuigusia
Bado mbowe anawajibika kwa hiloNi sawa,
Lissu tunamuuliza lile dodoki la kumsafisha Lowwassa Nia yake ilikuwa ipi?
Si Kweli,Bado mbowe anawajibika kwa hilo
Basi ngoja akishakuwa m/kiti wa chama atapekua ma faili na kukupa mrejesho au unaonaje rabbon?Si Kweli,
Lissu asema walikaa vikao wakakubaliana.
Ndio maana Mimi Sina chama ingawa nafuatilia siasa za nchi yangu.
Hapo atakuwa anatuuzia mbuzi kwenye gunia🤣Basi ngoja akishakuwa m/kiti wa chama atapekua ma faili na kukupa mrejesho au unaonaje rabbon?
sijaelewa, unayemuuliza hayo maswali ni Lisu mwenyewe? kwahiyo unasubiri Lisu aje hapa jamii forums aandike waraka kukujibu wewe?Hellow Tanganyika!!
Katika mengi umejaribu kujitofautisha na mkt wako Ili kupata uungwaji mkono wananchi na wanachama,na umefanikiwa sana katika hili.
Sasa Kuna kihunzi Cha mwisho Cha kukiruka Ili urudishe Imani ya wananchi iliyoondoka baada ya ujio wa Lowwassa, mliotuambia kuwa ni fisadi mkishirikiana na Mh Mbowe. Baadae alipoingia CDM mkashirikiana kumsafisha.
Swali No 1:
Mh Lissu, Lowwassa alikuwa fisadi au la?
Swali No 2.
Kwanini ulikaa upande wa Mh Mbowe kumsafisha Lowwassa, kwanini hukukaa kimya kama Ndugu Mnyika?
Swali no 3.
Kuna mgao wowote nawe ulipokea katika ujio wa Lowwassa maana inaaminika kuwa alikuja na mapesa mingi?
Karibu Kwa majibu 🙏
Ndio anaweza kunijibu hata Kwa I'd ya kificho.sijaelewa, unayemuuliza hayo maswali ni Lisu mwenyewe? kwahiyo unasubiri Lisu aje hapa jamii forums aandike waraka kukujibu wewe?