Gypsum Screw
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 701
- 895
sawa mkuuNdio anaweza kunijibu hata Kwa I'd ya kificho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sawa mkuuNdio anaweza kunijibu hata Kwa I'd ya kificho.
Lissu ni mtu wa pesa akipokea michango anakaa kimya!Hellow Tanganyika!!
Katika mengi umejaribu kujitofautisha na mkt wako Ili kupata uungwaji mkono wananchi na wanachama,na umefanikiwa sana katika hili.
Sasa Kuna kihunzi Cha mwisho Cha kukiruka Ili urudishe Imani ya wananchi iliyoondoka baada ya ujio wa Lowwassa, mliotuambia kuwa ni fisadi mkishirikiana na Mh Mbowe. Baadae alipoingia CDM mkashirikiana kumsafisha.
Swali No 1:
Mh Lissu, Lowwassa alikuwa fisadi au la?
Swali No 2.
Kwanini ulikaa upande wa Mh Mbowe kumsafisha Lowwassa, kwanini hukukaa kimya kama Ndugu Mnyika?
Swali no 3.
Kuna mgao wowote nawe ulipokea katika ujio wa Lowwassa maana inaaminika kuwa alikuja na mapesa mingi?
Karibu Kwa majibu 🙏
Acha hizo!Lissu ni mtu wa pesa akipokea michango anakaa kimya!
Basi sawa.Mbona mnamsakama sana na hoja ngumu, mara aombe radhi kwa watu wa magufuli mmkabidhi nchi, mara uhusiano wa lowassa na mbowe kwenda chadema. Atasema tu ikiwa kuna umuhimu ngoja kwanza awe mwenyekiti
You're a sucker!Genesis 3:1
A serpent was so naive.
Sifa hiyo Mimi Sina, nimemuuliza tu swali Mh Lissu.
Lissu: ulikuwa msimamo wa chama si wa kwangu, mimi nilisema Lowassa fisadi ila chama kikasema ni msafi sasa mie nifanyaje ndugu mwandishi.Hellow Tanganyika!!
Katika mengi umejaribu kujitofautisha na mkt wako Ili kupata uungwaji mkono wananchi na wanachama,na umefanikiwa sana katika hili.
Sasa Kuna kihunzi Cha mwisho Cha kukiruka Ili urudishe Imani ya wananchi iliyoondoka baada ya ujio wa Lowwassa, mliotuambia kuwa ni fisadi mkishirikiana na Mh Mbowe. Baadae alipoingia CDM mkashirikiana kumsafisha.
Swali No 1:
Mh Lissu, Lowwassa alikuwa fisadi au la?
Swali No 2.
Kwanini ulikaa upande wa Mh Mbowe kumsafisha Lowwassa, kwanini hukukaa kimya kama Ndugu Mnyika?
Swali no 3.
Kuna mgao wowote nawe ulipokea katika ujio wa Lowwassa maana inaaminika kuwa alikuja na mapesa mingi?
Karibu Kwa majibu 🙏
Dhamira yake haikumsuta ndugu Lissu!Lissu: ulikuwa msimamo wa chama si wa kwangu, mimi nilisema Lowassa fisadi ila chama kikasema ni msafi sasa mie nifanyaje ndugu mwandishi.
Huyu ndiye mtaka uwenyekiti CDM kwa njia ya mapinduzi.
Amesamehewa Kwa maana maswali hayo ni Kwa maslahi ya umma.Nyanda ameiba maswali JF